AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Tofautisha Wahamiaji,wakimbizi na Makabila ya Tanzania, Makabila yetu tunayo tunayajua yamekuepo kabla hata ya uhuru japo mengine ni madooogo sana na mengi yalitoka nchi za mbali lakini si hawa Warundi,Wasomali na Wanyaru wanaojazana kila siku. Hatuwakatai tunaish nao fresh tu ila swala la kuwapa Mamlaka ni ujinga mkuu.