Kwanini Tundu Lissu anapewa airtime kubwa sana ITV kuliko Rais wa nchi? Serikali iwachunguze!

Mleta mada utatukanwa, sana tu, lakini huo ndo ukweli kwa upande wa ITV. Hali huwa hivyo Kila atawala Raisi mwenye asili ya dini flani. Fuatilia vipindi vya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Sasa huyu Samia. Utaona utofauti mkubwa wa utoaji wao wa habari.
 
Mungu hashindwi sasa mkao wa kusubiri list ya wauaji na watekaji.
Mzee butiku alisema viongozi wakuu wanawajuq
 
Mungu hashindwi sasa mkao wa kusubiri list ya wauaji na watekaji.
Mzee butiku alisema viongozi wakuu wanawajuq
Dunia inaenda ku design tukio lile kama Ugaidi

Kama mnavyojua Ndugu zangu Dunia ikikutaja wewe ni Gaidi Jiandae kabisa utubu zambi zako mapema.
Wanakuzoa sehemu yoyote ulipo
 
Mkuu anzisha TV yako ya kusifu na kuabudu. Utapata watazamaji wengi tu.
Katika private business ya news ni mambumbumbu tu hawaelewi kuwa when a dog bites a man that not news, but when a man bites a dog THATS NEWS!
Erevuka mkuu.
Hizo akili za kuerevuka anazo sasa.Majinga yanayomiliki simu ni mengi sana uku mitandaoni.Mengi yao yanaanzisha mada hazina kichwa wala makalio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