Na wewe umeanza kuchanganyikiwa? Hivi unajua msingi mkuu wa hayo unayoyasema?
Tundu Lisu yupo sahihi kwa 100%. Siku zote unapogombea uongozi kwanza uwe unakerwa au kuumizwa na tatizo fulani. Unagombea ili uende ukali[emoji892][emoji892][emoji526][emoji519][emoji1648]tatue hilo.
Tatizo kubwa kuliko yote kwa Tanzania kwa sasa ni uvunjifu wa katiba na sheria. Ndiyo maana kwenye mbiu ya Lisu kuna Uhuru,₩;*,*hwhwcn n me0 Haki na Maendeleo. Ni hovyo vyote vipo kwenye katiba.
Sent using
Jamii Forums mobile app