Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Kumuongopea mtu mwenye v8 yake mpaka umuwin siyo kazi nyepesi
Ukiweka chambo kwenye ndoano samaki mwenye jaa utamnasa.Nashangaa hawa hasa watangaza dini wanaochipukia kwanini wote kutwa kujazana miji ya pembezoni mwa mji kwanini mitaa nikiyoitaja hawaendi?
Sijawahi kuona tangazo wala mkusanyiko kule mtu akihuburi injili
Kweli hujaelewa madaMakanisa mbona yapo mengi tu,labda mikutano wanakosa eneo la kufanyia mkutano maana huko masaki kupata uwanja kama wa Tanganyika Pakers..huezi pata vyote wamejenga.
Ila makanisa Kote huko yapo.
View attachment 2157100
Mada nimeielewa anauliza kwanini wanaofanya mikutano wapo pembezoni mwa mji,lkn maeneo tajwa haifanyiki.Kweli hujaelewa mada
Kwaio mwenye IST anaongopewa tu sio..🤣🤣🤣Kumuongopea mtu mwenye v8 yake mpaka umuwin siyo kazi nyepesi
Ukikutana na waumini wa mwamposa,asilimia kubwa ni kada ya chini,wakazi wa mbagala,bunju,wengi shughuri zao ni mama ntilie,machinga,mabinti wanaotafuta waume,Nashangaa hawa hasa watangaza dini wanaochipukia kwanini wote kutwa kujazana miji ya pembezoni mwa mji kwanini mitaa nikiyoitaja hawaendi?
Sijawahi kuona tangazo wala mkusanyiko kule mtu akihuburi injili
Kwanin wahubiri wengi wa kiroho wako kinondoni kuliko wilaya ya temeke mfano mbagala tandika ni ngumu sana kukuta makanisa ya kirohoWenye pesa hawapendi kelele
Jibu swali kwanzaUulize pia kwanini watu wa masaki wanahudhuria sana mikutano ya dini inayofanyika nje ya masaki!?