Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anatumia muda mwingi kutafsiri Katiba na Sheria badala ya kutangaza sera?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anatumia muda mwingi kutafsiri Katiba na Sheria badala ya kutangaza sera?

Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Leo ndio nimeamini wewe ni hamnazo!

Jamii yoyote ya kistaarabu ya binadamu ni lazima' na wajibu kufuata 'Sheria' na taratibu iliyojiwekea.

Nyie maccm mnataka wananchi wasizifahamu vizuri Sheria za nchi ili muendelee kuwaburuza kama mizoga?
 
Kabisa anaongea huu ujinga wengine mnashangilia..Sasa umuhimu wa
Amiri jeshi mkuu Ni Nini na maeneo yasiyokua na rasilimali yatapataje maendeleo....huyu jAMAA mlamba miguu ya wazungu mpumbavu sana
Kwa iyo wewe ukisikia amiri jeshi mkuu unaelewa fedha zote ziwe chini yake????

Kweli CCM wamezalisha watu wajinga sana😂😂😂😂

Fedha zote za South Africa ziko chini ya Ramaphosa??? Fedha zote za Uingereza ziko chini ya Malkia??? Fedha zote za Marekani ziko chini ya Trump??? Fedha zote za Kenya ziko chini ya Uhuru Kenyata??? Fedha zote za Nigeria ziko chini ya Buhari??? Fedha zote za Canada ziko chini ya Waziri Mkuu wao???

Wana Lumumba mliopo humu, embu jitahidini basi hata kusoma na kufuatilia kwa makini mambo ya duniani huko. Mnaliaibisha sana jukwaa hili kwa kweli 😂😂😂
 
Kwani meko na mkoloni wanatofauti gani?
Miradi mingi lakini wananchi wako kwenye maisha ya mateso, umaskini na shida.
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
 
Ukiwa kilaza huwezi kumuelewa Lissu. Lissu amesema atarudisha mfumo kama ulivyokuwa kipindi cha ukoloni kwamba wananchi ndo wanajiamulia miradi yao ya kuifanya iwe maji, barabara au elimu! Sio kama sasaivi kila mwananchi ni ombaomba kwa Raisi sijui Raisi tujengee shule, tujengee hospitali, tujengee soko.

Ametolea mfano chuo cha ushirika moshi ambacho kilijengwa kwa maamuzi ya wananchi kupitia chama chao cha kncu kipindi cha mkoloni!!

CCM mmejaa vilaza tu ndo mana hamuelewi hoja za Lissu mnaishia kupotosha tu.
Jamaa anawapenda wazungu huyu!

Hivi anaona kabisa tz bila mzungu haiwezi kuwepo?
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Hana sera yoyote ya maana hata saccos imeshindwa amebaki kuongea uzuzu tu!
 
Jamaa anawapenda wazungu huyu!

Hivi anaona kabisa tz bila mzungu haiwezi kuwepo?
Kwani kuna shida???

Wewe kama fedha za kigeni za nchi zinategemea hao wazungu Kwa nini usiwapende???

Sekta inayoongoza siku zote kwa kuingiza fedha za kigeni ni utalii. Na watalii hao wanaokuja wengi ni wamarekani, waingereza na wajerumani ( wote ni wazungu)

Sekta inayofuata ni madini na makampuni makubwa yanayochimba madini tanzania ni ya wazungu( Anglo Gold Ashanti na Barick)

Bajeti yetu inafadhiliwa kwa asilimia 40 na wafadhili ambao wanaoongoza ni (Marekani, Canada, Sweden, Norway, Denmark na Ujerumani) wote hao ni wazungu!!

Labda nikuulize, kwa ufafanuzi huu utawachukia wazungu???
 
Leo ndio nimeamini wewe ni hamnazo!

Jamii yoyote ya kistaarabu ya binadamu ni lazima' na wajibu kufuata 'Sheria' na taratibu iliyojiwekea.

Nyie maccm mnataka wananchi wasizifahamu vizuri Sheria za nchi ili muendelee kuwaburuza kama mizoga?
Hahahaaaa........ Wewe unazo!
 
Kwani kuna shida???

Wewe kama fedha za kigeni za nchi zinategemea hao wazungu Kwa nini usiwapende???

Sekta inayoongoza siku zote kwa kuingiza fedha za kigeni ni utalii. Na watalii hao wanaokuja wengi ni wamarekani, waingereza na wajerumani ( wote ni wazungu)

Sekta inayofuata ni madini na makampuni makubwa yanayochimba madini tanzania ni ya wazungu( Anglo Gold Ashanti na Barick)

Bajeti yetu inafadhiliwa kwa asilimia 40 na wafadhili ambao wanaoongoza ni (Marekani, Canada, Sweden, Norway, Denmark na Ujerumani) wote hao ni wazungu!!

Labda nikuulize, kwa ufafanuzi huu utawachukia wazungu???
Ni sawa lakini siyo kwa kuwaramba kama anavyofanya huyo jamaa yenu
 
Kwa iyo wewe ukisikia amiri jeshi mkuu unaelewa fedha zote ziwe chini yake????

Kweli CCM wamezalisha watu wajinga sana😂😂😂😂

Fedha zote za South Africa ziko chini ya Ramaphosa??? Fedha zote za Uingereza ziko chini ya Malkia??? Fedha zote za Marekani ziko chini ya Trump??? Fedha zote za Kenya ziko chini ya Uhuru Kenyata??? Fedha zote za Nigeria ziko chini ya Buhari??? Fedha zote za Canada ziko chini ya Waziri Mkuu wao???

Wana Lumumba mliopo humu, embu jitahidini basi hata kusoma na kufuatilia kwa makini mambo ya duniani huko. Mnaliaibisha sana jukwaa hili kwa kweli 😂😂😂
Lumumba wote ni malumpen proletariat
 
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Ukiwa na ubongo wa sisimizi huwezi kumuelewa Lissu.

Nakushauri kwakuwa wewe binafsi umeshindwa kuelewa alichokisema Lissu kwasababu hukujaliwa ubongo wa kutosha, ingekuwa vema uwaulize watu wenye uelewa wakueleweshe. Usilazimishe kuelewa jambo usilokuwa na uwezo nalo.
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi sera huwa ni vitu gani hasa specific?
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Uhuru na haki in ilani ya CDM context maana yake nini?
 
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Mtaokoteza kila kitu mwaka huu.
Ukoloni kauleta mtu wenu katika hii miaka mitano.
 
Katiba na sheria ndio sera kuu za taifa.Watu wakishajua sheria na haki zao hayo ni maendeleo makubwa sana,maana hata ukifanya mambo yaliyo kinyume na sheria,watapata ujasiri wa kukuhoji na kukuuliza kwa nn unafanya ivyo.Nazipenda sana kampeni za Lisu,natamani ziwekwe kwenye kitabu watoto wa kidato cha pili na cha tatu wakasome!!!
 
Back
Top Bottom