Kwanini Urusi, China na India wameamua kuwa watazamaji mgogoro wa mashariki ya kati?

Kwanini Urusi, China na India wameamua kuwa watazamaji mgogoro wa mashariki ya kati?

kwan ukraine aliwai mshambulia mtu nchini kwake ? je palestina alianza au alianzwa kushambulia ? sasa unamuoneaj huruma mtu aliutaka ugomv yeye mwenyew , hata kama unadai haki zako ila kuua raia sio jambo la kiungwana , watu mnaoshabikia uas wa hamas inabid mpimww akili , ni nchi gan ingekaa kimya pind ikivamiwa na majeshi ya majiran?
Ilitakiwa Hamas wadai haki yao kwa njia gani?

Israel lugha pekee anayoielewa ni mtutu wa bunduki maana amani hapendi kabisa.
 
Wanashindwa pa kuanzia maana Hamas waliyataka wenyewe..
Mauaji ya kikatili ya watoto zaidi ya 260 kwenye tamasha la mziki siyo jambo dogo!
Mwana kulitafuta mwana kulipata
Pamoja siungi mkono kilichotokea, lakini inabidi kurudi nyuma na kufikiria je hili lilotokea lingetokea kama Israel ingekuwa na ujirani mwema na Palestina? Ni haki kuwalaumu Hamas, lakini pia Israel ina mchango wake kwenye lilotokea. I srael isingekuwa imechukuwa ardhi ya Palestine, kikundi cha Hamas sidhani kingefanya haya yaliyofanyika. Suluhu ya hili tatizo ni Israel kurudisha ardhi ya Waarabu na Waarabu (Palestine) kutambua uwepo wa Israel kama nchi. Bila haya kuangaliwa na kutekelezwa na pande zote hii minyukano itaendelea na wote watalaumiwa kwa vifo vyote.
 
... leo ni Ijumaa; vipi huko duniani waumini wamefurika mabarabarani kama kawaida yao ku-support magaidi? Death to America! Death to Israel! Huku wakichoma mabendera na kujiapiza ovyo?

IMG_3935.jpg
 
Mara nyingi ni wanafiki wa dunia hao na Kila walipo hao mgongoni mwao wamembeba bwana madevu wa uarabuni. Kama sii NATO amani ya dunia ingetoweka. Kuna majitu kwa kutaka tuu kulazimishwa watu wafuate dini ya mababu zake wa uarabuni yupo radhi kulipa watu au majengo ili kuwaangamiza wsliokataa kufuata Mila na dini hizo

Waislamu wana ujinga mwingi sana
 
Pamoja siungi mkono kilichotokea, lakini inabidi kurudi nyuma na kufikiria je hili lilotokea lingetokea kama Israel ingekuwa na ujirani mwema na Palestina? Ni haki kuwalaumu Hamas, lakini pia Israel ina mchango wake kwenye lilotokea. I srael isingekuwa imechukuwa ardhi ya Palestine, kikundi cha Hamas sidhani kingefanya haya yaliyofanyika. Suluhu ya hili tatizo ni Israel kurudisha ardhi ya Waarabu na Waarabu (Palestine) kutambua uwepo wa Israel kama nchi. Bila haya kuangaliwa na kutekelezwa na pande zote hii minyukano itaendelea na wote watalaumiwa kwa vifo vyote.

Wote wavamizi,soma historia vzr,atakayeshinda achukue hiyo nchi.
 
Ukiona udhalimu na uonevu unatendeka nawe ukakaa kimya au ukawa Neutral maana yake ni kuwa umetia Vema kinachoendelea kiendelee......yaani wewe ni sehemu.ya hup uovu.
Bro Nikuweke sawa.

Ingekuwa anachofanya Israel ameanza yeye na kufanya ghafla. I am sure mataifa haya pia yangekemea na hata kuattempt kuzuia uhalifu dhidi ya binadamu.

Kilichotokea HAMAS wameanzisha mashambulizi na kufanya uhalifu dhidi ya binadamu kwa kias kikubwa sana.

Hivyo inaogofya sana hiyo ishu. Technically Hamas kamchokoza myahjdi kwa kuua raia wake. I repeat ingekuwa Israel imeamka tu na kufanya haya inayofanya huko Gazza, Nchi nyingi zingepinga mzee.

