Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anatumia muda mwingi kutafsiri Katiba na Sheria badala ya kutangaza sera?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anatumia muda mwingi kutafsiri Katiba na Sheria badala ya kutangaza sera?

Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Kwendraaaa
 
Yaani Leo katoa Pasi ya ovyo kabisa katika harakati zake za kujijenga kimaslahi. Sijui kama mnaona ninachokiona kwa Lissu. Au ndiyo mmeamua kuvaa miwani ya 'mabao'? Ebu vueni miwani hiyo!
Kwa sababu wewe ni kilaza huwezi kumuelewa Lissu!!! Umekaririshwa juu ya ukoloni kwa iyo ukisikia ukoloni unawaza ulivyokaririshwa!!

Lissu anaongelea kuweka mamlaka ya matumizi ya pesa na mgawanyo wake kwa wananchi kwamba, wananchi wasiwe ombaomba kwa kiongozi mkuu ila wao ndo waweke vipaumbele kwa miradi wanayotaka iwe miradi ya maji, elimu au miundombinu.

Hivi ndo ilivyokuwa kipindi cha mkoloni Ndo mana vyama vya ushirika vya wananchi enzi za mkoloni vilijenga shule na miradi mbalimbali kwa sababu sio gavana aliyekuwa anawaamulia matumizi ya pesa zao.

Baada ya Uhuru Nyerere alibadilisha sheria ya fedha kuweka hela zote chini ya Raisi, Ndo mana leo miradi yote hela lazima ziishinishwe na Raisi.

Ndo mana hadi leo watanzania wamekuwa ombaomba kwa serikali na Raisi , kila sehemu wanalia, Raisi tujengee shule, tuletee Maji, sijui tujengee barabara. Shida ni mfumo uliowekwa baada ya Uhuru kuweka fedha zote za nchi chini ya mtu mmoja.
 
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Kwendraaaa
 
...tuna fundishwa...
Mkuu kumbe na huku unafika....Ha ha haa! Najua kwenye jukwaa hili tunaweza tusiwe njia moja...ndiyo Raha ya Jamiiforums.com. Kila la heri, mkuu. Ila Tanzania kwanza mengine baadaye. Tuna Tanzania moja tu ! Tuilinde.
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Tatizo lime anzia hapo
 
Mkuu kumbe na huku unafika....Ha ha haa! Najua kwenye jukwaa hili tunaweza tusiwe njia moja...ndiyo Raha ya Jamiiforums.com. Kila la heri, mkuu. Ila Tanzania kwanza mengine baadaye. Tuna Tanzania moja tu ! Tuilinde.
Pamoja mkuu 🙏 haki uhuru na maendeleo
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Sas alichotafusiri wew ulikuwa unakijua? Kampeni ni pamoja na kutoa elimu ya uraia. Kwa nchi kama zetu elinu ya mpiga kura iko chini sana. Kuna waliofaidika na elimu hiyo. Nchi kama US mtoto wa primary school anajua katiba ya nchi yao maake huwa aina vilaka za kwetu. Sisi uku mtu ana masters hajui katiba na sheria za nchi yetu. Shukuru umepata hiyo elimu vinginevyo unaitaji miaka 3 ya LLB kujua alichoeleza.
 
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Kama Kuna MTU Alikudanganya Akakwambia Chadema Imekufa, Nikuambie Sasa Mimi Nimeshuhudia Chadema Iko Mioyoni Mwa Watu, Aseee.

Kwa taarifa yake huyo mpuuzi aliyetoa kauli hiyo ya kidwanzi, ataanza kufa yeye na Chadema ataiacha ikizidi kustawi.
 
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Kipi Cha ajabu hujui kuwa kipindi Cha ukoloni tanganyika ilikuwa na majimbo matano ambazo ndio tunayaita Kanda kwa Sasa,,tofauti ni kwamba Kanda baada ya uhuru tulizinyanganya mamlaka na kupeleke kwa mikoa Jambo ambalo limeongeza mzigo kwa serikali.
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Kwasababu sera kuu Ni Katiba mpya, umeridhika na Jibu?
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa sababu Katiba ambayo ndiyo msaafu wa nchi umenajisiwa na Magufuli kuliko wakati wowote wa utawala wa nchi yetu.
 
Ukiwa kilaza huwezi kumuelewa Lissu. Lissu amesema atarudisha mfumo kama ulivyokuwa kipindi cha ukoloni kwamba wananchi ndo wanajiamulia miradi yao ya kuifanya iwe maji, barabara au elimu! Sio kama sasaivi kila mwananchi ni ombaomba kwa Raisi sijui Raisi tujengee shule, tujengee hospitali, tujengee soko.

Ametolea mfano chuo cha ushirika moshi ambacho kilijengwa kwa maamuzi ya wananchi kupitia chama chao cha kncu kipindi cha mkoloni!!

CCM mmejaa vilaza tu ndo mana hamuelewi hoja za Lissu mnaishia kupotosha tu.
Kabisa anaongea huu ujinga wengine mnashangilia..Sasa umuhimu wa
Amiri jeshi mkuu Ni Nini na maeneo yasiyokua na rasilimali yatapataje maendeleo....huyu jAMAA mlamba miguu ya wazungu mpumbavu sana
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Simple answer, miaka mitano magufuli amekuwa akivunja Katiba na sheria, therefore sensible candidate lazima agusie sheria katika kila anachokiongea.
 
Back
Top Bottom