Kwani una uhakika hayo yote hawafanyi mkuu
Unaweza kuwa na ushahidi wanaofanya?
Mi ninao wasiofanya.
Mmoja ana PhD b
na mwingine yupo mbioni kuhitimu, wenye master ndio kabisa wapo wanagongana vikumbo na diploma, sana sana huwa wanapewa
Uratibu elimu kata.
Hebu nitajie master mmoja mwenye kitabu cha Phychology,Foundition of education, Leadership nk
Kikiwepo mi ntaacha kuchangia.
Wakijitahidi sana vipamphlet vya sekondari kama kina Nyambar nyangwine hakuna kipya mkuu, hawana huo uwezo, hawana.
Vitabu vya hayo nambo vinatoka kwa wakenya na wanaija.
Master za kuombea vyeo tu content kichwani kawaida.
Ila PhD mmoja yupo vizuri lakini kan
mezwa na mfumo teuzi, anasuburi teuzi tu miaka yote. Sasa anazeeka, sijui nwisho wake.
Bahati mbaya wengine hawapendi kujikomba komba na kujipendekeza na kiherehere cha kusifia mabosi wao kisa wamewazid elimu.
Kuna mwalimu mmoja mwaka 2008 alikuwa ba digrii 4 siwezi taja shule aliokuwa anafundisha..
Wapo wengi sana, hii nchi inawasomi