Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapiga magoti na waosha masufuria wamekosa kibali cha wananchi,wanachofanya sasa hivi ni kulaghai wananchi kwa kuosha masufuriaView attachment 1586015View attachment 1586016
KwendraaaaNijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa sababu wewe ni kilaza huwezi kumuelewa Lissu!!! Umekaririshwa juu ya ukoloni kwa iyo ukisikia ukoloni unawaza ulivyokaririshwa!!Yaani Leo katoa Pasi ya ovyo kabisa katika harakati zake za kujijenga kimaslahi. Sijui kama mnaona ninachokiona kwa Lissu. Au ndiyo mmeamua kuvaa miwani ya 'mabao'? Ebu vueni miwani hiyo!
KwendraaaaLeo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?
Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Umemuuliza swali zuri sanaUmefika darasa la ngapi au ndio wale wasomi wetu wanaosoma kwa kukariri
Mkuu kumbe na huku unafika....Ha ha haa! Najua kwenye jukwaa hili tunaweza tusiwe njia moja...ndiyo Raha ya Jamiiforums.com. Kila la heri, mkuu. Ila Tanzania kwanza mengine baadaye. Tuna Tanzania moja tu ! Tuilinde....tuna fundishwa...
Tatizo lime anzia hapoNijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Yule gamb ni mama wa nyumbaniKuna ile ya Gambo kuchagua mchele! 😂😂
Ha ha haa! Sindano hiyo. Pole. Utapona. Ha ha haaa!Kwendraaaa
Pamoja mkuu 🙏 haki uhuru na maendeleoMkuu kumbe na huku unafika....Ha ha haa! Najua kwenye jukwaa hili tunaweza tusiwe njia moja...ndiyo Raha ya Jamiiforums.com. Kila la heri, mkuu. Ila Tanzania kwanza mengine baadaye. Tuna Tanzania moja tu ! Tuilinde.
Sas alichotafusiri wew ulikuwa unakijua? Kampeni ni pamoja na kutoa elimu ya uraia. Kwa nchi kama zetu elinu ya mpiga kura iko chini sana. Kuna waliofaidika na elimu hiyo. Nchi kama US mtoto wa primary school anajua katiba ya nchi yao maake huwa aina vilaka za kwetu. Sisi uku mtu ana masters hajui katiba na sheria za nchi yetu. Shukuru umepata hiyo elimu vinginevyo unaitaji miaka 3 ya LLB kujua alichoeleza.Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Kama Kuna MTU Alikudanganya Akakwambia Chadema Imekufa, Nikuambie Sasa Mimi Nimeshuhudia Chadema Iko Mioyoni Mwa Watu, Aseee.Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?
Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Kipi Cha ajabu hujui kuwa kipindi Cha ukoloni tanganyika ilikuwa na majimbo matano ambazo ndio tunayaita Kanda kwa Sasa,,tofauti ni kwamba Kanda baada ya uhuru tulizinyanganya mamlaka na kupeleke kwa mikoa Jambo ambalo limeongeza mzigo kwa serikali.Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?
Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Kwasababu sera kuu Ni Katiba mpya, umeridhika na Jibu?Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Hatupo tayari kuwasugua watu wazima waliotuzidi umriUko tayari kubeba wazungu begani na Lissu wake kama enzi za ukoloni ?
Kwa sababu Katiba ambayo ndiyo msaafu wa nchi umenajisiwa na Magufuli kuliko wakati wowote wa utawala wa nchi yetu.Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Kabisa anaongea huu ujinga wengine mnashangilia..Sasa umuhimu waUkiwa kilaza huwezi kumuelewa Lissu. Lissu amesema atarudisha mfumo kama ulivyokuwa kipindi cha ukoloni kwamba wananchi ndo wanajiamulia miradi yao ya kuifanya iwe maji, barabara au elimu! Sio kama sasaivi kila mwananchi ni ombaomba kwa Raisi sijui Raisi tujengee shule, tujengee hospitali, tujengee soko.
Ametolea mfano chuo cha ushirika moshi ambacho kilijengwa kwa maamuzi ya wananchi kupitia chama chao cha kncu kipindi cha mkoloni!!
CCM mmejaa vilaza tu ndo mana hamuelewi hoja za Lissu mnaishia kupotosha tu.
Simple answer, miaka mitano magufuli amekuwa akivunja Katiba na sheria, therefore sensible candidate lazima agusie sheria katika kila anachokiongea.Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
matusi hayakusaidii,huyu jAMAA mlamba miguu ya wazungu mpumbavu sana