Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Leo Raisi MTUKUFU amesali wapi?
Halafu sijui nilijisahau vipi! Tangu jana nilijiambia mzizi wa fitina utakatwa leo wakati wa sala kwa sababu kwa jinsi JPM alivyo, lazima angetumia sala ya Jpili kutoa vichambo!!! Sifahamu kinachoendelea kwa sababu nilijisahau! Vipi, ina maana hajaonekana kanisani?!
 
Maria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Maria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Tutajie hicho kifungu kwenye katiba kinachoruhusu raia au mwananchi kuuliza alipo Rais wa TZ...
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Hujui historian ya elimu ya prof Sarungi pamoja na maria....Kaa kimya kama Bashite.....hoja hujibiwa kwa hoja na siyo kuwaomba polisi wamkamate maria
 
akili za wachawi na wasiopenda maendeleo ya mtu..akamatwe..afukuzwe kazi anayanyaswe....kwa nini wasimrekebishe wasimjibu.. john yupo hapa afya yake ipoje?unasikia anatumika na mashirika ya nje tkufanya nini kwa maslai gani yaani ndio maana siwezi kuwa kwenye chama chako ukosefu wa ubongo kabisa...kasomeshwa na fedha za ccm..kama ndivyo nini kinakuwasha.au asomeshwe na serikali nini kinakuwasha...nyie mliogeuzwa msikule wa kila kitu kusifiwa mbona hamkusomeshwa na ccm wala serikali badala ya kuwa upande wa kuikosoa hio serikali mnaikenulia...
mchawi namba moja ni Maria sarungi na vijakazi wake
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Aliyewaambia kuwa kuna taaruki ni nani? Ukijibu usiache kuweka na definition ya taaruki tafadhali.
 
Sasa unajichekesha chekesha nini kijana?! Nimekuuliza ina maana wote wanaoipigia kampeni CCM wanataka ulaji?! Maria anafahamika ni mwana-CCM, sasa nini kinakushangaza kumpigia kampeni Magu?! Au kwavile mtu akiwa CCM na alishiriki kuipigia kampeni CCM ndo basi tena unatarajia awe kama juha wa kuunga mkono kila kitu hata kama kinaenda kinyume na maono yake?! Nimekukumbusha hapa kwamba ingawaje Maria ni mwana-CCM lakini kwenye Bunge la Katiba bado alikuwa against na Katiba iliyokuwa imepigiwa kura ya NDIYO na CCM!!! Ukishindwa kufahamu maana halisi ya hilo basi una-fit kwa 100% kuwa Mfuasi wa Magufuli ambao wao silika yao ni kuunga mkono kila kitu hata kama ni cha kijinga!!!
tuma voice note sina muda wa kusoma utopolo
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
mngeanza kuwakamata walioandika kwenye gazeti lenu pendwa kuwa baba yake maria sarungi, mbowe na john mrema wamefariki ndipo mumkamate maria mwenyewe
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Amesomeshwa na hela za CCM?????
 
mngeanza kuwakamata walioandika kwenye gazeti lenu pendwa kuwa baba yake maria sarungi, mbowe na john mrema wamefariki ndipo mumkamate maria mwenyewe
maria anaeneza uvumi rais amekufa ana roho mbaya sana huyo mzungu pori
 
maria anaeneza uvumi rais amekufa ana roho mbaya sana huyo mzungu pori
maria kaeneza kuhusu mtu mmoja ambaye mpaka sasa hatuna taarifa zake kuwa yuko hai au la, lakini magazeti ya musiba yanaeneza taarifa za watu ambao wamejitokeza na kukanusha
 
Mie ni Machinga baada ya kumsomesha mtoto nimeambulia kufikilia mateso ya mohamed au Yesu wakati wapo Hai mtoto anadharau wimbo wa Stamina Afadhari... Anyway Andika tu ukiona vipi tuma kwa Makamu wa Rais..

Kweli mitume walipata tabu kwenye hii dunia kupambana na dharau zisizo na mwanzo wala mwisho lakini yawezekana fursa ya kila mtu kuuwa hela kwa kila mtu kupewa Mil 50 2025 ili tujue Amani ya hii nchi ilitokea wapo.. Russia, Ujerumani, India, au ...



WAnasiasa wanasema zaeni tunazaa fursa zikija kazi ya UKOKO wa wali



maisha yamekupiga mpaka akili zimekuruka. lazima uwe na nongwa kama maria sarungi
 
Maria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Ibara gani mkuu. Nipitie chap.
 
Back
Top Bottom