imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Watoe tu hizo hizo walizozifukizaData za nini? Zikotolewa mnasema sio za kweli! Hamueleweki mnataka nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoe tu hizo hizo walizozifukizaData za nini? Zikotolewa mnasema sio za kweli! Hamueleweki mnataka nini.
Hamna haja. Tumieni za kigogo2014Watoe tu hizo hizo walizozifukiza
Nyie wanaccm ndio mnaoiongoza nchi sasa mbona mnakuwa na viburi na dharau hivi ummy mumempiga mkwara karibia pichu imvuke kwa sababu tu anatupa updatesHamna haja. Tumieni za kigogo2014
Mmepewa topic ya kujadili!Nyie wanaccm ndio mnaoiongoza nchi sasa mbona mnakuwa na viburi na dharau hivi ummy mumempiga mkwara karibia pichu imvuke kwa sababu tu anatupa updates
Mkuu Mystery, kwanza naunga mkono hoja.Tokea tarehe 22/04/2020 Rais wetu, John Magufuli, alipofanya kikao maalum na viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, kuhusiana na ugonjwa wa COVID 19, tumeshuhudia kimya kizito kwa upande wa mamlaka za utoaji taarifa wa Tanzania Bara ya maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo
Tukumbuke pia katika kikao hicho tulimsikia Rais wetu, akipiga "mkwara" mzito, kuwa haridhishwi na namna taarifa zinazotolewa na wizara ya Afya, kuhusu maambukizi mapya na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo wa corona
Tulishuhudia pia akifanya "mini reshuffle" kwa kumwondoa aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara ya Afya na kumteua mwingine
Tumeshuhudia waziri wa Afya, Ummy Mawalimuambaye amekuwa akitupa "updates" za ugonjwa huo, akipata ghafla "kigugumizi" baada ya kikao hicho cha Mheshimiwa Rais kwa kutoweza tena kutupa taarifa zinazohusiana na ugonjwa huo
Ndipo hapo tunapomuuliza waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, nini kimekutokea hadi usitishe kutupa "updates" za maendeleo ya ugonjwa huo nchini?
Tunashuhudua kwenye nchi jirani za Zanzibar, Kenya na nchi nyingine za mbali za Uingereza na Marekani wakitoa "updates" za ugonjwa huo kila siku.
Tunafahamu pia kuwa Taifa la Tanzania limetoka kwenye maombi mazito ya kumlilia Mungu wetu atuepeshie na janga hili la corona.
Tunadhani ni muhimu sana kwa wananchi kuendelea kupewa "updates" za ugonjwa huo za kila siku, kama yafanyavyo mataifa mengine.
Ikiwa hakuna maambukizi mapya wala vifo, basi ni vyema waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, akawa anatipatia "daily briefing" na sisi wananchi turejeshe utukufu kwa Mungu wetu, kwa kutuondolea janga hili la corona
Kwa kuendelea kukaa kimya kwa serikali, kunatoa mwanya kwa wananchi wasilitakia mema Taifa letu, kwa kutangaza wao taarifa wanazozijua wao za maambukizi mapya na vifo vinavyotokea nchini kutokana na ugonjwa huo wa corona
Naziomba mamlaka zinazohusika za wizara ya Afya zitujibie utata huu wa suala nyeti sana la ugonjwa wa corona hapa nchini, ili sisi wananchi zituondolee hofu kubwa inayotukabili hivi sasa kuwa wananchi wa Taifa hili, hususani wa Jiji la Dar, wanapukutika kwa wingi sana
Ni lazima pia tuwajulishe watawala wetu kuwa kupewa taarifa za maendeleo ya ugonjwa huu wa corona siyo hisani kwa watawala wetu, bali ni kitu cha LAZIMA kwa wananchi wake
Mungu hawezi kupokea maombi ya watu wanafki, yeye mwenyewe kajifichaHata hayo maombi bila Updates tutajuaje lama Mungu amepokea maombi yetu au la.
Lazima tuijadili Nchi yetu imekuwa himaya ya Mwami aliyechizika akiwa ofisiniMmepewa topic ya kujadili!
Na ndio lengo hilo. Mnapewa topic kisha wao wanakuwa bize na mambo ya msingi.Lazima tuijadili Nchi yetu imekuwa himaya ya Mwami aliyechizika akiwa ofisini
Mambo ya msingi gani wakati Nchi imeshawashindaNa ndio lengo hilo. Mnapewa topic kisha wao wanakuwa bize na mambo ya msingi.
Mungu ni mpenda haki, na hujibu maombi kwa wale wapenda haki........Mungu hawezi kupokea maombi ya watu wanafki, yeye mwenyewe kajificha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufipa mna vituko sanaMambo ya msingi gani wakati Nchi imeshawashinda
Hivyo ndio vile vifo 10 vya UmmyView attachment 1434094
Dada usiku wa kuamkia leo makaburi ya ununio kwa kondo wamezikwa Watu Zaidi ya 58 waliokufa kwa corona.
Kweli haya [emoji848][emoji848]View attachment 1434094
Dada usiku wa kuamkia leo makaburi ya ununio kwa kondo wamezikwa Watu Zaidi ya 58 waliokufa kwa corona.
Waziri wetu wa Afya kivuli umemsoma mkakati wetu tungepunguza vifo vya Watanzania na tungepunguza maambukiziUfipa mna vituko sana