Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Jana Maambukizi ya Bara zima la Afrika yalikuwa juu kwa asilimia 40%

Ushauri wangu kwa Wapendwa Watanzania epuka misongamano na kwa madereva wa Transit goods nawashauri tembeeni usiku msiingie kwenye mahoteli jipikieni chakula mbali na miji.
 
Jana Maambukizi ya Bara zima la Afrika yalikuwa juu kwa asilimia 40%

Ushauri wangu kwa Wapendwa Watanzania epuka misongamano na kwa madereva wa Transit goods nawashauri tembeeni usiku msiingie kwenye mahoteli jipikieni chakula mbali na miji.
PM katangaza maambukizi yamefikia 480
 
Hapa bado mnasisitiza ni kaugonjwa kadogo!Huyu Jiwe anawapenda kweli watanzania?
 
Uzuri wa maradhi huwa hayafichiki, kuna siku lazima utaumbuka tu.
 
Huku mtaani watu wanaanguka sana mpaka watu wamekua waoga kwenda kuzika
 
picresized_1353113519_7283200914_69d9a02761_b.jpg

Tusijishangae sana tunaendelea kupiga hatua tokea tushuke kwenye miti

Covid19 deniers ati virusi haviwezi kukaa kwenye mwili wa Christ
 
Mkuu nani anaumwa mbona we mwenyewe uko hapa
Mpaka mimi niumwe?Mimi ninejiongeza na familia yangu,kwasasa nimeipeleka huko kwa bibi yao kijijini kuwaepusha na hili janga!Kama JPM kajificha na familia yake halafu wewe anakwambia ni kaugonjwa kadogo,ukimsikiliza utakuwa una matatizo ya akili!
Mimi siku atakaporudi mjini ndio nitaanza kufikiria kuirudisha familia yangu,else ngoja nipambane mwenyewe huku nikichukua tahadhari!Za kuambiwa changanya na zako!Umeangalia jana BBC swahili?Kama hukuangalia tafuta habari hiyo ndio urudi hapa!
 
Kama jambo au unajua watu waliokufa si wataje wewe badala kuja mawazo yako au taarifa zisizokuwa rasmi.
DC Mtwara imekuwaje?Mtu amezikwa na serikali kwa uangalizi maalum na watu wasiozidi 10 tena amezikwa huko huko ambako sio kwao!Za kuambiwa changanya na zako!
 
Mpaka mimi niumwe?Mimi ninejiongeza na familia yangu,kwasasa nimeipeleka huko kwa bibi yao kijijini kuwaepusha na hili janga!Kama JPM kajificha na familia yake halafu wewe anakwambia ni kaugonjwa kadogo,ukimsikiliza utakuwa una matatizo ya akili!
Mimi siku atakaporudi mjini ndio nitaanza kufikiria kuirudisha familia yangu,else ngoja nipambane mwenyewe huku nikichukua tahadhari!Za kuambiwa changanya na zako!Umeangalia jana BBC swahili?Kama hukuangalia tafuta habari hiyo ndio urudi hapa!
Sawa mkuu October usiache kuchagua ccm
 
Taarifa za Uhakika zinasema kuwa kwa usiku ya jana tu ile mvua ya manyunyu iliyonyesha Dar, wanawake ZAIDI YA 1000 wametungwa mimba na 75% ni kwa ufadhili wa Al-Kaasus Mujarab
 
Back
Top Bottom