Pre GE2025 Kwanini suala la uraia wa Watanzania wageni waliopo Serikalini linatokea sasa wakati tunaelekea kwenye Uchaguzi?

Pre GE2025 Kwanini suala la uraia wa Watanzania wageni waliopo Serikalini linatokea sasa wakati tunaelekea kwenye Uchaguzi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Marekani, Australia zimejengwa na watu wote walioamua tu kwa hiyari zao kuwa ni Wamarekani(au waAust...)


Kama Tanzania inapendwa hivi basi tukaribishe hao wageni na kuwapa uraia na kuwaruhusu wachape kazi.

Nchi ina fursa nyingi hii, abundant. Warete wareteeeeeeee!!!
Wale hufuata due procedure..

Angalia Arnold Schwarzenegger aliyoupata uraia wa US kutoka Austria hadi kuja kuwa governor wa California.

Bongo rushwa nyingi CDF yuko sawa , napenda diversity ila watu wafuate utaratibu sahihi.
 
Badala ya kuoambana na umasikini wanapambana na asili ya mtu
🇺🇸 Blacks wengi wamo NASA kwa hiyo ina maana wamewaletea ujuzi Africa kisa ni weusi
Au wanafanya kazi kama wamarekani na kulinda Taifa lao?
Wabongo mbadilike kwa Ubaguzi ndio maana umasikini hauishi
Mnarogana kutwa wenyewe kwa wenyewe na hamfiki popote
Tatizo la mtanganyika ni ujinga,chuki dini,na ukanda hii inchi hii haitapata maendeleo na ipo siku dhambi ya ubaguzi kwa raia wajinga haita iacha salama itasambaratika kwa kanda,maana ubaguzi haujawahi kihistoria kuacha salama taifa lolote lile duniani
 
Tatizo la mtanganyika ni ujinga,chuki dini,na ukanda hii inchi hii haitapata maendeleo na ipo siku dhambi ya ubaguzi kwa raia wajinga haita iacha salama itasambaratika kwa kanda,maana ubaguzi haujawahi kihistoria kuacha salama taifa lolote lile duniani
Mataifa tajiri duniani yamekuzwa kiuchumi na wahamiaji hata 🇺🇸 walienda Irish huko na Italians
Leo wajinga wachache wanaona kuwa na watu aina moja ili wazidi kuwanyonya na kuwakandamiza kwa sababu ni wa aina moja
Usiwaahangae wanaogopa mpaka watanzania waliopo nje kuwapa dual citizenship kwa woga
Kumbe hawajui hakuna anaewaza siasa bali biashara tu
 
Mataifa tajiri duniani yamekuzwa kiuchumi na wahamiaji hata 🇺🇸 walienda Irish huko na Italians
Leo wajinga wachache wanaona kuwa na watu aina moja ili wazidi kuwanyonya na kuwakandamiza kwa sababu ni wa aina moja
Usiwaahangae wanaogopa mpaka watanzania waliopo nje kuwapa dual citizenship kwa woga
Kumbe hawajui hakuna anaewaza siasa bali biashara tu
Taifa hili ni la ajabu sana,ni ukweli mtupu wanataka waendelee kuwatawala watu wa aina moja ,mataifa makubwa duniani yanaruhusu watu kutoka mataifa mengine duniani kuja kwenye mataifa yao,sisi tumebakia nasiasa za kijima za karne ya 15 ,na tumesahau mipaka iliyowekwa ni ya kikoloni na hata hao wanaowabagua wenzio na tukiangalia gene pool yao usikute awana asili yoyote ya utanganyika tukirudi nyuma kwa generation tatu za mababu zao unakuta mababu zao wanaasili ya zambia,Tatizo la mtanganyika ni ujinga na kuhadaiwa kisiasa,sehemu yoyote yenyemuingiliano maendeleo makubwa lazima yawepo
 
Wale hufuata due procedure..

