Kwanini sijawahi kuona ama kusikia mikutano ya dini Masaki, Ostebay ama Posta?

Kwanini sijawahi kuona ama kusikia mikutano ya dini Masaki, Ostebay ama Posta?

Nashangaa hawa hasa watangaza dini wanaochipukia, kwanini wote kutwa kujazana miji ya pembezoni mwa mji kwanini mitaa niliyoitaja hawaendi?

Sijawahi kuona tangazo wala mkusanyiko kule mtu akihuburi injili.
SAsa kule utampata nani kwa mida hio nature ya watu wa kule ni kushinda mjini na sio nyumbani.
Wale wanahubiri kwenye mikusanyiko ya watu ambapo pa kuwapata ni mijini au kwenye vituo vya magari
 
Mikutano ya injili, mahubiri ya vitisho na makanisa yasiyo na kichwa wala mguu ni kwaajili ya watu masikini.
Nakubaliana nawewe, kinachowapeleka watu wengi kwa hawa manabii ni shida, umaskini, njaa, mawazo ya kishirikina na msongo wa mawazo unaotokana na maisha magumu.

Aina hiyo ya maisha huwezi kuikuta maeneo ya kishua ndio maana ni ngumu hawa manabii kwenda kufanya mikutano yao maeneo hayo
 
Nakubaliana nawewe, kinachowapeleka watu wengi kwa hawa manabii ni shida, umaskini, njaa, mawazo ya kishirikina na msongo wa mawazo unaotokana na maisha magumu.

Aina hiyo ya maisha huwezi kuikuta maeneo ya kishua ndio maana ni ngumu hawa manabii kwenda kufanya mikutano yao maeneo hayo
Kwa kweli..
 
Kwa sababu matajiri tunasubiri kwanza ngamia apite kwenye tundu la sindano Kama mlivyo tuahidi hatuiingii peponi hadi ngamia apite kwenye tundu la sindano

Mtuambie kwanza kama kuwa tajiri ni dhambi au ni chuki zenu tu
IMG_20220816_115503_747.jpg
 
Back
Top Bottom