Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
kwan ukraine aliwai mshambulia mtu nchini kwake ? je palestina alianza au alianzwa kushambulia ? sasa unamuoneaj huruma mtu aliutaka ugomv yeye mwenyew , hata kama unadai haki zako ila kuua raia sio jambo la kiungwana , watu mnaoshabikia uas wa hamas inabid mpimww akili , ni nchi gan ingekaa kimya pind ikivamiwa na majeshi ya majiran?Japo kinachoendelea kinaweza kuonekana kama tatizo la mashariki ya kati, ni tatizo la dunia. Kwanini Ukraine imegeuzwa na nchi za magharibi tatizo la dunia lakini si mashariki ya kati?
Je, ni kwanini mataifa yanayoonekana kuwa na nguvu yameamua kukaa pembeni? Je yanangoja marekani ishindwe yachukue taji au ni woga kama siyo ushirika na magharibi?
Afrika siiongelei kwa sababu ina matatizo yake ambayo pia dunia imeyasahau tangu itengeneze viichi vyetu vibovu na tegemezi. Hivyo, Afrika haina mchango wowote katika ukatili na ukoloni huu.
Je, wahusika wanaogopa marekani na kikaragosi chake israel?
Urusi na shogaake china.... Tayari Wana mke wao(Ukraine)wanamkanda! Mdogo mdogo....!...Japo kinachoendelea kinaweza kuonekana kama tatizo la mashariki ya kati, ni tatizo la dunia. Kwanini Ukraine imegeuzwa na nchi za magharibi tatizo la dunia lakini si mashariki ya kati?
Je, ni kwanini mataifa yanayoonekana kuwa na nguvu yameamua kukaa pembeni? Je yanangoja marekani ishindwe yachukue taji au ni woga kama siyo ushirika na magharibi?
Afrika siiongelei kwa sababu ina matatizo yake ambayo pia dunia imeyasahau tangu itengeneze viichi vyetu vibovu na tegemezi. Hivyo, Afrika haina mchango wowote katika ukatili na ukoloni huu.
Je, wahusika wanaogopa marekani na kikaragosi chake israel?
Ukiona udhalimu na uonevu unatendeka nawe ukakaa kimya au ukawa Neutral maana yake ni kuwa umetia Vema kinachoendelea kiendelee......yaani wewe ni sehemu.ya hup uovu.Japo kinachoendelea kinaweza kuonekana kama tatizo la mashariki ya kati, ni tatizo la dunia. Kwanini Ukraine imegeuzwa na nchi za magharibi tatizo la dunia lakini si mashariki ya kati?
Je, ni kwanini mataifa yanayoonekana kuwa na nguvu yameamua kukaa pembeni? Je yanangoja marekani ishindwe yachukue taji au ni woga kama siyo ushirika na magharibi?
Afrika siiongelei kwa sababu ina matatizo yake ambayo pia dunia imeyasahau tangu itengeneze viichi vyetu vibovu na tegemezi. Hivyo, Afrika haina mchango wowote katika ukatili na ukoloni huu.
Je, wahusika wanaogopa marekani na kikaragosi chake israel?
Hakuna nchi ya aina hiyo itanyamaza. Kilichpo ni unafikia tu wa kidini.kwan ukraine aliwai mshambulia mtu nchini kwake ? je palestina alianza au alianzwa kushambulia ? sasa unamuoneaj huruma mtu aliutaka ugomv yeye mwenyew , hata kama unadai haki zako ila kuua raia sio jambo la kiungwana , watu mnaoshabikia uas wa hamas inabid mpimww akili , ni nchi gan ingekaa kimya pind ikivamiwa na majeshi ya majiran?
Si kweli,,,Nchi 14 barani Afrika zimeikataa Israel kujiunga na Umoja huo.Afrika haina mchango wowote katika ukatili na ukoloni huu.
Hatuongelei kujiunga na AU bali mgogoro husika mwananguSi kweli,,,Nchi 14 barani Afrika zimeikataa Israel kujiunga na Umoja huo.
Putin kawaingiza chaka IranJapo kinachoendelea kinaweza kuonekana kama tatizo la mashariki ya kati, ni tatizo la dunia. Kwanini Ukraine imegeuzwa na nchi za magharibi tatizo la dunia lakini si mashariki ya kati?
Je, ni kwanini mataifa yanayoonekana kuwa na nguvu yameamua kukaa pembeni? Je yanangoja marekani ishindwe yachukue taji au ni woga kama siyo ushirika na magharibi?
Afrika siiongelei kwa sababu ina matatizo yake ambayo pia dunia imeyasahau tangu itengeneze viichi vyetu vibovu na tegemezi. Hivyo, Afrika haina mchango wowote katika ukatili na ukoloni huu.
Je, wahusika wanaogopa marekani na kikaragosi chake israel?
Ni kweli kaka, Israel kaharibu mpaka airports za Syria na watu wameufyata.Ni kiongozi mmoja tu hadi sasa iliesema" hakuna kuleta msaada wowote ndani ya Palestina" na Dunia yote imetii.
ila, Putin aliposema "mtu yoyote atake isaidia Ukraine atapata pigo la Karne" lakini, tumeona hadi VI-NCHI vidogo kabisa vinapeleka msaada Ukraine bila hofu yoyote.
Hii inatoa tafsiri gani?.
Kwamba, Putin anapuuzwa kwa maana ni mlopokaji tu ama wanajua ni Simba Kibogoyo?.
Why Benjamin Nyau Dunia imtii ila Putin apuuzwe?.
Nakazia.Ukiona udhalimu na uonevu unatendeka nawe ukakaa kimya au ukawa Neutral maana yake ni kuwa umetia Vema kinachoendelea kiendelee......yaani wewe ni sehemu.ya hup uovu.
Hatuongelei kujiunga na AU bali mgogoro husika mwanangu
Una sura nzuri kweli
Kama hawana interestJapo kinachoendelea kinaweza kuonekana kama tatizo la mashariki ya kati, ni tatizo la dunia. Kwanini Ukraine imegeuzwa na nchi za magharibi tatizo la dunia lakini si mashariki ya kati?
Je, ni kwanini mataifa yanayoonekana kuwa na nguvu yameamua kukaa pembeni? Je yanangoja marekani ishindwe yachukue taji au ni woga kama siyo ushirika na magharibi?
Afrika siiongelei kwa sababu ina matatizo yake ambayo pia dunia imeyasahau tangu itengeneze viichi vyetu vibovu na tegemezi. Hivyo, Afrika haina mchango wowote katika ukatili na ukoloni huu.
Je, wahusika wanaogopa marekani na kikaragosi chake israel?
Uturuki amepeleka msaada wa chakula na dawa Palestina.Ni kiongozi mmoja tu hadi sasa iliesema" hakuna kuleta msaada wowote ndani ya Palestina" na Dunia yote imetii.
ila, Putin aliposema "mtu yoyote atake isaidia Ukraine atapata pigo la Karne" lakini, tumeona hadi VI-NCHI vidogo kabisa vinapeleka msaada Ukraine bila hofu yoyote.
Hii inatoa tafsiri gani?.
Kwamba, Putin anapuuzwa kwa maana ni mlopokaji tu ama wanajua ni Simba Kibogoyo?.
Why Benjamin Nyau Dunia imtii ila Putin apuuzwe?.