Kwanini Tanzania Walimu wenye Masters hawatambuliwi kimasilahi?

Kwanini Tanzania Walimu wenye Masters hawatambuliwi kimasilahi?

Nadhani hapa ndio palikuwa pa kuanzia
Mkaguzi hana shahada ya umahiri katika elimu huwa anaenda kukagua nini sasa?
Maana ni bora wangekuwa hired kwenda ukaguzi walau wawekewe na muundo wao wa utumishi ingeleta maana
Sasa diploma anafanya nini au ana uzoefu wa kukagua?? yaan astashahada anamkagua shahada au uzamiri au umahiri???
Mfumo ni dude la hovyo fulani
Ndo hapo Sasa
 
Si kweli msiongee msivyovijua... masters elf 3 kwa mwaka? Serious
Namimi nimeshangaa Sana aisee..hata uki Google wanafunzi waliodahiliwa mwaka Jana chuo chochote kile wanafunzi wa Masters ya Ed. hawafiki hata 150
 
Ifikie kipindi sasa iwe ni kawaida kumwona mwalimu mwenye PhD anafundsha shule za msingi huko.
Jamani, yaani uko na PhD halafu unafundisha primary?!!
Hivi unaelewa maana ya PhD?
Hapo ni kama kutumia bomu kuua sisimizi. Hakuna ufanisi. Yaani ule utaalamu wa mwenye PhD utakuwa hautumiki, mwishowe atasahau mambo
 
Jamani, yaani uko na PhD halafu unafundisha primary?!!
Hapo ni kama kutumia bomu kuua sisimizi. Yaani ule utaalamu wa mwenye PhD utakuwa hautumiki, mwishowe atasahau mambo
😄Ndo maana tunapendekeza Kama serikali itaona inafaa Basi wawekewe muundo wa kiutumishi
 
Hata ukiwekwa mshahara wa Master ya education na PhD ya education kwenye scheme of service bado itakuwa ni meagre salary tu, utaambiwa mwenye Masters ya education 980,000/-, Mwenye PhD ya education 1,300,000/- Sasa si upuuzi tu bado
 
Hata hii first degree inayotambulika miaka hii ujue juz tu hapa miaka ya 90 ilikuwa haitambuliki Ila watu walitoa mapendekezo ikaanza kutambulika, wale wenye kusoma waache wasome hayo malalamiko hawakulalamikii wew na familia yako wanawalalamikia wenye mamlaka ya hayo Mambo ya mishahara.
Yani mlm hawezi kumaliza hayo madaraja kwa kuanza ajira na TGTS D, haiwezekani ukizingatia mtu anaajiliwa na u.mri wa 25+ huwezi maliza madaja.
Watanzania tunatakiwa tuanze kufikiria nje ya TGTS.
Why are you so closed mind with TGTS class?
You are just thinking within the loop of TGTS!
Motivatiobal speakers wa USA na Ulaya hushauri watu wasio na elimu ya biashara wasome master au post graduate diploma ya BBA.
Toa ilo ombwe la kukosa confidrnce, try new way.
Wasomi lini watakuwa create na kujitegemea wenyewe.
Hio mifumo ya madaraja ilibuniwa ba watu.
Are we dumb enough and lazy such that we can't start the new bright future.
Nimekaa sana na walimu they are very dumb! Ni watu wasio weza kubadili hali na kubaki ktk mazoea. Most of them they are complainer.
Samahani sana kama ntakuwa nimekuudhi ila sio nia yangu.
 
Masters zenyewe siku hizi zimeshuka thamani sababu ya mwendokasi!

Wengi wanazo lakini kiutendaji haiakisiwi hata kidogo!

Unakuta mtu hana Anya value addition sasa mwajiri akiangalia ongezeko la tija halioni!

Tufikirie kwa pamoja kizalendo zaidi!
 
Yani mlm hawezi kumaliza hayo madaraja kwa kuanza ajira na TGTS D, haiwezekani ukizingatia mtu anaajiliwa na u.mri wa 25+ huwezi maliza madaja.
Watanzania tunatakiwa tuanze kufikiria nje ya TGTS.
Why are you so closed mind with TGTS class?
You are just thinking within the loop of TGTS!
Motivatiobal speakers wa USA na Ulaya hushauri watu wasio na elimu ya biashara wasome master au post graduate diploma ya BBA.
Toa ilo ombwe la kukosa confidrnce, try new way.
Wasomi lini watakuwa create na kujitegemea wenyewe.
Hio mifumo ya madaraja ilibuniwa ba watu.
Are we dumb enough and lazy such that we can't start the new bright future.
Nimekaa sana na walimu they are very dumb! Ni watu wasio weza kubadili hali na kubaki ktk mazoea. Most of them they are complainer.
Samahani sana kama ntakuwa nimekuudhi ila sio nia yangu.
Hapana hujaudhi mtu.
 
