Kwanini ukatili wa kutisha wa Japan hauzungumzwi sana tofauti na wa Mjerumani katika vita vya pili vya dunia?

Kosugi kwa level ya uelewa wako furahi umeshinda tena furahi sana
 
Bila yale mabomu ata USA sizani kama ange toboa
 
Kwa empire za kizamani, wamongolia,wajapan na dola la rumi ndio naona walikuwa miyeyusho saana, ukatili na vitu vya ajabu ajabu.
Na ndio maana mitume na manabii waliibuka/"tumwa" nyakati hizo za mbwa kala mbwa kuwapa faraja wengi walioteseka; kwamba yupo MUNGU muweza wa yote.

Nabii akitumwa kipindi hiki cha amani duniani atapata tabu sana kueleweka.
 
Russia alipigwa 1905 ila second world war Russia alimnyang'anya maeneo ya visiwa hadi leo Japan analalamika
 
Seppuku inafanywa hata na Modern Yakuza.

Unafikiri hiyo ilifanywa kwavile wanalose au ilifanywa kwakua it is their way of "Death before dishonor"
 
Ingeshangaza isingeibuka comment ya para one!
 
Japan miscalculations tu na strategy zake ndo zilimfelisha, lasivyo hata huu ukanda wa pwani ya africa yawezekana tungekua tunakipiga kijapan na mtaani majina kama Kaoru Mitoma na Wataru Endo yangekua yakumwaga
 
Suicide attacks (banzai charges) mwishoni zilianza kumuelemea, refer Battle of Iwo Jima, walikua wachacje in number ila kiongozi wa vita Tadamichi Kuribayashi alikua anapinga banzai charges ila viongozi wa units ndogo ndogo wengine walikua wanapingana naye, yeye alikua anapinga kwa sababu alienda masomoni USA so anajua capability yao na akataka wahold ground kadri wawezavyo.

kuna movie inaitwa , "Letters of Iwo Jima" imeeleza vizuri sana hii
 
Unafikiri hiyo ilifanywa kwavile wanalose au ilifanywa kwakua it is their way of "Death before dishonor"
Ndio yale yale tu. Walijiua kwasababu wanashindwa. Kwani akina Hitler, Heinrich Himmler na Joseph Goebbels walijiua sababu gani? Aibu ya kubondwa, kushindwa na kuhofia udhalili na kifuatacho wakikamatwa. Ego yao ilivunjwa vunjwa.

Ndicho kilichowakuta wajapan waliokuwa hawaamini kabisa kuwa wanashindwa. Wengine wakaona wafanye seppuku tu.
 

Pia kasome na Suicide Cliff katika kisiwa cha Saipan. Wanajeshi na raia wa Japan walikuwa wakijirusha kutoka katika huo mwamba wakijiua kukwepa kukamatwa na Wamarekani.
 
Mambo kweli yanabadilika dunia hii hata mjerumani naye kapoa
Na Mjerumani alikuwa na Moto sana.

Yaani Marekani aliwaaokowa watu wengi sana.

Imagine Marekani angeamua asifanye land lease policy alafu Hitler apigane front moja tu asiwaze kabisa kuvamiwa upande wa ufaransa.

Leo timu za Moscow zingekuwa zinashiriki ligi kuu ya Ujerumani.

Hii vita ilimpa hofu na funzo Russia kuwa akitokea Adui strong mpakani mwake basi hatoboi ndio maana anajitahidi sana Ukraine isiingie NATO, yaani safari hii vita itaanzia miles 500 kutoka Moscow na Kule Finland ni Kama mile 300 kwenda St Peter’s burgs
 
Mbona alaska ipo karibu na russia au taratibu sipo vipi pale
 
Mbona alaska ipo karibu na russia au taratibu sipo vipi pale
Seat of power is the most important.

NATO wakivamia Russia kuelekea Moscow in full force, itahitaji Risk ya hali ya juu kuacha kuilind Moscow hili ukavuke bahari kuivamia Marekani

Pia eneo lote kuelekea Moscow ukitoa Dniper river iliyoko UKRAINE Hakuna natural border/defences
 
Nasubiri mpaka waanze rushiana izo nuclear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…