Angalia Arnold Schwarzenegger aliyoupata uraia wa US kutoka Austria hadi kuja kuwa governor wa California.

Bongo rushwa nyingi CDF yuko sawa , napenda diversity ila watu wafuate utaratibu sahihi.
Kweli, utaratibu muhimu
 
Taifa hili ni la ajabu sana,ni ukweli mtupu wanataka waendelee kuwatawala watu wa aina moja ,mataifa makubwa duniani yanaruhusu watu kutoka mataifa mengine duniani kuja kwenye mataifa yao,sisi tumebakia nasiasa za kijima za karne ya 15 ,na tumesahau mipaka iliyowekwa ni ya kikoloni na hata hao wanaowabagua wenzio na tukiangalia gene pool yao usikute awana asili yoyote ya utanganyika tukirudi nyuma kwa generation tatu za mababu zao unakuta mababu zao wanaasili ya zambia,Tatizo la mtanganyika ni ujinga na kuhadaiwa kisiasa,sehemu yoyote yenyemuingiliano maendeleo makubwa lazima yawepo
Wapuuzi sana hao
 
Badala ya kuoambana na umasikini wanapambana na asili ya mtu
🇺🇸 Blacks wengi wamo NASA kwa hiyo ina maana wamewaletea ujuzi Africa kisa ni weusi
Au wanafanya kazi kama wamarekani na kulinda Taifa lao?
Wabongo mbadilike kwa Ubaguzi ndio maana umasikini hauishi
Mnarogana kutwa wenyewe kwa wenyewe na hamfiki popote
Hii ni vita katı ya Tanzania na Jamhuri ya Wapigaji.

Ni vita ambayo imebidi ıtokee baada ya kifo cha hayati JPM.

Vita hii ilikuwa chini ya kapeti ila maji yamezidi kimo.

Watanzania ndo wa kuamua ili tusonge mbele twahitaji CCM mpya ya wazalendo dhidi ya hii Jamhuri ya wapigaji au la.

Kwa sababu ikiwa CDF kaamua kujitokeza kwa kauli, basi vita ipo.
 
Hii ni vita katı ya Tanzania na Jamhuri ya Wapigaji.

Ni vita ambayo imebidi ıtokee baada ya kifo cha hayati JPM.

Vita hii ilikuwa chini ya kapeti ila maji yamezidi kimo.

Watanzania ndo wa kuamua ili tusonge mbele twahitaji CCM mpya ya wazalendo dhidi ya hii Jamhuri ya wapigaji au la.

Kwa sababu ikiwa CDF kaamua kujitokeza kwa kauli, basi vita ipo.
Na kweli kuna kitu kikubwa na lazima tusonge
Hawa wapigaji wadhibitiwe kwa pamoja
Hii ni vita haswa
 
Je,

1. Wazanaki wanakotoka viongozi mbalimbali ikiwemo baba wa taifa Mwalimu Nyerere ni 100% Watanzania?

2. Wamakuwa kutoka mkoani Mtwara ambako pia anatoka aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Mkapa ni 100% Watanzania?

3. Kabila la Wasubi atokalo aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Magufuli na ambalo pia ni la Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa nishati nao ni Watanzania 100%?

4. Kabila la analotoka Makamu wa Rais wa sasa Dr. Mpango ni 100% Watanzania?

5. Kabila la CDF Gen. Mkunda ni 100% la Watanzania?

6. Hayati Baba wa Taifa alikosea kusema na hata kukemea vikali Watanzania kuanza kubaguana kwa makabila na mataifa watokayo kiasili?

7. Kwanini hili limetokea sasa wakati Tanzania ikielekea katika chaguzi za Serikali ya mitaa mwaka huu na ule uchaguzi mkuu wa mwakani?

Tafadhali Rais Samia na CDF Gen. Mkunda nijibuni haraka haya maswali yangu ili nami niwajibu upesi walionituma kwani wako hewani sasa wanangojea.
Kuna watu fulani kutoka arabuni....
 
