😂😂, Nenda directly siyo upinde, tutanunua hzo dawa ila chanjo zao saiz noo, mbona wao wanazo ila bado wanakufa🤔🤔, afu siyo kwamb kisa tunanunua hzo ndo wakigundua hata mav nayo tusombe tuu, we have to reson first, afu unajua Watz 60 milioni itagarim kias gan?
Afya zetu zinategemea mabeberu,hiyo miti shamba tunaitumia kwa ajili ya kinga tu tusilogweKwa hiyo mna uhakika mitishamba zitawatosha hamuhitaji dawa za mabeberu??
Afya zetu zinategemea mabeberu,hiyo miti shamba tunaitumia kwa ajili ya kinga tu tusilogwe na maana afrika tunachoweza ni kurogana tu
hao sio wanasiasa bali ni wakosa akili. kwani siasa inataka tusitumie akili?Mkuu achana na wanasiasa hao, mwanasiasa siyo wa kumwamini chochote hata akikwambia haya Ni maji usimwamini maana anaweza sem haya Ni maji kumbe ni konyagi
umenisaidia sana kumbe. Tunatoa billion 200 sasa hii kila mwaka au kila baada ya miaka miwili.Kwa wanaosema dawa za mebebeu ni za kutuua nauliza kwanini Serikali inatumia billion 200 za kitanzania kila mwaka kuagiza dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Nyingi zinatoka India lakini hizi ni copy generic ya dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu.
Dawa za malaria, antibiotic, drip zote, chanjo za watoto kama ni kweli tusitumie pesa nyingi hivi kwa dawa. Badala yake tu sali tu na kutumia miti shamba kama wengine wanavyotaka.
Halafu tuangalie baada ya miaka 10 kama tutakuwa tumeongezeka au kupungua. Watoto wetu badala ya chanjo za ukoma mfano tuwape nyungu tuone itakuwaje!
Na wakati dawa ni malimao na tangawiziKwa wanaosema dawa za mebebeu ni za kutuua nauliza kwanini Serikali inatumia billion 200 za kitanzania kila mwaka kuagiza dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Nyingi zinatoka India lakini hizi ni copy generic ya dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu.
Dawa za malaria, antibiotic, drip zote, chanjo za watoto kama ni kweli tusitumie pesa nyingi hivi kwa dawa. Badala yake tu sali tu na kutumia miti shamba kama wengine wanavyotaka.
Halafu tuangalie baada ya miaka 10 kama tutakuwa tumeongezeka au kupungua. Watoto wetu badala ya chanjo za ukoma mfano tuwape nyungu tuone itakuwaje!