NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
opareshen jiwe must go tayari ndio maana wametoa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuhopareshen jiwe must go tayari ndio maana wametoa!!
Mungu atutunzie Rais Samia kwa hakikaopareshen jiwe must go tayari ndio maana wametoa!!
Iko wapi?opareshen jiwe must go tayari ndio maana wametoa!!
Mambo yanakwenda vizuri sasaUKIWA NA SAMIA RAHA SANA
Mabeberu waliwasikiliza sana hawa akina Lissu
Ila kwa jinsi mama anavyowafuata hadi New York kina Lissu kimya kabisa
Niliwaambia Samia atafanya mambo makubwa sana kirahisi kwasababu ya mkono wa Mungu
Mungu ampiganie Rais wetu kipenzi aendelee kutusaidia sisi masikini
😍😍Mungu atutunzie Rais Samia kwa hakika
Kaziiendelee kama kawaidaUKIWA NA SAMIA RAHA SANA
Mabeberu waliwasikiliza sana hawa akina Lissu
Ila kwa jinsi mama anavyowafuata hadi New York kina Lissu kimya kabisa
Niliwaambia Samia atafanya mambo makubwa sana kirahisi kwasababu ya mkono wa Mungu
Mungu ampiganie Rais wetu kipenzi aendelee kutusaidia sisi masikini
Nchi changa baada ya miaka 60? Acha zako ndugu yangu. Sasa hivi tunatakiwa tupokee misaada kama add on tu, siyo kuwa tuweke misaada mbele. Rwanda waliochinjana miaka michache iliyopita sasa hivi hawategemei misaada tena ila inakuja kama add-on tu. Singapore ambayo ilikuwa chini sana kuliko sisi na wala haina raslimali yoyote ndiyo sasa wanatoa misaada. Ifikie tuachane na huu ugonjwa wa misada; mtegemea ndugu hufa maskini!Hata SA wanasaidiwa sembuse sisi?
Bado nchi changa hii inahitaji misaada sana
91.8% ya bajeti yetu 2021/22 ni fedha ya ndani nadhani umeelewaNchi changa baada ya miaka 60? Acha zako ndugu yangu. Sasa hivi tunatakiwa tupokee misaada kama add on tu, siyo kuwa tuweke misaada mbele. Rwanda waliochinjana miaka michache iliyopita sasa hivi hawategemei misaada tena ila inakuja kama add-on tu. Singapore ambayo ilikuwa chini sana kuliko sisi na wala haina raslimali yoyote ndiyo sasa wanatoa misaada. Ifikie tuachane na huu ugonjwa wa misada; mtegemea ndugu hufa maskini!
Kwa hiyo hatuhitaji misaada serikalini! Correct? Basi misaada hiyo iwe add on kwenda kwenye huduma za kijamii kupitia NGOs siyo serikalini tena.91.8% ya bajeti yetu 2021/22 ni fedha ya ndani nadhani umeelewa
Hilo nijambo jingine mkuu wanguKwa hiyo hatuhitaji misaada serikalini! Correct? Basi misaada hiyo iwe add on kwenda kwenye huduma za kijamii kupitia NGOs siyo serikalini tena.
Misaada ya masharti!Uliwahi kumsikia Magufuli akikataa msaada? Kwani nani hajitegemei? Ukipewa msaada utakataa??
Unatudhalilisha kutufanya TZ ushindi wetu ni misaadaNashindwa hata nimuelezeeje Mama huyu, Kila anachofanya ni ushindi kwa Taifa,
Watu ni maboya sana maskini zaidi ya machinga na tozo za ki*##NG**UKIWA NA SAMIA RAHA SANA
Mabeberu waliwasikiliza sana hawa akina Lissu
Ila kwa jinsi mama anavyowafuata hadi New York kina Lissu kimya kabisa
Niliwaambia Samia atafanya mambo makubwa sana kirahisi kwasababu ya mkono wa Mungu
Mungu ampiganie Rais wetu kipenzi aendelee kutusaidia sisi masikini
Inasikitisha Baba aliikataa posa ya bandarMisaada ya masharti!
Wao wanakuwa mabosi kukuelekeza Nini ufanye kisa tu wanakupa misaada
Bushit!
Inasikitisha sana Baba aliikataa posa ya bandari leo kapumzika hakuna cha posa wala nini binti kaenda kwa zawadi ya vitenge Mungu inusuru Tanzania