Kwanini Serikali inatumia Tsh Billion 200 kununua dawa za “Mabeberu” kila mwaka?

Tangu lini wameshanunua dawa za billion 200? Mi kweli wananunua dawa kwa mabeberu, lakini haifikii thamani hiyo kwa mwaka, labda kwa miaka mitatu
 
Hujui dawa zina patents na trademarks?
Huwezi Jitengenezea tu kuna watu wanamiliki kila kitu hivyo utawaomba kwanza

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
ni mambo mapana kidogo kama lissu kupiga kampeni bila barakoa msimu wote wa corona.

tuliza akili utaelewa.
 
Huna akili.
Akili huna wewe unaishindwa kutofautisha kati ya tui la nazi na maziwa tena wewe ni mpumbavu na kichwa chako ni kama boya kabisa mnashabikia ujinga na uzwazwa kusoma hujui hata kuangalia picha huwezi hapo ulipo unakovu la ndui mkononi mwako zebe mkubwa wewe
 
NDIO UJUE SASA CHANJO YA COVID 19 HATUNUNUI HATA WASHUSHE BEI NA WALA YA BURE HATUITAKI
 
Vp hawawezi kutuwekea sumu kwenye hizo dawa tukafa Mkuu? Kwanini tusiachane nazo tu tuendelee kumuomba Mungu
 
Kuna watu hawataki uwazungumzie wazungu kama unavyowazungumzia watu wengine kwamba wana mazuri na mabaya.
 
Mwenzio ameuliza swali badala umjibu unamwambia hana akili, wewe mwenye akili mbona hujui jibu?!

Jitutumue hivyo hivyo umjibu tu, najua hilo swali gumu kweli.
Msamehe tu , ndio tatizo la kuwa na akili ya kushikiwa, inawezekana, bado hajarudishiwa toka fc lumumba!!yaani yamezoea kupinga hoja tena za kisayansi kwa mipasho!!!kama afanyavyo meko
 
Na Beberu huyo huyo akisema hanunui Tanzanite tutatafutana....maana sijui hata kwa hapa nchini tunatumia Tanzanite yetu kwa kiasi gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…