GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Nimewaandikia Wanaoelewa na siyo Fools..Sijaelewa hata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewaandikia Wanaoelewa na siyo Fools..Sijaelewa hata
Kama maneno gani hayo ya Mimi Kujihami? Hivi Mimi Mwamba naweza Kujihami?Mbona umetanguliza maneno ya kujihami: kwani huna uhakika na mada yako?[emoji3]
Nimecheka hadi nimepaliwa Mkuu.Kuna mwamba aliwahi kuniambia, yeye alikua anafutiwa dekio...🤣
Uko sahihi 100% kwani Mimi huwa Nawakopa au Nawabandua kwa Mali Kauli ( Akudo Sound / Uwongo mwingi ) tu Mkuu.Mjomba ukiwa na pesa watakufutia midomo yao [emoji41]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Cheka uongeze siku za kuishi mwana kwetu Mara, bigi, fela, gemu chenja, talentedi, alietukuka unyabeni.....😜Nimecheka hadi nimepaliwa Mkuu.
Na soon utakuua kweliUhuni wa Kupenda Mbunye nitakufa nao.
Niliwahi kwa Dada yako wa Kwanza Kuzaliwa Kwenu nilipokuwa nae Faragha Lojini katika Mbaiolojiano ila hakunijibu.Ulishawahi kuwauliza wahusika?
Unachekesha kweli wewe.Niliwahi kwa Dada yako wa Kwanza Kuzaliwa Kwenu nilipokuwa nae Faragha Lojini katika Mbaiolojiano ila hakunijibu.
Yani pot, Dunia imeharibika pot,Mimi huwa hata simuamini demu eti kumuachia ndom ye ndo akazitupe baada ya matumizikwangu ni no siku hizi manii ni biashara.Nimecheka mpaka basi.
Hicho kitambaa tumenunua sa ngapi labda kama umekuja nacho.Na ikitokea ukakataa wakufute naniliu zako baada ya Mshughuliko huo wa Kibaiolojia hununa ( huwa na Usununu ) sana.
Nitashukuru nikiijua sababu Kuu yao.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.
Nimemaliza.