barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Aendelee kuwa kivuli. Sasa si akaapply hiyo mbinu ufipa?Waziri wetu wa Afya kivuli umemsoma mkakati wetu tungepunguza vifo vya Watanzania na tungepunguza maambukizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aendelee kuwa kivuli. Sasa si akaapply hiyo mbinu ufipa?Waziri wetu wa Afya kivuli umemsoma mkakati wetu tungepunguza vifo vya Watanzania na tungepunguza maambukizi
Kama ninyi mumeshindwa si mujiuzulu tuAendelee kuwa kivuli. Sasa si akaapply hiyo mbinu ufipa?
Nani kasema sio za kweli? Embu acha story zako za vijiweni.Data za nini? Zikotolewa mnasema sio za kweli! Hamueleweki mnataka nini.
Kama kutotoa habari ni kinyume cha sheria, je kupitia mahakama wadau wana uwezo wa kuilazimisha serikali kutekeleza wajibu wake?Mkuu Mystery,
Naunga mkono hoja, enzi za zamani, mambo ya kutoa habari kwa upande wa serikali ilikuwa iko huru kutoa habari au kutotoa, ikijisikia kutoa habari, inatoa, ikijisikia kutotoa habari, haitoi na hakuna yoyote mwenye mamlaka ya kuiuliza.
Lakini kuanzia mwaka 2016, Tanzania tumepitisha sheria ya haki ya kupata habari, the right to information act, ambapo sasa kupata habari ni haki, sio favours, serikali inawajibika kutoa habari za kweli kwa wananchi, hiki kinachoendelea sasa kwenye utoaji wa habari za maendeleo ya ugonjwa wa Corona, ni kinyume cha sheria. Watanzania wana haki ya kupata habari, unless rais atangaze hali ya hatari, sheria zote na haki zote zinasimama!.
P
Tokea tarehe 22/04/2020 Rais wetu, John Magufuli, alipofanya kikao maalum kule Chato na viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, kuhusiana na ugonjwa wa COVID 19, tumeshuhudia kimya kizito kwa upande wa mamlaka za utoaji taarifa wa Tanzania Bara ya maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo
Tukumbuke pia katika kikao hicho tulimsikia Rais wetu, akipiga "mkwara" mzito, kuwa haridhishwi na namna taarifa zinazotolewa na wizara ya Afya, kuhusu maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo wa corona
Tulishuhudia pia akifanya "mini reshuffle" kwa kumwondoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara ya Afya na kumteua mwingine
Tumeshuhudia waziri wa Afya, Ummy Mawalimu ambaye amekuwa akitupa "updates" za ugonjwa huo, akipata ghafla "kigugumizi" baada ya kikao hicho cha Mheshimiwa Rais kwa kutoweza tena kutupa taarifa zinazohusiana na ugonjwa huo
Ndipo hapo tunapomuuliza waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, nini kimekutokea hadi usitishe kutupa "updates" za maendeleo ya ugonjwa huo nchini?
Tunashuhudua kwenye nchi jirani za Zanzibar, Kenya na nchi nyingine za mbali za Uingereza na Marekani wakitoa "updates" za ugonjwa huo kila siku.
Tunafahamu pia kuwa Taifa la Tanzania limetoka kwenye maombi mazito ya kumlilia Mungu wetu atuepeshie na janga hili la corona.
Ikiwa hakuna maambukizi mapya wala vifo kutokana na maombi tuliyoyafaya kwa Mungu, basi ni vyema waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, akawa anatupatia "daily briefing" na sisi wananchi turejeshe utukufu kwa Mungu wetu, kwa kutuondolea janga hili la corona
Kwa kuendelea kukaa kimya kwa serikali, kunatoa mwanya kwa wananchi wasiolitakia mema Taifa letu, kwa kutangaza wao taarifa wanazozijua wao za maambukizi mapya na vifo vinavyotokea nchini kutokana na ugonjwa huo wa corona
Naziomba mamlaka zinazohusika za wizara ya Afya zitujibie utata huu wa suala nyeti sana la ugonjwa wa corona hapa nchini, ili sisi wananchi zituondolee hofu kubwa inayotukabili hivi sasa kuwa wananchi wa Taifa hili, hususani wa Jiji la Dar, wanapukutika kwa wingi sana
Ni lazima pia tuwajulishe watawala wetu kuwa kupewa taarifa za maendeleo ya ugonjwa huu wa corona siyo hisani kwa watawala wetu, bali ni kitu cha LAZIMA kwa wananchi wake
Tuko pamoja...........Wanajifanya wanamuheshimu jiwe, natengeneza website ikusanye report toka kwa wananchi directly anonymously hakuna kuweka namba yako ya simu wala email, ngoja watu watutumie report na picha tuweke wenyewe.
Tako moja linafanya nchi nzima tuonekane machizi
Wanajifanya wanamuheshimu jiwe, natengeneza website ikusanye report toka kwa wananchi directly anonymously hakuna kuweka namba yako ya simu wala email, ngoja watu watutumie report na picha tuweke wenyewe.
Tako moja linafanya nchi nzima tuonekane machizi
Kwahiyo kama kuna wachache wanasema hivyo ndio mmeamua kutotoa kuwakomoa hao wachache?Mna akili timamu kweli?Data za nini? Zikotolewa mnasema sio za kweli! Hamueleweki mnataka nini.