Masters zenyewe siku hizi zimeshuka thamani sababu ya mwendokasi!

Wengi wanazo lakini kiutendaji haiakisiwi hata kidogo!

Unakuta mtu hana Anya value addition sasa mwajiri akiangalia ongezeko la tija halioni!

Tufikirie kwa pamoja kizalendo zaidi!
Hapa ni mapendekezo tu Kama serikali itaona inafaa kuwawekea muundo wa kiutumishi Walimu wenye Masters Kwan hao wenye degree/diploma utendaji wao upoje? Ila tu Ni kufanya kipaumbele Cha Elimu iwe ni Elimu ya mwalimu pia, hivi siku hz bado Kuna certificate ya ualimu?
 
Hata ukiwekwa mshahara wa Master ya education na PhD ya education kwenye scheme of service bado itakuwa ni meagre salary tu, utaambiwa mwenye Masters ya education 980,000/-, Mwenye PhD ya education 1,300,000/- Sasa si upuuzi tu bado
Mtu ana master au PhD badala afanye tafiti auze machapisho, auze vitabu aongeze kipato anawa scale. Tutachelewa sana.
Maktaba zimejaa vitabu vya wakenya na wanaija. Sisi wanawaza scale.
Mitandaoni kuna watu wanalipwa pesa ndefu kutoka na lecture zao(wapo competent)
Competence na cong
fidence ndio changamoto kubwa ya wasomi wa TZ.
 
Mama Ni Msikivu Hata Professor Mkenda Naye
Tazama Serikali Imeanza Maboresho Kugawa Vishkwambi Tanzania Yote Imeleta Unafuu Kuwatambua Popote Unakuta Wamevibeba

Salary Inafuatia Soon
😄😄😄 Sawa mkuu
 
Mtu ana master au PhD badala afanye tafiti auze machapisho, auze vitabu aongeze kipato anawa scale. Tutachelewa sana.
Maktaba zimejaa vitabu vya wakenya na wanaija. Sisi wanawaza scale.
Mitandaoni kuna watu wanalipwa pesa ndefu kutoka na lecture zao(wapo competent)
Competence na cong
fidence ndio changamoto kubwa ya wasomi wa TZ.
Kwani una uhakika hayo yote hawafanyi mkuu
 
Hata ukiwekwa mshahara wa Master ya education na PhD ya education kwenye scheme of service bado itakuwa ni meagre salary tu, utaambiwa mwenye Masters ya education 980,000/-, Mwenye PhD ya education 1,300,000/- Sasa si upuuzi tu bado
😄😄😄
 
Kwani una uhakika hayo yote hawafanyi mkuu
Unaweza kuwa na ushahidi wanaofanya?
Mi ninao wasiofanya.
Mmoja ana PhD b
na mwingine yupo mbioni kuhitimu, wenye master ndio kabisa wapo wanagongana vikumbo na diploma, sana sana huwa wanapewa
Uratibu elimu kata.
Hebu nitajie master mmoja mwenye kitabu cha Phychology,Foundition of education, Leadership nk
Kikiwepo mi ntaacha kuchangia.
Wakijitahidi sana vipamphlet vya sekondari kama kina Nyambar nyangwine hakuna kipya mkuu, hawana huo uwezo, hawana.
Vitabu vya hayo nambo vinatoka kwa wakenya na wanaija.
Master za kuombea vyeo tu content kichwani kawaida.

Ila PhD mmoja yupo vizuri lakini kan
mezwa na mfumo teuzi, anasuburi teuzi tu miaka yote. Sasa anazeeka, sijui nwisho wake.
Bahati mbaya wengine hawapendi kujikomba komba na kujipendekeza na kiherehere cha kusifia mabosi wao kisa wamewazid elimu.
Kuna mwalimu mmoja mwaka 2008 alikuwa ba digrii 4 siwezi taja shule aliokuwa anafundisha..
Wapo wengi sana, hii nchi inawasomi
 
Nadhani hapa ndio palikuwa pa kuanzia
Mkaguzi hana shahada ya umahiri katika elimu huwa anaenda kukagua nini sasa?
Maana ni bora wangekuwa hired kwenda ukaguzi walau wawekewe na muundo wao wa utumishi ingeleta maana
Sasa diploma anafanya nini au ana uzoefu wa kukagua?? yaan astashahada anamkagua shahada au uzamiri au umahiri???
Mfumo ni dude la hovyo fulani
Hivi kukagua shule ina vyoo vingapi,madarasa mangapi, mwalimu kafundisha vipindi vingapi diploma haitoshi?
Msilinganishe ualimu ns uinjinia, ili mtu adizaini daraja la fly over inabidi afanye mahesabu mazito. Ualimu unahitaji elimu ndogo tu hata digrii ni kubwa sana lsbda vyuoni huko.
 
Back
Top Bottom