Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Uko sahihi.

Na katiba iko wazi kwamba makamu wa Rais ataapishwa kuwa rais ili kumalizia kipindi kilichobakia kwa awamu ile.
katiba hizungumzi mambo ya awamu inazungumzia kipindi kilichobaki na kuonesha kua anayechukua mikoba ni Rais anayejitegemea ndio maana Samia ataruhusiwa kugombea kipindi kimoja tu kama atataka kufanya hivyo.
 
Hatulazimishwi ila kwenye kile kiti tangu tupate uhuru ni mtu wa 6 kukikalia kama amiri jeshi mkuu

1-Nyerere
2-Mwinyi
3-Bro Ben
4-Jeikei
5-Jeipiemu
6-Sa100

Nina F ya Hesabu ila Hesabu hii naimudu bila shida
 
ni bora uombe kuelekezwa awamu hazitokani na chama kilichopo au serikali bali tunatumia awamu kuangali Rais aliyeko madarakani ni wangapi.Tungeangalia vipindi basi pengine tungelikuwa awamu hata ya kumi maana mwinyi mkapa na kikwete wametumia miaka 30 jumlisha ya JPM ni 35 ukigawanya na 27 ya baba wa taifa.Ni bora uombe kuelemishwa kuliko kuleta hoja dhaifu.Samia ni Rais Kamili kwa mujibu wa sheria na katiba.

Another Zany.
 
Awamu nane za marais Zanzibar


JinaMuda wa UtawalaChama
Sheikh Abeid Amani Karume12 Januari 19647 Aprili 1972ASP
Skeikh Mwinyi Aboud Jumbe11 Aprili 197230 Januari 1984ASP, 1977 CCM
Ali Hassan Mwinyi30 Januari 198424 Oktoba 1985CCM
Idris Abdul Wakil24 Oktoba 198525 Oktoba 1990CCM
Salmin Amour25 Oktoba 19908 Novemba 2000CCM
Amani Abeid Karume8 Novemba 20002010CCM
Ali Mohamed Shein3 Novemba 20102020CCM
Hussein Ali Mwinyi3 Novemba 2020
Awamu moja maana yake ni rais mmoja.

Wakiwa kumi Hizo ni Awamu kumi.

Hii ni Awamu ya sita ya muhula wa tano wa urais.
 
Hatulazimishwi ila kwenye kile kiti tangu tupate uhuru ni mtu wa 6 kukikalia kama amiri jeshi mkuu

1-Nyerere
2-Mwinyi
3-Bro Ben
4-Jeikei
5-Jeipiemu
6-Sa100

Nina F ya Hesabu ila Hesabu hii naimudu bila shida
Kila Rais ni awamu moja. Tuna marais sita waliokwisha ongoza nchi ndani ya mihula mitano.
 
ajamu ina msaada gani ktk maendeleo ya jamii?hicho ni kipindi tu sawa na jina tunachoitaji ni Haki,na maendeleo si awamu
 
Awamu moja maana yake ni rais mmoja.

Wakiwa kumi Hizo ni Awamu kumi.

Hii ni Awamu ya sita ya muhula wa tano wa urais.

Liangalie hili Bumunda lingine. Kwani kama hamna IQ Kubwa si mnyamaze tu au muwe Watazamaji kuliko Kukurupuka hivi?

Nasisitiza Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Sita ndani ya Awamu ya Tano iliyo katika Muhula wake wa mwisho ( wa pili )

Nimemaliza.
 
So akitokea akafariki..ghafla..Mpango atakuwa Rais wa Saba katika awamu ya Saba sio!?
Ujinga mtupu ..Yani majitu nmnakomaa kwa kitu ambacho kipo wazi ..awamu Gani inakuwa na miaka minne..ama Tisa!?
So awamu ina miaka mingapi?
 
Angalia ulivyo Juha ( Fool ) hivi siyo Wewe ambaye katika posts zako za Awali katika Uzi huu huu ulikuwa Unabisha na Ukweli tuliokupa?

Sasa inakuwaje sasa hivi unaanza Kulainika na Kubadilika Kinafiki hivi? Tafadhali endelea Kuuamini tu ule Upumbavu wako sawa?

Nasisitiza Kwako tena kuwa Mama Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Sita katika Awamu ya Tano iliyo katika Muhula wake wa mwisho ( wa pili )

Nimemaliza.
Wewe tunajua tatizo lako lilipo endelea kupambana na hali.

TUPO AWAMU YA SITA NA MAMA ATAPITISHWA NA CHAMA KUGOMBEA TENA 2025 KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YA SITA. MSIMAMO WA CHAMA UPO PALE PALE🤣, NGOJA APEWE UENYEKITI.
 
Swali ambalo anatakiwa kujiuliza ni kuwa iwapo jpm angekuwa amesafiri au yuko kwenye matibabu ya muda mrefu automatically anayeongoza nchi ni yeye, je angesimama kwenye jukwaa na kusema hii ni serikali ya awamu ya sita? Then jpm akirudi anasema ni serikali ya awamu ya 5. Awamu za serikali zinatokana na UCHAGUZI sasa hapa hakuna uchaguzi mwingine uliofanyika.
Kwa hiyo katiba ingekuwa inataka rais akifa ufanyike uchaguzi mwingine je samia angekuwa ni rais wa awamu ya ngapi?
 
Wewe tunajua tatizo lako lilipo endelea kupambana na hali.

TUPO AWAMU YA SITA NA MAMA ATAPITISHWA NA CHAMA KUGOMBEA TENA 2025 KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YA SITA. MSIMAMO WA CHAMA UPO PALE PALE🤣, NGOJA APEWE UENYEKITI.

Nimekudharau zaidi ya Kinyesi Kibichi.
 
Duniani kuna mambo mengi ya kujua na kujifunza...sio lazima yote uyajua unatakiwa uchague yanayokuhusu na yenye tija kwenye hatma ya harakati zako.............sasa huyu kutaka kujua hii AWAMU ya ngapi inamsaidia nini🤓🤓
 
Nikieleweka na Watu ( Members ) ambao ni Werevu ( Intelligent ) kama Wewe na Wenzako baadhi hapa huwa ninafurahi sana tu.

Nasikitika kuna baadhi ya Watu hapa wanajiita Wasomi lakini Jambo dogo tu hili wameshindwa Kulielewa na hata Kulichambua.

Kama Rais Samia ataendelea Kusema ( Kusisitiza ) Yeye ni Rais wa Awamu ya Sita nitaamini kuwa ana IQ Ndogo na nitamdharau pia.

Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Sita katika Awamu ya Tano iliyo katika Muhula wake ( wa mwisho ) wa Pili.


Nimemaliza.
Kwa hiyo upo uwezekano wa samia kuwa rais kwa jumla ya miaka 14?
 
Unauliza maswali yako unajijibu mwenyewe, nimezungumzia ilani ya 2020 ambayo ndio Samia anaimalizia toka kwa mwenzake sio ya 2015, na zaidi Katiba inasema Rais atakapofariki makamu wake atamalizia kipindi kilichobaki, sasa kama huyu anamalizia kipindi kilichobaki hiyo awamu mpya inatoka wapi? huyu anamalizia kipindi kilichobaki kwenye awamu ya mwenzie.
Kwa hiyo kuna uwezekano wa samia kuwa rais kwa Muda wa miaka 14 kama Mungu atamjalia pumzi?
 
Back
Top Bottom