Ipo tayari hadi sasa nafanyia marekebisho kidogo tu. Sa hivi natafuta hosting ambaye atapokea malipo kwa kutumia bitcoin kila kitu nafanya kwa bitcoin so hata wakisema watafute aliyetengeneza nani watatafuta mno hawashiki mtuNaisubiri kiongozi lini itakuwa tayari mkuu...?
ProvedKama kutotoa habari ni kinyume cha sheria, je kupitia mahakama wadau wana uwezo wa kuilazimisha serikali kutekeleza wajibu wake?
Unejuaje ni wachache?Kwahiyo kama kuna wachache wanasema hivyo ndio mmeamua kutotoa kuwakomoa hao wachache?Mna akili timamu kweli?
Hata kama ni wengi,mmeamua kuwakomoa wote kisa tu hawaamini data zenu?Mna akili timamu kweli?Unejuaje ni wachache?
Umejuaje ni wengi?Hata kama ni wengi,mmeamua kuwakomoa wote kisa tu hawaamini data zenu?Mna akili timamu kweli?
Hakuna kitu kilichokuwa kina kera kama waziri Ummy kujitokeza kututisha. Angalau sasa kaacha mioyo imetulia. Sasa bora aje na mkakati wa kupunguza maambukizi.Tokea tarehe 22/04/2020 Rais wetu, John Magufuli, alipofanya kikao maalum kule Chato na viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, kuhusiana na ugonjwa wa COVID 19, tumeshuhudia kimya kizito kwa upande wa mamlaka za utoaji taarifa wa Tanzania Bara ya maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo
Tukumbuke pia katika kikao hicho tulimsikia Rais wetu, akipiga "mkwara" mzito, kuwa haridhishwi na namna taarifa zinazotolewa na wizara ya Afya, kuhusu maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo wa corona
Tulishuhudia pia akifanya "mini reshuffle" kwa kumwondoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara ya Afya na kumteua mwingine
Tumeshuhudia waziri wa Afya, Ummy Mawalimu ambaye amekuwa akitupa "updates" za ugonjwa huo, akipata ghafla "kigugumizi" baada ya kikao hicho cha Mheshimiwa Rais kwa kutoweza tena kutupa taarifa zinazohusiana na ugonjwa huo
Ndipo hapo tunapomuuliza waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, nini kimekutokea hadi usitishe kutupa "updates" za maendeleo ya ugonjwa huo nchini?
Tunashuhudua kwenye nchi jirani za Zanzibar, Kenya na nchi nyingine za mbali za Uingereza na Marekani wakitoa "updates" za ugonjwa huo kila siku.
Tunafahamu pia kuwa Taifa la Tanzania limetoka kwenye maombi mazito ya kumlilia Mungu wetu atuepeshie na janga hili la corona.
Ikiwa hakuna maambukizi mapya wala vifo kutokana na maombi tuliyoyafaya kwa Mungu, basi ni vyema waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, akawa anatupatia "daily briefing" na sisi wananchi turejeshe utukufu kwa Mungu wetu, kwa kutuondolea janga hili la corona
Kwa kuendelea kukaa kimya kwa serikali, kunatoa mwanya kwa wananchi wasiolitakia mema Taifa letu, kwa kutangaza wao taarifa wanazozijua wao za maambukizi mapya na vifo vinavyotokea nchini kutokana na ugonjwa huo wa corona
Naziomba mamlaka zinazohusika za wizara ya Afya zitujibie utata huu wa suala nyeti sana la ugonjwa wa corona hapa nchini, ili sisi wananchi zituondolee hofu kubwa inayotukabili hivi sasa kuwa wananchi wa Taifa hili, hususani wa Jiji la Dar, wanapukutika kwa wingi sana
Ni lazima pia tuwajulishe watawala wetu kuwa kupewa taarifa za maendeleo ya ugonjwa huu wa corona siyo hisani kwa watawala wetu, bali ni kitu cha LAZIMA kwa wananchi wake
Hivi mtasemaje kuwa waziri Ummy Mwalimu alikuwa anatutisha, wakati alikuwa anatimiza wajibu wake wa kutupa habari za ukweli?Hakuna kitu kilichokuwa kina kera kama waziri Ummy kujitokeza kututisha. Angalau sasa kaacha mioyo imetulia. Sasa bora aje na mkakati wa kupunguza maambukizi.
Ipo tayari hadi sasa nafanyia marekebisho kidogo tu. Sa hivi natafuta hosting ambaye atapokea malipo kwa kutumia bitcoin kila kitu nafanya kwa bitcoin so hata wakisema watafute aliyetengeneza nani watatafuta mno hawashiki mtu
Alishindwa kutumia akili. Mbona wagonjwa wa malaria hawatangazwi??? Huwezi kukopy kila kituHivi mtasemaje kuwa waziri Ummy Mwalimu alikuwa anatutisha, wakati alikuwa anatimiza wajibu wake wa kutupa habari za ukweli?
Hivi mtasemaje kuwa waziri Ummy Mwalimu alikuwa anatutisha, wakati alikuwa anatimiza wajibu wake wa kutupa habari za ukweli?
Toilet paper ya Lumumba huna la maana,sipotezi muda na mapoyoyo!Shwain!Umejuaje ni wengi?