Kwanini Tanzania ya sasa Watu wa hovyo kijamii na matukio ya hovyo ndiyo yanashabkiwa na 'Kutrendi' sana?

Kwanini Tanzania ya sasa Watu wa hovyo kijamii na matukio ya hovyo ndiyo yanashabkiwa na 'Kutrendi' sana?

Hata Facebook kwenye page za huko ukicomment kitu au habari kwa kutoa madini hupati support kubwa ngoja ucomment upumbavu sasa wajinga wenzio wanakuja kulike kwa nguvu sana kama mchwa,juzi Millard Ayo kapost mashirika ya ndege bora duniani cha kushangaza kuna watu kwenye post ile walikuwa wanatoa madini hatari hawakupata hata like au comment ila wapumbavu walioandika upuuzi like walizopata aisee nkasema Tz ujinga ni mwingi sana
Ni kweli kabisa mkuu, Mimi ni mmoja wapo kwenye ile posti nilijaribu kutuma comment yenye content ya utani ilikuwa inasomeka hivi najinukuu hapa:.." Best airlines ni kwa ulaya na Bara Asia Africa tuna Air Sumbawanga".. mwisho wa kunukuu....,,Sasa likes na comments nilizopata ni nyingi sana tofauti na ninapo comment kitu cha msingi na mawazo yakinifu katika habari nyinginezo huwa hamna likes hata moja...hii ina thibitisha wazi kwamba watanzania wengi tunapenda utani na kufagilia Mambo ya kijinga kuliko vitu vya msingi.
 
I will play devil's advocate here.

Kama wajinga wanatrend, wanafanikiwa, wanashinda nyadhifa mbalimbali na nyie welevu mpo mpo tu basi nyie ni wajinga mara mbili zaidi yao.

Mnasema viongozi wajinga, wanaopata mafanikio na umaarufu mnaita wajinga, nyie weledi wenu umewasaidia nini? I'd say hao wajinga ndo welevu kwa kuweza kutoboa na kuwaongoza nyie wote na kujiendeshea maisha yao with ease.
[emoji23][emoji23][emoji23]kweli mkuu...wajinga ndio wajanja na werevu na wenye weledi ndio wajinga
 
Ni kweli kabisa mkuu, Mimi ni mmoja wapo kwenye ile posti nilijaribu kutuma comment yenye content ya utani ilikuwa inasomeka hivi najinukuu hapa:.." Best airlines ni kwa ulaya na Bara Asia Africa tuna Air Sumbawanga".. mwisho wa kunukuu....,,Sasa likes na comments nilizopata ni nyingi sana tofauti na ninapo comment kitu cha msingi na mawazo yakinifu katika habari nyinginezo huwa hamna likes hata moja...hii ina thibitisha wazi kwamba watanzania wengi tunapenda utani na kufagilia Mambo ya kijinga kuliko vitu vya msingi.
Yaani acha tu mkuu ukitaka watanzania wakupende sana act kama mjinga utapata wafuasi wengi sana lakini ukuonyesha una intelligent characters fulani huwezi kuwapata,hata page zenye mambo ya kijinga ndio zinapendwa sana huko fb,na insta
 
Kwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.

Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?

Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!
Sijui watu ni wamepoteza matumaini au kuna shida gani
 
20220829_085818.png
 
Bongo hata maofisini ukiwa smart sana kichwani utapata maadui wengi....ila ukiwa farafara flani kila mmoja atakukubali,
On a serious note Ndugu ( Kiongozi ) Umesema ( Umeandika ) Jambo sahihi na la ukweli wa 100% kabisa.
 
Kwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.

Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?

Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!
Hata wewe ni wa hovyo
 
Sijui watu ni wamepoteza matumaini au kuna shida gani
Kama 90% ya Kizazi cha sasa kinatokana ( kimetokana ) na Mabao ya Vumbi la Kongo na Mundende unategemea Vichwani mwao ukute Madini kama ya Sisi 'Think Tanks' tuliozaliwa Awamu ya Baba wa Taifa Nyerere mpaka ile tu ya Hayati Mkapa?
 
