Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hao siyo binadamu wala hayo magazeti hatafungiwaNaona kama hujamalizia uzi wako, ungeendelea pia kusisitiza waandishi walioandika habari ya uzushi kuhusu kifo cha Mbowe na Mrema nao wakamatwe, bila kusahau waliondika kwamba mzee Sarungi amefariki, wakuu tujaribu kuwa wakweli wa nafsi zetu tusipende mabaya kwa wenzetu, halafu tukiguswa sisi tunataka tunapiga mayowe.
yupo ikulu. mnataka kumpindua?Hawa wapuuzi mkuu, mbona wanakuwa wakali wakiulizwa badala ya kutoa jibu alipo basi!
Hamuzuiwi kwenda as long as mmefuata taratibuKwa hiyo nchi nzima twende kupanga foleni chamwino...siyo? Jinga kabisa wewe!
Wewe mpk sasa umekamata wangapiWote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Kwa hiyo ni kosa kuulizia alipo? mnajenga chuki za kijinga snyupo ikulu. mnataka kumpindua?
sio jukumu langu ndio maana nimeiomba serikaliWewe mpk sasa umekamata wangapi
Wanamkubali ndio sababu wanataka awe salama na tumuone.jana asubuhi kipindi Cha star TV (jicho letu ndani habari)waliopiga simu wote walihitaji wamuone Rais wao na ni haki yao kujua.na huu ni utamaduni wetu.kwa viongozi wetu waliotangulia tulijuzwa .watu wengi kina nani hao unaowazungumzia? acheni kujipa umuhimu kwenye maisha ya watanzania watanzania wanamkubali jpm na hawana haja na kelele zenu
Kwa hiyo mnataka kumkata kwa kutumia katiba ya CCM?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Bado upo kwenye fikra zilezile!! Yaani mtu akimpigia kampeni JPM ndo anatafuta cheo?! Hivi kwa akili yako wana-CCM WOTE wanafurahishwa na Magu?! Au ndo bado unaamini kama kuna mwingine yeyote asiyefurahishwa na Magu ni kwavile hakupata ulaji?!angepewa kwanza akatae achna na assumptions...kumbuka tunaongelea mtu aliyekuwa anapigia kampeni magufuli na kuwatukana chadema akiwaita mafisadi wapya hahahaahaha
Basi aondoke Kama Hana uwezo huo. Ndo Mana nchi inakuwa na kiongozi otherwise kila mtu ajiongoze mwenyewe. Sasa yeye hana uwezo huo halafu anangangania uraisitafuta hela ndio zitakukomboa inaonekana una frustration za maisha magumu. mmewekwa kwenye illusion kwamba kuna mtu atakuja kuwapa maisha mazuri jinga wahed
Sasa kama siyo jukumu lako kwanini umeshindwa kwenda kutoa taarifa akamatwe kama anakosa mataga vichwa vyenu vinashida sanasio jukumu langu ndio maana nimeiomba serikali
mnataka kumfanya nini? mfano ukitafutwa uieleze serikali unamtaka rais umfanye nini?Kwa hiyo ni kosa kuulizia alipo? mnajenga chuki za kijinga sn
Tunaomba huo ujumbe na sisi tuuoneKuandika au kusambaza ujumbe wa kuhatarisha usalama wa rais na nchi kwa ujumla
Weka iyo report na highlight ilo eneowewe bado upo gizani, pitia report ya Ford foundation ya kila mwaka
Kwenye machafuko kwa sababu ipi? kwa vile wameuliza rais wao yuko wapi wewe ndio uingie kwenye machafuko ?waziri mkuu ameshajibu...anachotaka ni nini? anataka tuingie kwenye machafuko?
aendi popote chuma bado kipo wewe endelea kusubiri rais ataekupa hela mfukoniBasi aondoke Kama Hana uwezo huo. Ndo Mana nchi inakuwa na kiongozi otherwise kila mtu ajiongoze mwenyewe. Sasa yeye hana uwezo huo halafu anangangania uraisi
Yupo hapo ajili ya kazi gani?mnataka kumfanya nini? mfano ukitafutwa uieleze serikali unamtaka rais umfanye nini?
Na wewe jaribu kuficha ujinga wako, utaratibu gani ufuatwe na wananchi wote hapo chamwino kwa ajili ya kwenda kumuulizia tu rais kama yupo au la?Hamuzuiwi kwenda as long as mmefuata taratibu
anaeitaji akaitafute siangaiki na nyumbu walio gizani