MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
exactlyNi ishara ya taifa kuwa na watu wengi wenye akili ndogo(low intelligence)
hahahaha,hili ndo jibu sahihi .Ni ishara ya taifa kuwa na watu wengi wenye akili ndogo(low intelligence)
uwezo wa watanzania ni mdg,matokeo ya shule za kata ndo haya sasaCritical thinking, hata mimi nimekuwa nikijiuliza hili swali….mambo yasiyo na faida yanatrend sana..TRAB na TRAT imechukua headline kuliko hata TOZO
Osintel ni nini mkuu?? msaada tafadhaliUkifanya OSINTEL ndo utaona jinsi watanzania walivyo hovyo kichwani.ht humu JF mnawajinga wengi sana
Ni kweli mkuu ..wajinga ni wengi nchi hiiKwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.
Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?
Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!
Bashite aliwahi kukosoa umaarufu wa hovyo wa pierre likwidi akaishia kudhihakiwa na kuoga matusiKwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.
Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?
Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!