Wajinga ni wengi na mfumo ndiyo unataka hivi,wajinga wawepo wengi
Ili wasiweze kuhoji na kufatilia mambo ya msingi
Huoni kila leo watu wanapelekewa matamasha ya wasanii
Taifa limejaa mazuzu na hizi media ndiyo zinachangia kuongeza mazuzu

Ova
Sikujua kuwa kumbe sometimes huwa unakuwa na Akili Kubwa hivi tofauti na nilivyokuzoea.
 
I will play devil's advocate here.

Kama wajinga wanatrend, wanafanikiwa, wanashinda nyadhifa mbalimbali na nyie werevu mpo mpo tu basi nyie ni wajinga mara mbili zaidi yao.

Mnasema viongozi wajinga, wanaopata mafanikio na umaarufu mnaita wajinga, nyie weledi wenu umewasaidia nini? I'd say hao wajinga ndo werevu kwa kuweza kutoboa na kuwaongoza nyie wote na kujiendeshea maisha yao with ease.
Naona Juha ( Fool ) unawaunga mkono Majuha ( Fools ) Wenzako. Hongera sana na Werevu ( Brainiacs ) tusio na Maendeleo yatokanayo na Upumbavu kama wako / wenu tumekuelewa.
 
Naona Juha ( Fool ) unawaunga mkono Majuha ( Fools ) Wenzako. Hongera sana na Werevu ( Brainiacs ) tusio na Maendeleo yatokanayo na Upumbavu kama wako / wenu tumekuelewa.

Baada ya kugundua hayo wewe mwerevu umechukua hatua gani? Werevu wako umekusaidia nini kama unakubali kuendeshwa na wajinga?
 
Baada ya kugundua hayo wewe mwerevu umechukua hatua gani? Werevu wako umekusaidia nini kama unakubali kuendeshwa na wajinga?
Uwerevu wangu mkubwa umenisaidia kujua kuwa kumbe Wewe si tu ni Juha ( Fool ) bali umekimbia Kitanda chako Hospitali ya Vichaa ( Mataahira ) ya Milembe Mkoani Dodoma.
 
Uwerevu wangu mkubwa umenisaidia kujua kuwa kumbe Wewe si tu ni Juha ( Fool ) bali umekimbia Kitanda chako Hospitali ya Vichaa ( Mataahira ) ya Milembe Mkoani Dodoma.

Haya umejua what does that help you? Ndo maana nasema wote mnaojiona werevu are just bigger fools maana werevu wenu hauwasaidii jambo lolote.

In the grand scheme of things, Mandonga, Pierre Liquid, na watu wote wanaoonekana vituko are smarter that nyie maana wamejua jamii waliyopo and acted accordingly kujikomboa na maisha yao. Nyie ni just keyboard warriors huku mkiendelea kuhenyeka.
 
Haya umejua what does that help you? Ndo maana nasema wote mnaojiona werevu are just bigger fools maana werevu wenu hauwasaidii jambo lolote.

In the grand scheme of things, Mandonga, Pierre Liquid, na watu wote wanaoonekana vituko are smarter that nyie maana wamejua jamii waliyopo and acted accordingly kujikomboa na maisha yao. Nyie ni just keyboard warriors huku mkiendelea kuhenyeka.
A Fool is always supportive to fellow Fools.
 
Tofautisha kutrend na kushabikiwa!!
Kutrend ni kitu chochote kisicho cha kawaida kiwe kizuri au kibaya!! hata ww ukivua nguo uanze kutembea kariakoo utatrend nchi nzima coz n chaa ajabu…..hivo hivo kuna machizi maarufu !! lakini haimaanishi watu wanafurahia ila ni kukifanya kichwkeshi au hamnazo
Kutrend - Kiswahili
Kushabikiwa - kiingereza


Yote maneno ni Sawa huwezi kutrend bila kushabikiwa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ni ugumu wa maisha tu unaosababisha watu watafute mambo ya kuburudisha akili.

Wananchi wamekata tamaa hawana tumaini lolote.
 
Back
Top Bottom