Yaani umekuwa mjinga hata kushindwa kujua kuwa Bunda, Tarime zote, Bukoba, Ukerewe kabla ya biashara ya utumwa kote huko ni Kanda ya ziwa?
Isije kuwa humu JF tunajadiliana na mtu kiwango cha Livingstone Lusinde au Musukuma anayekwenda kwa jina LA johnthebaptist !!
Ahsante bwashee nimemkumbuka na Wenje wa Nyamagana na yule Machemli wa ukereweUnamjua John Heche aliyekuwa mbunge wa Tarime Vijijini, au Ester Matiko aliyekuwa mbunge wa Tarime Mjini?? au Ester Bulaya aliyekuwa mbunge wa Bunda?? Unamjua Wilfred Rwakatale aliyekuwa mbunge wa Bukoba mjini? Wabunge wote hawa walikuwa wabunge wa chadema wakitoka Kanda ya ziwa.
Naihurumia shingo yako aisee.Chadema ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
Hao akina Ester Bulaya, Heche na Matiko ni wabunge wa CCM? SHAME ON YOU
Leo majibu yako yananikosha. Lissu hoyeeeeeeePengine kuna msisitizo unahitajika zaidi upande huo, hata mwalimu huwa anarudia baadhi ya sylabus akiona umuhimu wa kufanya hivyo
Maeneo anakopita hakuwahi kupita. Ataenda pia Ukerewe na Rorya kisha atarudi Moshi na Tanga then ataelekea kusini akirudi Ruvuma na Katavi kisha KyelaHapa nazungumzia kurudia kanda bwashee!
Hahahaaaa...... Msukuma anaweza kulipia gharama za uendeshaji ofisi ya Ufipa kwa miaka mitano bila kutetereka ukiwemo mishahara ya JJ Mnyika na vijana wake.Hallaa, kumbe musukuma ndie johnbaptist?? Lol
hapajui hata kanda ya ziwaHao akina Ester Bulaya, Heche na Matiko ni wabunge wa CCM? SHAME ON YOU
Hivi wewe unavinasaba na shetani?jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda kyala wala lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi kibara wala karumwa. Kaenda ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Nimekuelewa bwashee!Maeneo anakopita hakuwahi kupita. Ataenda pia Ukerewe na Rorya kisha atarudi Moshi na Tanga then ataelekea kusini akirudi Ruvuma na Katavi kisha Kyela
Sema siwajui hao akina Easter!hapajui hata kanda ya ziwa
Achana nae huyo prof wa uongoNaona Prof Lipumba anazunguruka nchi nzima!
October 28 tuna jambo letu,Leo majibu yako yananikosha. Lissu hoyeeeeeee
Jibu swali bwashee!
Ratiba anapangiwa na tume ndg. Haamui yeyeTundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Amekwenda hadi Rukwa-Namanyere-Kirando, mama yako amejenga Lami huko?jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda kyala wala lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi kibara wala karumwa. Kaenda ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Sii kweli, kwao hizo ndio mbinu walizoziita za kisayansi,hii ni mojawapo...kamati ya maadili imejaa vyama vibaraka wa ccm.
..ndio maana tunasema kuna hujuma imefanyika.
..baadhi ya vyama ktk kamati ya maadili vilikuwa vinampiga vita TL hata akiwa hospitali anajiuguza.
..kamati ingeweza kutoa adhabu ya faini, karipio, etc, lakini uchaguzi huu kamati imekuwa ikiwasimamisha wagombea wa Cdm kufanya kampeni. Je, ni kweli kwamba wanaokosea ktk kampeni ni Cdm peke yao?