Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Sawa hatukatai kila mtu ana iman na kiongoz wake lakin ifikie kipindi tuheshimu sheria na kanuni za nchi pasipokusahau kuheshimu na maagizo yanayotoka serikali tawala.
Nnchoamin Tanzania ni kubwa kuliko mbowe na mbowe si mkubwa mkubwa kuliko Tanzania lakin mawazo finyu ya kiongoz mkubwa na mkongwe kama mbowe anataka kupata umaharufu kupitia janga lililopo sasa!!
Anyway acha tukubali ndio mbowe akaitisha mkutano na watu wakaathirika na covid-19
JE UPINZANI MTAFAIDIKA NA NINI!!?
JE SISI WANANCHI TUTAFAIDIKA NA NINI!!?
JE SERIKALI ILIYOPO ITAFAIDIKA NA NINI!!?
Hebu tuache kutoa mawazo mgando jaman kusambaa kwa huu ugonjwa hakutomwacha yoyote salama sio mheshimiwa wala sio mbowe mwenyewe!!
Mwisho niishie kusema kwamba nna mheshimu sana mbowe ni kiongozi mkubwa na mkongwe sana ndani ya chadema na kambi ya upinzani kwa ujumla but atambue kwamba siku zote unaweza ukafanya mazuri elfu lakini kosa moja tu likaharibu kila kitu!!!
October sio mbali ni swala la muda tu
Umeelewa mantiki ya mwanzisha uzi!?
 
Sawa hatukatai kila mtu ana iman na kiongoz wake lakin ifikie kipindi tuheshimu sheria na kanuni za nchi pasipokusahau kuheshimu na maagizo yanayotoka serikali tawala.
Nnchoamin Tanzania ni kubwa kuliko mbowe na mbowe si mkubwa mkubwa kuliko Tanzania lakin mawazo finyu ya kiongoz mkubwa na mkongwe kama mbowe anataka kupata umaharufu kupitia janga lililopo sasa!!
Anyway acha tukubali ndio mbowe akaitisha mkutano na watu wakaathirika na covid-19
JE UPINZANI MTAFAIDIKA NA NINI!!?
JE SISI WANANCHI TUTAFAIDIKA NA NINI!!?
JE SERIKALI ILIYOPO ITAFAIDIKA NA NINI!!?
Hebu tuache kutoa mawazo mgando jaman kusambaa kwa huu ugonjwa hakutomwacha yoyote salama sio mheshimiwa wala sio mbowe mwenyewe!!
Mwisho niishie kusema kwamba nna mheshimu sana mbowe ni kiongozi mkubwa na mkongwe sana ndani ya chadema na kambi ya upinzani kwa ujumla but atambue kwamba siku zote unaweza ukafanya mazuri elfu lakini kosa moja tu likaharibu kila kitu!!!
October sio mbali ni swala la muda tu
Mie mnatutajia ata Sheria inayovunjwa kwa kufanya mikutano ya Siasa basi
 
Umeelewa mantiki ya mwanzisha uzi!?
Nimeielewa fika mkuu mantinki yake ni kuonyesha Kwamba Mbowe ni mkubwa kuliko Tanzania kitu ambacho ni uongo ulio kwenye maximum point maana hata asema aitishe mkutano jimboni kwake Hai sidhani kama wataenda wananchi wote
 
Yaani akisema tu anaongea na waandishi wa habari, haraka anaitwa kwenda kuonana na Kamanda wa polisi kwa lengo la kufahamiana tu.
Mh. Mbowe ni international figure! Anakubalika sana ndani na nje kwa washika dau ambao wao wanawaita mabeberu.
 
Mh. Mbowe ni international figure! Anakubalika sana ndani na nje kwa washika dau ambao wao wanawaita mabeberu.
Mimi siku zote huwa naomba watutajie japo beberu mmoja tu. Halafu tuone kama huyo beberu hachangii bajeti yetu au hana mradi wowote wa maendeleo hapa kwetu.
 
Tatizo mnamuonaga mbowe hero kumbe kunguru muoga wa kufa Sasa nikwambie kitu mbowe hawezi kuita mikutamo Sio sababu serekal imekataa Ila anaogopa aibu ya watu kumkataa Kama anaweza ajaribu hawezi kupata mtu hata mmoja labda bavicha muanze kua mnatua ya kila Jimbo lenye mkutano
View attachment 1456401

Baada ya Mbowe kuitisha tena mikutano ya hadhara iliyositishwa kwa sababu ya Janga la corona , haitapita nusu saa Waziri wa Afya atatangaza idadi ya maambukizi mapya na vifo .

Huyu mtu anaogopwa mno !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi ule muamuko wa kuvaa Barakoa na kunawa mikono umepungua. Hali ya maambukizi imefichwa kiasi watu nao wanachukulia maisha simple tu kama vile hili janga limeshakwisha. Hatari kuu iko mbeleni.
Wanaochukulia maisha simple tu ni wapuuzi na hawajali afya zao na za wale wanaowazunguka. Ni lini serikali imetangaza corona imeisha watu waache kuchukua tahadhali?

Yaani wewe kila siku unaambiwa uchukue tahadhari unapuuza eti kwa kuwa hautangaziwi takwimu mpya. Watu kama hawa ni wa kuwapima vyote, corona na akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta maada, wakati mwingine uache kutumia maneno "sisi wananchi tunataka" bali sema "mimi mwananchi ninataka". Tofauti ni kuwa unaposema "sisi" unawaweka ujingani hata wale wanaojitambua.

Kwa mfano, mwananchi anayejitambua ataacha kuchukua tahadhari dhidi ya corona pale atakapotangaziwa kuwa corona imekwisha Tanzania. Bali wewe ni yule asiyejitambua ambaye bila takwimu mpya akili yake haitulii na haoni tena umuhimu wa kuchukua tahadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeielewa fika mkuu mantinki yake ni kuonyesha Kwamba Mbowe ni mkubwa kuliko Tanzania kitu ambacho ni uongo ulio kwenye maximum point maana hata asema aitishe mkutano jimboni kwake Hai sidhani kama wataenda wananchi wote
Mkuu ebu tupe hiyo sheria inayokataza mikutano ya hadhara ya vyama vya Siasa.Hii itasaidia kuachana na hao wapiga kelele
 
Mleta maada, wakati mwingine uache kutumia maneno "sisi wananchi tunataka" bali sema "mimi mwananchi ninataka". Tofauti ni kuwa unaposema "sisi" unawaweka ujingani hata wale wanaojitambua.

Kwa mfano, mwananchi anayejitambua ataacha kuchukua tahadhari dhidi ya corona pale atakapotangaziwa kuwa corona imekwisha Tanzania. Bali wewe ni yule asiyejitambua ambaye bila takwimu mpya akili yake haitulii na haoni tena umuhimu wa kuchukua tahadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said mkuu. Akirudia tena kusema fyoko nishtue huwez ukatumia uwingi wakat huna influence yoyote katika jamii
 
Back
Top Bottom