Kwanini Sweden (Sida) hawakutupa pesa FY2020|21 na badala yake wametupa FY2021|22 mwaka mmoja baadaye?

Kwanini Sweden (Sida) hawakutupa pesa FY2020|21 na badala yake wametupa FY2021|22 mwaka mmoja baadaye?

 
Zilisitishwa kipindi kile kwa sababu mkuu wa mkoa fulani aliwakazia wale "wanaume wa....."

Michael Pompeo.
 
UKIWA NA SAMIA RAHA SANA

Mabeberu waliwasikiliza sana hawa akina Lissu

Ila kwa jinsi mama anavyowafuata hadi New York kina Lissu kimya kabisa

Niliwaambia Samia atafanya mambo makubwa sana kirahisi kwasababu ya mkono wa Mungu

Mungu ampiganie Rais wetu kipenzi aendelee kutusaidia sisi masikini
Mambo yanakwenda vizuri sasa
 
UKIWA NA SAMIA RAHA SANA

Mabeberu waliwasikiliza sana hawa akina Lissu

Ila kwa jinsi mama anavyowafuata hadi New York kina Lissu kimya kabisa

Niliwaambia Samia atafanya mambo makubwa sana kirahisi kwasababu ya mkono wa Mungu

Mungu ampiganie Rais wetu kipenzi aendelee kutusaidia sisi masikini
Kaziiendelee kama kawaida
 
Hata SA wanasaidiwa sembuse sisi?
Bado nchi changa hii inahitaji misaada sana
Nchi changa baada ya miaka 60? Acha zako ndugu yangu. Sasa hivi tunatakiwa tupokee misaada kama add on tu, siyo kuwa tuweke misaada mbele. Rwanda waliochinjana miaka michache iliyopita sasa hivi hawategemei misaada tena ila inakuja kama add-on tu. Singapore ambayo ilikuwa chini sana kuliko sisi na wala haina raslimali yoyote ndiyo sasa wanatoa misaada. Ifikie tuachane na huu ugonjwa wa misada; mtegemea ndugu hufa maskini!

 
Nchi changa baada ya miaka 60? Acha zako ndugu yangu. Sasa hivi tunatakiwa tupokee misaada kama add on tu, siyo kuwa tuweke misaada mbele. Rwanda waliochinjana miaka michache iliyopita sasa hivi hawategemei misaada tena ila inakuja kama add-on tu. Singapore ambayo ilikuwa chini sana kuliko sisi na wala haina raslimali yoyote ndiyo sasa wanatoa misaada. Ifikie tuachane na huu ugonjwa wa misada; mtegemea ndugu hufa maskini!
91.8% ya bajeti yetu 2021/22 ni fedha ya ndani nadhani umeelewa
 
91.8% ya bajeti yetu 2021/22 ni fedha ya ndani nadhani umeelewa
Kwa hiyo hatuhitaji misaada serikalini! Correct? Basi misaada hiyo iwe add on kwenda kwenye huduma za kijamii kupitia NGOs siyo serikalini tena.
 
Nashindwa hata nimuelezeeje Mama huyu, Kila anachofanya ni ushindi kwa Taifa,
Unatudhalilisha kutufanya TZ ushindi wetu ni misaada

Ushindi tungepata katika maono ya JPM

Kujenga uchumi imara, na kuishi huru bila kutegemea misaada

Tanzania bila misaada inawezekana

Tunataka viongozi wenye ndoto za JPM

RIP JPM
 
UKIWA NA SAMIA RAHA SANA

Mabeberu waliwasikiliza sana hawa akina Lissu

Ila kwa jinsi mama anavyowafuata hadi New York kina Lissu kimya kabisa

Niliwaambia Samia atafanya mambo makubwa sana kirahisi kwasababu ya mkono wa Mungu

Mungu ampiganie Rais wetu kipenzi aendelee kutusaidia sisi masikini
Watu ni maboya sana maskini zaidi ya machinga na tozo za ki*##NG**
 
Je misaada inakuja kutekeleza vipaumbele vyetu vya sasa?ningeshukuru sana kama misaada hiyo itakamilisha mradi wa barabara za mijini DMDP huku manispaa ya ubungo ...barabara ya njia nne Kimara...nk
 
Back
Top Bottom