Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Hujapata fundi mi almanusura nivunjike kiuno we acha tu, mpododo ulinilalia mweh!

Labda ulimpata alifundwa kitchen part, ukanda wetu kusini ukimpata mnene kitandan co participative hadi inaboa.
 
Halafu nasikia wanakufa mapema kwa bp na magonjwa ya moyo (sina evidence madaktar watanisaidia) Kwa hiyo wanaume wengi tunaogopa kuwa wagane.
 
ipo siku Mungu atawatokea mtapata wenzi wenu wa maisha misjali mabestito
 
hapa hakuna ukweli kabisaa! kama ungekuwa unaelewa fika watu wana badilika usnge sema wanaume hawapendi kuoa wanawake wanene!

mimi naamini hata hao wembamba wanaweza kuwa wanene kulingana na mabadiliko ya mwili!
 
Hebu tusemae jamb hapa kwamb wanaume sisi tunapotaka kuoa 2naangalia mamb meng xana kuliko mnavyojua nyie!
- suala la unene lipo kwa muoaj kama anapenda au la! lakin ciamin kwamb huwa hamuolewi kisa wowow
-wanaume wa sasa tnaanglia na kichwan zipo????
 
Nadhani hata wao wenyewe kutokana na hayo maumbile yao wanajisahau na kujiona kuwa ni mapambo au matamanio ya wanaume kutokan ana sifa eti cheki alivyojazia kifuzi hichooo,,,,,ndio maana wanabakia hivyo hivyo bila kuolewa kwa kuendekeza sifa za machoni kwani wakiolewa hawatapata muda huo wa kujionyesha onyesha,,,,mwisho wa siku FAINALI imefika wamezeeka weshakua MAGARI YA MKAA hakuna tena wa kuwataka!!!
 

Nyie uwa mnatamaniwa na sio kupendwa hivyo kuolewa inakua vigumu
 

exactly mind stablity
 

Kwa kweli mabonge wengi wanajitahidi kwenye mechi ila shida yao wanagawa sana na wanatamaniwa na wanaume wengi so ndo mana wanaishia kuwa vidumu vya mkononi.
 
elimu inahitajika haraka kwa kina dada mwenye mtizamo mbovu !
 
kweli hamjui kitu gani mnamiss kutoka kwa haya ma v8.
 

Tatizo lenu kubwa ni kwamba wengi wenu akili huendeshwa na umbo, kila unapopita akili ipo kwenye umbo lako kwamba watu wanakuangali, we mzuri, umbo zuri atlast unakuwa mtu wa kutaka vilivyo vizuri.

Mwisho unakuwa mtu wa kujirusha, leo na huyu kesho na yule sababu tu una umbo zuri na hutakosa soko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…