Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,503
Tafiti na vipimo mbali mbali vya mahusiano kati ya maendeleo katika jamii na imani za kidini vimebainisha migawanyiko na mahusiano ya imani za kidini kati ya nchi moja na nyingine na mendeleo kwa kiwango kikubwa.
Kikubwa zaidi kilichonigusa ni mahusiano ya dini za imani ya Kikristo na Kiislamu mara nyingi kushamili katika nchi ambazo ni maskini na zenye elimu duni huku dini zingine zikishamili mara nyingi katika sehemu yenye utajiri na elimu ya kiwango cha juu.
Kupungua kwa kiwango cha juu cha imani ya dini yoyote katika nchi zilizoendelea na mfano halisi ni hapa Europe ambapo makanisa kwa sasa yanadoda na yanageuzwa kuwa ni sehemu ya kutalii (museum) na mengine yanageuzwa kuwa migahawa (cafe). imefikia hatua hapa wachungaji wake wengi wanakuwa imported kutoka nchi masikini kwa sababu wazawa wameacha kujiunga na vyuo vya kitawa.
Kuongezeka kwa wakimbizi wengi wa kisiasa kutoka nchi maskini na zenye elimu duni za mashariki ya mbali na pia zile ambazo zilikuwa na machafuko zimeongeza idadi ya waumini wa kiislamu hapa Ulaya lakini hawa pia kwa ujumla ni masikini na elimu yao ni ndogo.
Tanzania ikiwa ni nchi mojawapo masikini duniani kwa sasa Makanisa na Misikiti inashamili kila sehemu wakati kipato na elimu vikiwa vimedumaa kwa masikini au kuongezeka kwa kasi ndogo.
1) Maswali yanayojitokeza ni kutaka kufahamu, kwa nini Ukristo na Uslamu unashamili katika nchi hizi masikini na duni kielimu na pia ukipungua kwa kasi katika nchi tajiri na zenye elimu ya kiwango cha juu.
2) Nini kilicho nyuma ya hizi imani za dini ya Kikristo na Kiislamu katika nchi masikini na zenye elimu duni?.
TOP 17 GLOBAL INDEX OF RELIGIOSITY AND ATHEISM YEAR 2012
[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD]COUNTRY[/TD]
[TD]TOTAL % OF
POPULATION[/TD]
[TD]GDP PER
CAPITA 2011 [$][/TD]
[TD]INDEX
NUMBER[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]GHANA[/TD]
[TD]96[/TD]
[TD]1580[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]NIGERIA[/TD]
[TD]93[/TD]
[TD]1522[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ARMENIA[/TD]
[TD]92[/TD]
[TD]3076[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]FIJI[/TD]
[TD]92[/TD]
[TD]4224[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MACEDONIA[/TD]
[TD]90[/TD]
[TD]5162[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ROMANIA[/TD]
[TD]89[/TD]
[TD]8875[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]IRAQ[/TD]
[TD]88[/TD]
[TD]3478[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KENYA[/TD]
[TD]88[/TD]
[TD]833[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]PERU[/TD]
[TD]86[/TD]
[TD]5904[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]BRAZIL[/TD]
[TD]85[/TD]
[TD]12789[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]GEORGIA[/TD]
[TD]84[/TD]
[TD]3210[/TD]
[TD]10[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]PAKISTAN[/TD]
[TD]84[/TD]
[TD]1199[/TD]
[TD]10[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]AFGHANISTAN[/TD]
[TD]83[/TD]
[TD]589[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MALDOVA[/TD]
[TD]83[/TD]
[TD]1969[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]COLOMBIA[/TD]
[TD]83[/TD]
[TD]7114[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CAMEROON[/TD]
[TD]82[/TD]
[TD]1225[/TD]
[TD]12[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MALAYSIA[/TD]
[TD]81[/TD]
[TD]10085[/TD]
[TD]13[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
WIN-Gallup International ‘Religiosity and Atheism Index' which measures global self-perceptions on beliefs is based on interviews with more than 50,000 men and women selected from 57 countries across the globe in five continents. The survey also provides trend data for shifts in attitudes since 2005.
A world-wide poll conducted by WIN-Gallup International, a network of the world's top most independent pollsters, asked exactly the same question in 57 countries across the globe:
The highest GDP per Capita in the world is $115,809
The Lowest GDP per Capita in the world is 112
NOTE:
Sikuweza kupata data za Tanzania kulinganisha na nchi zingine duniani lakini kwa kuangalia kwa mbali zinaweza kuwa karibu na data za Nchi ya Kenya.
cc Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Mchambuzi, FairPlayer, Mkandara, Mohamed Said, THE BIG SHOW, Jasusi, Mag3, Nyambala, Boko haram
Kikubwa zaidi kilichonigusa ni mahusiano ya dini za imani ya Kikristo na Kiislamu mara nyingi kushamili katika nchi ambazo ni maskini na zenye elimu duni huku dini zingine zikishamili mara nyingi katika sehemu yenye utajiri na elimu ya kiwango cha juu.
