MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Kabishenina Watoto wenzioTatizo hujakua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabishenina Watoto wenzioTatizo hujakua
Benki ukikuta kuna tallers wachache wanakuambia saini hapa halafu mengine watajaza wenyewe jioni?Wapo na kazi nyingi halafu ni wachache, wanatunza Ili wikiendi wafunge hesabu.
Mimi huwa wakiniambia saini hapa kwanza naanza na kufunga pale dawa zilipoishia mpaka mwisho, siachi nafasi yoyote ya wao kuandika kitu kipya. Ila najua huwa wanachukia sanaa na huwa hawanipendi [emoji23] [emoji23]Je hawezi kuongeza kitu ambacho sikufanya
Funga mwenyewe kama unavyofunga karatasi za Benki mkuu...Ni kweli kabisa. Hili tatizo lipo. Kabla ya kusaini inabidi mstari wa kufunga uwekwe halafu nisaini. Kama NHIF mnashirikiana katika Hili, naomba Serikali iingilie kati si kubaki mnalalamika tu kwamba matumizi yamekuwa mkubwa wakati mnaacha mianya ya wizi ikiendelea.
Nssf zamani walikuwa wanafunga, baadaye wakaacha. Kama wanachama tunaomba Hili litazamwe upya.
Niko huku Namanyere inapatikana?Njoeni huku kwenye bima ya afya ya jubilee bima namba Moja duniani, karibuni wote.
This is not an excuse, ni loop hole ya upigaji..Sio kila daktari anayekuona anajua bei ya dawa/huduma aliyokupa zilizoko kwenye mfumo wa NHIF
Hospital nyingine tayari wameunganishwa online ukisaini maana yake na gharama zimepigwa papo hapo automatic
Sasa ukija kwenye hizi hospital zetu za Serikali bado changamoto ni kubwa ya watendaji kwa upande wa bima, mtu anayeingiza madai kwenye mfumo unakuta ni mmoja anazikusanya anaingiza mara moja moja sana.
Ila yote kwa yote NHIF hawajui majukumu yao ukija kwa ngazi ya vituo vya kutolea huduma wako ofisini kusubiri waletewe madai mwisho wa mwezi wakati watendaji huku chini wa bima hakuna na hata ku-organize mambo na kituo ili hizi changamoto zitatulike.
Exactly, mimi huwa lazima nifunge mwenyewe, nachora ile alama kama Z kuanzia dawa ya mwisho mpaka chini then ndiyo nasaini.Anaweza na wanafanya sana. Kinachotokea mtu akija kutibiwa cash pesa inatiwa mfukoni na charges zinahamishiwa kwenye form yako iliyoachwa blank.
KalagabahoooooHawezi
Pimbi wewe...Acha ukuda, umetibiwa potea
Hili linatazamwa kwa jicho la robo mwezi lingekodolewa ki full moon wasingekuwa wanafanya hayoHili nalo litazamwe kwa jicho angavu.
Ndio, karibu sanaUhakik hyo
Ipo nchi nzima na nje ya nchi, popote utakapokuwepo huduma utaipataNiko huku Namanyere inapatikana?
Asilimia miaUhakik hyo
Braza utafungwa[emoji23][emoji23][emoji23], we haya. Mtanzania kwakutengeneza conspiracy hamjambo[emoji23][emoji23][emoji23]Ajabu ni kuwa NHIF hawalalamiki. Hata bei zinapokuwa kubwa NHIF hawalalamiki. Wao wametulia tuli!
Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?
Inasemekana NHIF ni conduit ya upigaji zaidi ya ule wa tozo.