Wambie Wasikie
Member
- Mar 6, 2019
- 70
- 71
Kinachowatesa watu kama nyie ni kutaka kuwaendesha Watanzania. Hakuna taifa linaishi kijeshi jeshi kama liko kifungoni... Kwa taarifa yako Watanzania wanafanya wanachokijua. Mengine wameshaona ni janjajanja tu kwa hiyo HERI WAJIFURAHISHE