Kupungua kwa kiwango cha juu cha imani ya dini yoyote katika nchi zilizoendelea na mfano halisi ni hapa Europe ambapo makanisa kwa sasa yanadoda na yanageuzwa kuwa ni sehemu ya kutalii (museum) na mengine yanageuzwa kuwa migahawa (cafe). imefikia hatua hapa wachungaji wake wengi wanakuwa imported kutoka nchi masikini kwa sababu wazawa wameacha kujiunga na vyuo vya kitawa.
Kuongezeka kwa wakimbizi wengi wa kisiasa kutoka nchi maskini na zenye elimu duni za mashariki ya mbali na pia zile ambazo zilikuwa na machafuko zimeongeza idadi ya waumini wa kiislamu hapa Ulaya lakini hawa pia kwa ujumla ni masikini na elimu yao ni ndogo.
Tanzania ikiwa ni nchi mojawapo masikini duniani kwa sasa Makanisa na Misikiti inashamili kila sehemu wakati kipato na elimu vikiwa vimedumaa kwa masikini au kuongezeka kwa kasi ndogo.
1) Maswali yanayojitokeza ni kutaka kufahamu, kwa nini Ukristo na Uslamu unashamili katika nchi hizi masikini na duni kielimu na pia ukipungua kwa kasi katika nchi tajiri na zenye elimu ya kiwango cha juu.
2) Nini kilicho nyuma ya hizi imani za dini ya Kikristo na Kiislamu katika nchi masikini na zenye elimu duni?.
TOP 17 GLOBAL INDEX OF RELIGIOSITY AND ATHEISM YEAR 2012
[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD]COUNTRY[/TD]
[TD]TOTAL % OF
POPULATION[/TD]
[TD]GDP PER
CAPITA 2011 [$][/TD]
[TD]INDEX
NUMBER[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]GHANA[/TD]
[TD]96[/TD]
[TD]1580[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]NIGERIA[/TD]
[TD]93[/TD]
[TD]1522[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ARMENIA[/TD]
[TD]92[/TD]
[TD]3076[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]FIJI[/TD]
[TD]92[/TD]
[TD]4224[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MACEDONIA[/TD]
[TD]90[/TD]
[TD]5162[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ROMANIA[/TD]
[TD]89[/TD]
[TD]8875[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]IRAQ[/TD]
[TD]88[/TD]
[TD]3478[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KENYA[/TD]
[TD]88[/TD]
[TD]833[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]PERU[/TD]
[TD]86[/TD]
[TD]5904[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]BRAZIL[/TD]
[TD]85[/TD]
[TD]12789[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]GEORGIA[/TD]
[TD]84[/TD]
[TD]3210[/TD]
[TD]10[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]PAKISTAN[/TD]
[TD]84[/TD]
[TD]1199[/TD]
[TD]10[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]AFGHANISTAN[/TD]
[TD]83[/TD]
[TD]589[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MALDOVA[/TD]
[TD]83[/TD]
[TD]1969[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]COLOMBIA[/TD]
[TD]83[/TD]
[TD]7114[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CAMEROON[/TD]
[TD]82[/TD]
[TD]1225[/TD]
[TD]12[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MALAYSIA[/TD]
[TD]81[/TD]
[TD]10085[/TD]
[TD]13[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
WIN-Gallup International ‘Religiosity and Atheism Index' which measures global self-perceptions on beliefs is based on interviews with more than 50,000 men and women selected from 57 countries across the globe in five continents. The survey also provides trend data for shifts in attitudes since 2005.
A world-wide poll conducted by WIN-Gallup International, a network of the world's top most independent pollsters, asked exactly the same question in 57 countries across the globe:
The highest GDP per Capita in the world is $115,809
The Lowest GDP per Capita in the world is 112
NOTE:
Sikuweza kupata data za Tanzania kulinganisha na nchi zingine duniani lakini kwa kuangalia kwa mbali zinaweza kuwa karibu na data za Nchi ya Kenya.
cc Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Mchambuzi, FairPlayer, Mkandara, Mohamed Said, THE BIG SHOW, Jasusi, Mag3, Nyambala, Boko haram
Last edited by a moderator: