Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Inategemea unafanya kazi wapi. Hapa kwetu hakuna mwenye time na mtu. Na wanakulipa mshahara mzuri kabisa.Ndo maana staki kazi za kuajiriwa...hela ndogo, majungu, kuchunguzana, umbea, kuharibiana nk....
hapo kwa makaburu nmekubali boss wewe fanya kazi tu ndo dawa yao ukipeleka majungu sana wanakuona wew ndo tatzo wanakufire...Hapana niliwahi fanya kazi na Wajapani hawana chuki za kijinga hivyo,Kaburu ni mkorofi ila hana with wala chuki na mtu yeyote wewe piga kazi tu.
True thatKazini utakakiwa uishi kimasta saana, epuka marafiki kazini, hao mmekutana kwa ajili ya kazi na mtaachana baada ya kazi, epuka kutembeleana majumbani au mtaani, usipige dili na mtu wa kazini, mkikutana kwenye bata wapotezee kula bata zako kivyako ikibidi badili chimbo wateme, msijenge mtaa mmoja au kununua viwanja sehem moja, na kubwa kuliko usideti kazini au kuoana na mtu wa kazini
kazini hakuna marafiki ni unafki mtupu. fanya kazi muda wakazi ukiisha potezea watu wote wa kazini utaishi vizuri sana, na usiruhusu mtu akujue jue kirahisi, aishie kukufaham tuu vile ya anavyo kuona. Utaishi kwa raha sana,
Human being are just human being, hawahitaji sababu kukuchukia, unaweza kuwa huna time na mtu, you just mind ur own business, but watu watakuchukia tu,From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
kanuni ni hiziFrom no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Kuna Watu wanapenda kuongoza wengine kuna Watu wanapenda kusikilizwa wao...
Mkipishana mara 3 chuki zinaanza, solution fanya mambo yako, Heshimu Watu, usiwe na urafiki na kila mtu
Inasikitisha sana kwa kweliNdio kinachouma unakuta mtu uko bize sana na bize zako mtu anakuletea washa washa
halafu sasa watu wa mbeya hatujafunzwa chuki
Kweli mkuu mtu KAZI ameiweka moyoni asijue pale amefuata mshahara si kitu kingine....Tatizo wengi wenu mmekabidhi maisha yenu kazini. Nenda kazini fanya kazi zako sepa. Mambo mengine achana nayo.
Punguzeni kuongea ongea mnapokuwa makazini, story zisizokuwa na kichwa wala miguu, mixer kutongoza tongoza na kushobokea hao kina mama/dada...kwa kifupi, kama alivyosema mkuu mmoja hapo juu, fanya kilichokupeleka kazini, muda ukiisha ondoka.Sasa wivu wa nini wakati wote unalipwa tu shinda inakuaje
Wakiona umekaa kimya wanatafuta njia nyingine wakunase baadhi ya binadamu hawana utuKukaa kimya ni zaidi ya jibu
Aiseee deal nae directly proportional to your fighting skillz wakizidiWakiona umekaa kimya wanatafuta njia nyingine wakunase baadhi ya binadamu hawana utu
Sahihi kbsa hii race inashida sana hata ukijaribu kuitetea bado unakosa mantiki kuiteteaHii race Ina matatizo nafikiri I never understand this race.