Dami ya mtu ni mbaya sana. Wakati wa Daniel kwenye Utawala wa Mfalme Dario( Darius) baraza la mawari( maliwali) lilimlia njama Nabik Daniel ili vyombo vya Dola vimkamate na kumuua kwa Kumtupa kwenye Shimbo la Simba.
Aisee kilichotokea ni kwamba Wake, na watoto wa mawaziri na mawaziri wenyewe wote waliupwa wao. Simba waliwalarua vibaya mno wakafia mle.
Na sasa Mungu amemfunulia haki Tundu Lissu kwa namna nyingine kabisa ambayo hakuna aliyewahi kuifikiria.
Kweli Mawazo.ya Mungu sio kama ya Wanadamu.