Unaongea tu hebu jaribu kujiridhisha na hoja zako usitumie uzoefu kujibu hoja hivi unajua miaka ya nyuma kidogo hapa Tz hata degree yenyewe ilikuwa haitambuliki, usiseme serikali zote Duniani hazitambui Masters si kweli hebu jaribu kugoogle nchi zifuatazo.. Uganda, Kenya, Zimbabwe, Nigeria, south Africa, zambia...huko mtu kuwa mwl ni Kama ilivyo Tz kwa mtu kuwa mhadhri, nafas zinatangazwa na watu Wana wafanyiwa interview na kila Elimu Ina Mshahara wake kasoro tu kwenye hzo nchi certificate haitambuliki