Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Mi siwezi kufa kwa korona, nyie ndo mtakufa, na jiwe anajua vizuri tunavyomsema, hujui tu ambavyo anapita jf kila siku anapata hasira
Wewe una mkataba na mungu sio, na kma unajua wewe huwezi kufa basi ujue wengine nao hawatakufa kama unavyowaza,
Pili kumsema ni chuki yko na roho mbaya labda ulishaguswa sehemu ulokuwa unafisadi nchi, au unatumika kama msaliti tu, dua laoko hakina madhara kwa nchi.