Mkimbizi hafu unalikwamisha taifa dawa yake ni kufukuzwa , hata wewe inaonekana ni mkimbizi , na unawatetea wanao likwamisha taifa , kiufupi ni kwamba taifa linahitaji wazalendo
 
Kwa sisi ambao wazazi wetu ni watu wa nchi mbili tofauti tunaamua kukaa kimya ila Mmechelewa sana!
Wewe ndo yule uliye enda jeshini kwa mujibu wa Sheria , inabidi tuufatilie uraia wako, na mmetumwa na nani kuja Tz
 
Mataifa tajiri duniani yamekuzwa kiuchumi na wahamiaji hata [emoji631] walienda Irish huko na Italians
Leo wajinga wachache wanaona kuwa na watu aina moja ili wazidi kuwanyonya na kuwakandamiza kwa sababu ni wa aina moja
Usiwaahangae wanaogopa mpaka watanzania waliopo nje kuwapa dual citizenship kwa woga
Kumbe hawajui hakuna anaewaza siasa bali biashara tu
Wahamiaji wanatakiwa waongeze tija katika taifa sio kuwa mzigo au kusababisha mitafaruku zaidi.
 
Wahamiaji wanatakiwa waongeze tija katika taifa sio kuwa mzigo au kusababisha mitafaruku zaidi.
Wameleta shida gani, ni ajabu sn bdo unawaamini viogozi mafsadi na wajinga.
Nchi makini ina deal na majasusi sio kusumbua raia wake
Unajua hapa lengo lao sio wakimbizi wa mtaani, bali wanatafuta kusumbua raia wenye nguvu ya ushawishi Kisiasa.
Vyvyte wafanye lakini mm naamini wanafanya ujinga.

Wapambabe na majasusi ya nchi jiran, sio raia na viongozi weny asili ya nchi jirani
 
Nadhani CDF amemtahadharisha Mama kuwa Uraia uwe ni kigezo muhimu cha Wagombea katika ngazi mbali mbali kwenye chaguzi zinazokuja ndani ya CCM! Tutegemee waombaji kunyimwa fomu za kugombea na wengine wakienguliwa katika nafasi zao kwa kigezo cha Uraia!
Nawaza lakini!
 
Wahamiaji wanatakiwa waongeze tija katika taifa sio kuwa mzigo au kusababisha mitafaruku zaidi.
Hilo halina ubishi mkuu, na asiesaidia taifa katika maendeleo aondoke
Mkuu wapo wengi wenye nia ya kuwekeza ila vigezo na rushwa inawakatisha tamaa na wanaondoka na hela zao na kuhamia jirani

Kweli hakuna anaetaka mzigo nchini
 
Je,

1. Wazanaki wanakotoka viongozi mbalimbali ikiwemo baba wa taifa Mwalimu Nyerere ni 100% Watanzania?

2. Wamakuwa kutoka mkoani Mtwara ambako pia anatoka aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Mkapa ni 100% Watanzania?

3. Kabila la Wasubi atokalo aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Magufuli na ambalo pia ni la Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa nishati nao ni Watanzania 100%?

4. Kabila la analotoka Makamu wa Rais wa sasa Dr. Mpango ni 100% Watanzania?

5. Kabila la CDF Gen. Mkunda ni 100% la Watanzania?

6. Hayati Baba wa Taifa alikosea kusema na hata kukemea vikali Watanzania kuanza kubaguana kwa makabila na mataifa watokayo kiasili?

7. Kwanini hili limetokea sasa wakati Tanzania ikielekea katika chaguzi za Serikali ya mitaa mwaka huu na ule uchaguzi mkuu wa mwakani?

Tafadhali Rais Samia na CDF Gen. Mkunda nijibuni haraka haya maswali yangu ili nami niwajibu upesi walionituma kwani wako hewani sasa wanangojea.
Una ID nyingi

Hongera
 
Back
Top Bottom