Ukitaka kujua watu hawa wana umakini pia msikilize Putin alichosema: 1. Kwa yaliyotokea Israel ina haki ya kujilinda hasa kwa kilichotokea 2. Israel anakosea kuua Raia wasio hatia na Hamas wanakosea pia kuua Raia 3. Mwisho kaomba pande mbili zikae mezani kutafuta resolution.

Huu ni umakini mkubwa siyo wa kukurupuka na kutaka kuridhisha watu.
 
Bro Nikuweke sawa.

Ingekuwa anachofanya Israel ameanza yeye na kufanya ghafla. I am sure mataifa haya pia yangekemea na hata kuattempt kuzuia uhalifu dhidi ya binadamu.

Kilichotokea HAMAS wameanzisha mashambulizi na kufanya uhalifu dhidi ya binadamu kwa kias kikubwa sana.

Hivyo inaogofya sana hiyo ishu. Technically Hamas kamchokoza myahjdi kwa kuua raia wake. I repeat ingekuwa Israel imeamka tu na kufanya haya inayofanya huko Gazza, Nchi nyingi zingepinga mzee.

Ukitaka kujua watu hawa wana umakini pia msikilize Putin alichosema: 1. Kwa yaliyotokea Israel ina haki ya kujilinda hasa kwa kilichotokea 2. Israel anakosea kuua Raia wasio hatia na Hamas wanakosea pia kuua Raia 3. Mwisho kaomba pande mbili zikae mezani kutafuta resolution.

Huu ni umakini mkubwa siyo wa kukurupuka na kutaka kuridhisha watu.
Mimi namuunga mkono huyo jamaa. Ukiona uhalifu unatokea ukakaa kimya maana yake unaunga mkono.


Mfano, urusi ikiwa na kura ya veto ilikaa kimya kuhusu NATO kupeleka majeshi Libya, maana yake nini???


Je Putin hajui kwa nini hamas wameamua kufanya walichofanya???

Pia urusi Ina mikataba kadhaa na Israel,tafsiri yake inautambua utawala huo ambao ni Haram kwa hamas.
 
Wala sio Netanyahu ni bwana wake Marekani ndiyo anamsaidia kwa kila kitu.
Urusi kawasaidia sana waarabu katika vita vyao na nani Israel lakini walishindwa kuifuta kwenye ramani ya dunia kama ilivyokuwa adhma yao. Kauli yako inaweza maanisha marekani alimshinda urusi hapo Israel au Israel ana kitu Cha ziada Cha kipekee kuwashinda hao waarabu.
 
Japo kinachoendelea kinaweza kuonekana kama tatizo la mashariki ya kati, ni tatizo la dunia. Kwanini Ukraine imegeuzwa na nchi za magharibi tatizo la dunia lakini si mashariki ya kati?

Je, ni kwanini mataifa yanayoonekana kuwa na nguvu yameamua kukaa pembeni? Je yanangoja marekani ishindwe yachukue taji au ni woga kama siyo ushirika na magharibi?

Afrika siiongelei kwa sababu ina matatizo yake ambayo pia dunia imeyasahau tangu itengeneze viichi vyetu vibovu na tegemezi. Hivyo, Afrika haina mchango wowote katika ukatili na ukoloni huu.

Je, wahusika wanaogopa marekani na kikaragosi chake israel?
Israel na Russia wanauhusiano wa karibu sana, pengine kushinda mataifa mengi ya Ulaya,

Sehemu kubwa ya Waisrael wametokea Russia
 
Japo kinachoendelea kinaweza kuonekana kama tatizo la mashariki ya kati, ni tatizo la dunia. Kwanini Ukraine imegeuzwa na nchi za magharibi tatizo la dunia lakini si mashariki ya kati?

Je, ni kwanini mataifa yanayoonekana kuwa na nguvu yameamua kukaa pembeni? Je yanangoja marekani ishindwe yachukue taji au ni woga kama siyo ushirika na magharibi?

Afrika siiongelei kwa sababu ina matatizo yake ambayo pia dunia imeyasahau tangu itengeneze viichi vyetu vibovu na tegemezi. Hivyo, Afrika haina mchango wowote katika ukatili na ukoloni huu.

Je, wahusika wanaogopa marekani na kikaragosi chake israel?
India kaiunga mkono Israel, urusi ana mahusiano mazuri na Israel,china sijajua.
 
Back
Top Bottom