Kwanini Tanzania ya sasa Watu wa hovyo kijamii na matukio ya hovyo ndiyo yanashabkiwa na 'Kutrendi' sana?

Kwanini Tanzania ya sasa Watu wa hovyo kijamii na matukio ya hovyo ndiyo yanashabkiwa na 'Kutrendi' sana?

Kwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.

Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?

Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!
Wajinga ni wengi na mfumo ndiyo unataka hivi,wajinga wawepo wengi
Ili wasiweze kuhoji na kufatilia mambo ya msingi
Huoni kila leo watu wanapelekewa matamasha ya wasanii
Taifa limejaa mazuzu na hizi media ndiyo zinachangia kuongeza mazuzu

Ova
 
Tofautisha kutrend na kushabikiwa!!
Kutrend ni kitu chochote kisicho cha kawaida kiwe kizuri au kibaya!! hata ww ukivua nguo uanze kutembea kariakoo utatrend nchi nzima coz n chaa ajabu…..hivo hivo kuna machizi maarufu !! lakini haimaanishi watu wanafurahia ila ni kukifanya kichwkeshi au hamnazo
 
Ila ingekuwa vyema zaidi hawa Wajinga wapewe Elimu ili ujinga uwatoke maana mjinga ukimpa maarifa akapata ufahamu ujinga umtoka,
Ninachoona Taifa limejawa na wapumbavu wengi kuliko wajinga🤔
Wajinga ni wengi na mfumo ndiyo unataka hivi,wajinga wawepo wengi
Ili wasiweze kuhoji na kufatilia mambo ya msingi
Huoni kila leo watu wanapelekewa matamasha ya wasanii
Taifa limejaa mazuzu na hizi media ndiyo zinachangia kuongeza mazuzu

Ova
 
Utamwepukaje mtu mjinga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aihitaji nguvu kubwa kumwepuka mjinga
Mjinga mpe elimu apate ufahamu maana mjinga ni yule mtu asiyefahamu jambo lakini yuko tayari kufundishwa na kuelekezwa
Mtu hatari wakumwepuka ni mpumbavu maana mpumbavu ni yule mtu anayejifanya anajua kumbe hajui chochote na pia hayuko tayari kufundshwa au kuelekezwa kile asichokijua sababu kwa upumbavu wake anaona anajua kila kitu.
 
Hata Facebook kwenye page za huko ukicomment kitu au habari kwa kutoa madini hupati support kubwa ngoja ucomment upumbavu sasa wajinga wenzio wanakuja kulike kwa nguvu sana kama mchwa,juzi Millard Ayo kapost mashirika ya ndege bora duniani cha kushangaza kuna watu kwenye post ile walikuwa wanatoa madini hatari hawakupata hata like au comment ila wapumbavu walioandika upuuzi like walizopata aisee nkasema Tz ujinga ni mwingi sana
 
Utamwepukaje mtu mjinga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Njia mojawapo ni hii hapa [emoji116]
IMG-20220702-WA0032.jpg
 
Umeanza kutoa siri za watu sasa. Wewe hujui kwamba kuna kundi la wajanja wachache wanaendelea kumuweka kwenye pick ili wapige pesa?
1) Kuna hawa wanaotangaziwa bidhaa zao kwa bei rahisi na Mandonga Mtu kazi na wanapata wateja wengi sana.

2) Kuna wanaomuita kwenye vipind ili kuziongezea thamani Media zao

2) Sasa hiv mapambano mengi yameongezeka hadi ya vichochoroni ambayo hayaingizwi kwenye record ya Boxrec kisa Mandonga. Yan anaitwa Nandonga akapigane wanajua kuna watu watakuja kutoa viingilio tu na watakuwa wameingiza faida.

Wewe ukiona ujinga, basi jua kuna watu wanapiga hela kupitia ujinga huo.

Tujikumbushe kidogo
Dr. Shika
Pierre Liquid
Harmo Rapa

Na sasa tuko na Mandonga.
 
I will play devil's advocate here.

Kama wajinga wanatrend, wanafanikiwa, wanashinda nyadhifa mbalimbali na nyie werevu mpo mpo tu basi nyie ni wajinga mara mbili zaidi yao.

Mnasema viongozi wajinga, wanaopata mafanikio na umaarufu mnaita wajinga, nyie weledi wenu umewasaidia nini? I'd say hao wajinga ndo werevu kwa kuweza kutoboa na kuwaongoza nyie wote na kujiendeshea maisha yao with ease.
 
Back
Top Bottom