Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupenda kutangaziwa watu kufa ni dalili ya uchawi Kama alivyo seme mleta mada utalilia vp usikie watu wanakufa? Kama si uchawi nini? Ukisikia vifo ndio Corona itakimbia ama kweli wafuasi wa shetani wako wengi
Hivi unavyojua mgonjwa wa Corona akifa anazikwaje? Huoni habari/video watu wanapozikwa nchi zozote au labda ulijua ni hapa tu nenda Google kaangalie nchi yoyote unayotaka utaona wagonjwa walio kufa kwa Corona wanavyo zika afadhali yetu huku mnaruhisiwa familia mpaka watu 10Vipi kuzika watu kisirisiri kama misukule siyo dalili ya uchawi?
Tuambie ukweli
Hebu tuambie wewe maana hawa "wanapotosha"
Wewe ulitakaje? Au ulitaka usikie vifo au wameongezeka maelfh ndo uamini?
Mna akili timamu kweli?Mficha maradhi kifo humuumbua!Acheni kucheza na maisha ya watanzania!Eti maambukizi yameacha kusambaa baada ya hotuba ya Rais,shame!Tanzania haina wagonjwa wengi .ugonjwa umedhibitiwa sana nchini.na hivi karibun shughuli zote zitaendelea kama kawaida heko rais magufuli.2020 ni magufuli
Watueleze kwanza hao wanaozikwa na watu 10 wa serikali huku wamevaa mask na gloves walikufa na nini?Hebu tuambie wewe maana hawa "wanapotosha"