Kwanini sipati mwanamke wa kuoa na wakati nina pesa nyingi?

Kwanini sipati mwanamke wa kuoa na wakati nina pesa nyingi?

Sababu una akili ya kumsoma mtu.

Kama pesa umetafuta mwenyewe kwa jasho lako. Maana yake wewe una akili nyingi. Pesa hazipatikani kijinga

Ukiwa na akili utapata shida sana kupata mtu wa kuoa.. maana wenye akili wapo wachache.

High value men ngumu sana kukutana na high value woman.

Kwa ufupi smart potential spouse wapo wachache sana Sokoni. Wanaopatikana kiurahisi ni wale vilaza wanaofosi ndoa wapate wepesi wa maisha
Huu ndo ukweli wenyew.
Watu wenye akili nyingi Huwa ni ngumu sana kuingia kwenye mahusiano japo hupata mafanikio makubwa kwenye maisha.
 
Kwema wakuu,

Sijui tatizo itakuwa ni nini mpaka sasa sijapata mwanamke aliyekubali nimuoe. Ishu ya uchumi na pesa niko vizuri sana maana pesa kwetu sio tatizo zipo za kutosha. Nisaidieni wakuu nijue nafanyaje.

Najiuliza nikifa pesa zangu atarithi nani?
Sawa tumekusikia Chief Godlove,,,ila upunguze sifa sasa maana hela zenyewe za masharti.
 
Mimi kwa upande wangu naona miyeyusho sana ku-date na hawa wanafunzi maana mara nyingi wanakuwa na boyfriend pale chuo.
Ukimchunguza sana bata hutamla? Sasa ni wapi utakuta pisi kali ambaye hashobokewi? Level ya chuo atleast hatakama anashobokewa lakini kuna kitu kinawakipu bize (masomo). Alafu pisi kali nyingi za chuo (UDSM) zimetoka familia bora! Changamoto yako ni jinsi ya kumshawishi! Mke wangu nilimpata kwa jinsi hiyo!
 
Hauna mkuu acha mambo yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanawake wa bongo uwe na hela alafu hupati wakuoa uko serious kweli mkuu?
Unataka mke bora asie penda pesa zake mwenye mapenzi ya kweli na ndio maana hajapata mpaka sasa, Mwanaume akishakuwa na pesa kupata mwanamke mwenye mapenzi ya kweli na sio kupenda pesa ni ngumu.
 
Kwema wakuu,

Sijui tatizo itakuwa ni nini mpaka sasa sijapata mwanamke aliyekubali nimuoe. Ishu ya uchumi na pesa niko vizuri sana maana pesa kwetu sio tatizo zipo za kutosha. Nisaidieni wakuu nijue nafanyaje.
 





Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
Acha kujifanya mjanja, hapo nilikuwa nimemaliza chuo nikakosa ajira. Ila Mzee akaamua kunipa baadhi ya miradi yake, maana Mzee wangu ni mtu mwenye pesa nyingi mno, so automatically na mimi nikaanza mdogo mdogo. Kwa sasa Nina pesa zaidi ya mchanga wa bahari. Kwa hiyo usikariri mkuu. Hizi pesa nimepewa na mzazi.
 
Back
Top Bottom