Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

State Lab. is under lockdown.
Sijui na yale nagari yaliyotolewa na German nayo yanachunguzwa au LA?
 
Ni swali chokonozi and it is a matter of curiosity. Takribani wiki sasa tangu tutangaziwe maambukizi na vifo vya COVID19. Hata hivyo tangazo hilo lilikuja baada ya kelele kuzidi huku.

Baada ya idadi mpya kutangazwa Mh.Rais alikuja na tuhuma mpya ya kuhisi ama vifaa vya kupima vina matatizo au kuna hujuma inayosababisha idadi kuwa kubwa.

Sambamba na hilo mbunge aliyekuwa akipigania idadi ya wagonjwa isitangazwe alipandishwa cheo.

Baada ya hapo idadi ya maambukizi mapya haijatangazwa tena.

Naomba kujua kwa hiyo baada ya kuonekana vipimo vinachakachua ndio idadi ya maambukizi haitangazwi tena mpaka itakapoamuliwa?

Idadi ya vifo je nayo imesimamishwa
Mtawala nasema mtawala sio kiongozi kapiga pini kipimo sasa taarifa zitatoka wapi, wewe jikinge wewe na familia yako, yeye kasepa
 
State Lab. is under lockdown.
Sijui na yale nagari yaliyotolewa na German nayo yanachunguzwa au LA?
Tutafukunyua kila kitu ili tuhakiki tumefukunyua na kuwabaini waliokwisha nunuliwa na hayo mabeberu yenu. we tulia uyaone manyani na mabeberu yalivyo
 
Kwa sababu hakuna utawala wa sheria. Haki ya kuhahamishwa (habari) kama ilivyo kwa haki nyingine za katiba yetu zinapindishwa kwa makusudi na watu walioapa kuilinda na kuitetea katiba hiyo hiyo na hakuna wa kuwaadabisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna msemo wangu sungura mjanja kala nyama yake na ya fisi....Naona kama kuna mjanja mmoja Tanzania amefanikiwa kuthibiti matokeo ya Corona kuwekwa wazu.....kwanza nani atangaze ili hali aliyepima katumbuliwa?

Kama Corona haipo, basi aproach hii iyafanikiwa na itakua bonge la sifa kwa mtengenazaji filamu...ila kama Coron ipo kweli ,watu watapukutika kama Kumbikumbi maana, saivi mtaani ni kama tatizo limeisha...tahadhari muhimu wala sio kitu cha maana tena....Narudia tena Kama ugonjwa haupo basi aliyetengeneza hii sinema atakua Shujaa....Ila kama ugonjwa upo!!!!??!tutakua a loughing talk duniani. Tuombe
 
Anatamani kupiga marufuku barakoa, yaani ukionekana umevaa unapelekwa polis
 
Kuna msemo wangu sungura mjanja kala nyama yake na ya fisi....Naona kama kuna mjanja mmoja Tanzania amefanikiwa kuthibiti matokeo ya Corona kuwekwa wazu.....kwanza nani atangaze ili hali aliyepima katumbuliwa?

Kama Corona haipo, basi aproach hii iyafanikiwa na itakua bonge la sifa kwa mtengenazaji filamu...ila kama Coron ipo kweli ,watu watapukutika kama Kumbikumbi maana, saivi mtaani ni kama tatizo limeisha...tahadhari muhimu wala sio kitu cha maana tena....Narudia tena Kama ugonjwa haupo basi aliyetengeneza hii sinema atakua Shujaa....Ila kama ugonjwa upo!!!!??!tutakua a loughing talk duniani. Tuombe

Tumeonekana KICHEFUCHEFU dunia nzima.
 
Kuna msemo wangu sungura mjanja kala nyama yake na ya fisi....Naona kama kuna mjanja mmoja Tanzania amefanikiwa kuthibiti matokeo ya Corona kuwekwa wazu.....kwanza nani atangaze ili hali aliyepima katumbuliwa?

