Kwanini Tanzania Walimu wenye Masters hawatambuliwi kimasilahi?

Kwanini Tanzania Walimu wenye Masters hawatambuliwi kimasilahi?

Unaongea tu hebu jaribu kujiridhisha na hoja zako usitumie uzoefu kujibu hoja hivi unajua miaka ya nyuma kidogo hapa Tz hata degree yenyewe ilikuwa haitambuliki, usiseme serikali zote Duniani hazitambui Masters si kweli hebu jaribu kugoogle nchi zifuatazo.. Uganda, Kenya, Zimbabwe, Nigeria, south Africa, zambia...huko mtu kuwa mwl ni Kama ilivyo Tz kwa mtu kuwa mhadhri, nafas zinatangazwa na watu Wana wafanyiwa interview na kila Elimu Ina Mshahara wake kasoro tu kwenye hzo nchi certificate haitambuliki
Hizo nchi zote ulizotaja hawaajiri mtu kwasabab ana Masters na hakuna mshahara... Wanaajiri kuanzia ngazi ya Degree... Ukiwa na masters ni added advantage...
 
Kwani degree inaongeza tija gani kwenye kufundsha msingi na sek. Tuanzie hapo ili tupate jibu la swali lako
Hebu soma swali lako kwanza ujione ulivyokua kilaza.

Unajua maana ya kuongeza?!


Hiyo degree ndio entry level qualification sasa unaongezaje tija wakati ndio kigezo minimum kilichowekwa.

Hilo swali waulize walio set degree kama entry qualification na sio diploma, certificate, form 6/4 au la saba sio mimi.
 
Hizo nchi zote ulizotaja hawaajiri mtu kwasabab ana Masters na hakuna mshahara... Wanaajiri kuanzia ngazi ya Degree... Ukiwa na masters ni added advantage...
Aisee kweli shida kweli kweli sijui nikusaidie kukudownlodia education system zao nikutumie, Sasa unabisha nini Mambo yapo kwenye website zao za wizara..eti ni added advantage hvi kwanini unakuwa mubishi kwa vitu ambavyo vipo Waz kabisa nawew kumbe🚮
 
Hebu soma swali lako kwanza ujione ulivyokua kilaza.

Unajua maana ya kuongeza?!


Hiyo degree ndio entry level qualification sasa unaongezaje tija wakati ndio kigezo minimum kilichowekwa.

Hilo swali waulize walio set degree kama entry qualification na sio diploma, certificate, form 6/4 au la saba sio mimi.
mbona unapaniki Sana Kwan wewe shida yako Ni nini? Hutaki Walimu wenye Masters wawekewe muundo wa kiutumishi kwani ww umekatazwa kwenda kusoma? ndo maana Walimu wanaonekanaga wanaakili za kitoto hzo hela umeambiwa itazitoa familia yako 😄.
 
Hebu soma swali lako kwanza ujione ulivyokua kilaza.

Unajua maana ya kuongeza?!


Hiyo degree ndio entry level qualification sasa unaongezaje tija wakati ndio kigezo minimum kilichowekwa.

Hilo swali waulize walio set degree kama entry qualification na sio diploma, certificate, form 6/4 au la saba sio mimi.
Nawewe ni tatizo aisee...unaandika unaruka ma space kwani umepaniki Nini? Kiazi we!
 
Kweli network hapa ni not reachable

Sawa kiongozi umeeleweka
Tafuta fomu ya ukaguzi, uisome halafu uje uje ututhibitishie kuwa diploma hawezi fanya ukaguzi wa shule ili watolewe wawekwe master. na kama wewe ni mkaguzi unatetea ugali wako.
Hizo Elimu ni kwa ajili ya kutofautisha rank za utawala tu, majukumu ni yaleyale tangu mkoloni.
Kukagua mazingira,vyoo, idadi ya vipindi vilivyofundishwa,visivyofundishwa, uwepo wa zana vitabu nk.
Tuache kukuza nambo. Sekta ya elmu ina mambo ya kawaida sana na ndio maana hata wale hawajasomea ualimu wanafundisha miaka na miaka.
Kwenye fani zingine hiki kitu hakipo. Imeahi ona mtu hajasomea sheria anakuwa nwabasheria ? Kwenye sekta ya elimu wamejaa tele jwa kuwa mambo yayofanyika yapo simple ila mnakuza tu kisa mmesoma hizo master.
 
Masters inaongeza tija gani kwenye kufundisha shule ya msingi na sekondari.

Kwa kada zingine kama madaktari, inaongeza tija kwa kwa maana unaanza kutoa huduma za kibingwa (specialist).

So onyesheni tija kwanza sio makaratasi.
Wewe una akili.
 
Mjinga kumjibu mjinga ni ujinga
Tubishane kiweledi Kuna mda nadhan inabidi mfumo wetu wa Elimu ungaliwe upya walimu wanakuwa hawapewi heshima kama ile ya miaka 1970-80 hii ni kutokana na serikali kubadili vitu vingi kwenye mfumo wa Elimu
 
Mjinga kumjibu mjinga ni ujinga
Tubishane kiweledi Kuna mda nadhan inabidi mfumo wetu wa Elimu ungaliwe upya walimu wanakuwa hawapewi heshima kama ile ya miaka 1970-80 hii ni kutokana na serikali kubadili vitu vingi kwenye mfumo wa Elim
Sasa mbona naww unaleta hoja za kijinga umeona Kuna sehem pamezungumzwa kuhusu heshima ya mwalimu? Sasa Kama mwalimu daily anashinda kilabu Cha pombe na mikopo kibao heshima itatoka wapi
 
Tafuta fomu ya ukaguzi, uisome halafu uje uje ututhibitishie kuwa diploma hawezi fanya ukaguzi wa shule ili watolewe wawekwe master. na kama wewe ni mkaguzi unatetea ugali wako.
Hizo Elimu ni kwa ajili ya kutofautisha rank za utawala tu, majukumu ni yaleyale tangu mkoloni.
Kukagua mazingira,vyoo, idadi ya vipindi vilivyofundishwa,visivyofundishwa, uwepo wa zana vitabu nk.
Tuache kukuza nambo. Sekta ya elmu ina mambo ya kawaida sana na ndio maana hata wale hawajasomea ualimu wanafundisha miaka na miaka.
Kwenye fani zingine hiki kitu hakipo. Imeahi ona mtu hajasomea sheria anakuwa nwabasheria ? Kwenye sekta ya elimu wamejaa tele jwa kuwa mambo yayofanyika yapo simple ila mnakuza tu kisa mmesoma hizo master.
Acha kutuletea mapovu ya ajabu ajabu hapa. Unaandika as if unafukuza mwanafunzi.
 
Back
Top Bottom