Kama Corona haipo, basi aproach hii iyafanikiwa na itakua bonge la sifa kwa mtengenazaji filamu...ila kama Coron ipo kweli ,watu watapukutika kama Kumbikumbi maana, saivi mtaani ni kama tatizo limeisha...tahadhari muhimu wala sio kitu cha maana tena....Narudia tena Kama ugonjwa haupo basi aliyetengeneza hii sinema atakua Shujaa....Ila kama ugonjwa upo!!!!??!tutakua a loughing talk duniani. Tuombe
H.T.P
Hakika hilo ndilo likikuwa lengo halisi.............

Tujiulize imekuwaje baada ya ule "utumbo" wa Magu, inakatika wiki nzima, bila ya kutangazwa matokeo yoyote?
 
Kuna msemo wangu sungura mjanja kala nyama yake na ya fisi....Naona kama kuna mjanja mmoja Tanzania amefanikiwa kuthibiti matokeo ya Corona kuwekwa wazu.....kwanza nani atangaze ili hali aliyepima katumbuliwa?

Kama Corona haipo, basi aproach hii iyafanikiwa na itakua bonge la sifa kwa mtengenazaji filamu...ila kama Coron ipo kweli ,watu watapukutika kama Kumbikumbi maana, saivi mtaani ni kama tatizo limeisha...tahadhari muhimu wala sio kitu cha maana tena....Narudia tena Kama ugonjwa haupo basi aliyetengeneza hii sinema atakua Shujaa....Ila kama ugonjwa upo!!!!??!tutakua a loughing talk duniani. Tuombe
Tanzania hakuna Corona
 
Sote tumeshuhudia jinsi taarifa juu ya uhalisia wa janga la virus vya korona nchini zinavyokanyagwa na ambavyo viongozi wetu hawapendi tuujue ukweli. Wapo viongozi wameenda mbali na kupendekeza kuwa mamlaka zisitangaze idadi ya maambukizi, na hata wengine wamejaribu kutia siasa na propaganda kuwa Vipimo vinadanganya.

Sidhani kama wako sahihi, ingawa nimekuwa nikijiuliza maswali kadhaa ikiwemo je haya yote Ni kwa sababu chama tawala kinaogopa Kama kitawapa taarifa sahii wananchi juu ya madhara yaliyosababishwa na yanayoendelea kusababishwa na korona kinaweza kupoteza uchaguzi ujao?
 
Halafu ukitaka uone kuwa Wananchi wanamuunga mkono Rais Magufuli waulize kuhusu lockdown

Wanakuambia hatutaki kufungiwa sisi

Wanaotaka kufungiwa ni hawa wanaondesha v8
 
Halafu ukitaka uone kuwa Wananchi wanamuunga mkono Rais Magufuli waulize kuhusu lockdown

Wanakuambia hatutaki kufungiwa sisi

Wanaotaka kufungiwa ni hawa wanaondesha v8
Hahahhaa. Umeenda nje ya mada
 
Mbona USA kuna uchaguzi lakini wanatoa updates?
USA siyo Tanzania. Ndio maana kule kiongozi wa Jimbo anaweza kukataa kuwa Jimbo lake Lockdown isiondolewe tofauti na Bongo mwamzi Ni mmoja. Means kwa democracy ya kule Hakuna namna unaweza ficha taarifa
 
Utopolo tu, ugoro ugoro ndo mambo wanayotufanyia.

Hawako serious na afya zetu wanajijali wenyewe.

We chukua hatua unazoona zinafaa.
 
Wapo CCM kindaki ndaki hawakubaliani na kinachotelekezwa na meko kwenye huu ugonjwa.

Tunayo yaona ni yatokanayo na jeshi la mmoja tu. Hawa kina bia yenu na wenzake ni njaa tu. Alimradi mkono uende kinywani.
 
Back
Top Bottom