Kwanini usijengwe ukuta katikati ya barabara za mikoani kupunguza ajali?

Kwanini usijengwe ukuta katikati ya barabara za mikoani kupunguza ajali?

Jamaa kaongea kitu ambacho wengi wamekitafsiri kwa namna ya Low IQ watu wanadhani jamaa alimaanisha ukuta mrefu lakini sio... pia back to the point barabara zetu hasa za mkoani ni nyembamba sana magari yanapopishana yanaacha nafasi ndogo mnoo kiasi kwamba ile nafasi haitoshi hata kuweka separation blocks anachosema muandishi kinawezekana barabara zikiwa pana
So wewe ni mtafasiri wake au wewe ni nani kwake?
 
Shida kubwa na chanzo Kikuu cha ajali ndani ya nchi yetu ni Kama zifuatazo;

1. Uchovu wa Madereva wakiwa barabarani.
2. Magari mengi Ni mabovu hasa malori hivyo ni Kama majeneza yanayotembea
3. Ulevi kwa madereva, Tanzania tunajifanya Sheria haziruhusu kuendesha ukiwa tayari umeshakunywa pombe wakati tunaona bar Nyingi walevi wanakuwa wamepaki magari wakiwa bar wanakunywa na wakitoka wanaenda kuendesha magari huku Polisi wakiangalia tu kisubiri ajali itokee wapige pesa ndefu.
4. Kutokufuata Sheria za barabara, huu ni ugonjwa wa Madereva wengi wa Tanzania hasa wakati wa ku overtake ,tunatake risk sana, ajali nyingi zinatokana na kuovertake sehemu isiyoruhusiwa.

Turudi kwenye mada kuu, ajali nyingi za siku hizi ni kwamba roli linahama upande wake linaenda upande wa pili halafu chuma zinagongana uso kwa uso, na ni nyingi sana ajali za namna hii kwaKuwa malori ni mengi mno nchi hii wameua reli, sasa sijui reli ije tu ili waondoe haya malori kwa road.

Sasa kwanini serikali isijenge ukuta katikati ya barabara Ili Lori likitaka kuhamia upande wa pili lishindwe hivyo kuepusha Ajali.

Wanaweza wakaweka ukuta hata mita moja, ukuta mgumu na mrefu, kwakuwa ajali zimezidi sana na wewe unaesoma muda wowote utapata ajali ya kugongana uso kwa uso na roli.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Pep
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Watu wanamdhihaki! bila kutoa altenative ya suluhu ya ajali!

Innovation huanza na mawazo finyu sana, lakini kadri watu wanavyoboresha ndipo mafanikio hupatikana.

Watanzania tubadilike, unamdhihaki mtoa mada, wewe umechangia jambo gani katika taifa lako likawa na tija!?

Mfano, alivyosema ukuta, mwingine akaja na idea ya barabara mbili,
1. Maalumu kwa ajili ya gari za mizigo
2. Maalumu kwa ajili ya gari za abiria.

Lakini mwingine akaja na Idea ya kudhibiti wanedesha magari makubwa na mabasi, kwamba wawe na umri kuanzia miaka 45 na kuendelea!

Au, ni marufuku kufika maeneo ya bar na gari binafsi, gari zote ziendaazo maeneo ya bar ziwe za biashara eg Ubber, or tax.

Hayo yote hapo ni mawazo ambayo mtu anafikiria kutokana na agenda iliyoletwa! maana yake bila agenda hiyo watu wasingewaza hayo.

Hivyo, wazo linanavyozidi kuboreshwa ndivyo mafanikio yake hupatikana na sio kumkashifu mtoa mada
 
Ajali haina kinga, unaeza kujengwa ukuta na ajali nd zikazidi vile vle pia ili kuw na ukuta ama kingo ,njia za kwnda n kurudi lazima ziongzeke upana wake ili incase gari ikiharbika iczuie gari zngne kupita.
Mfano mzuri ni barabara za mabasi yaendayo kasi.
Zile sehemu walizojjenga kingo pembeni,gari ikiharibika basi inaziba njia .yanayofuata nyuma hayawezi kupita pale.
 
Jamaa kaongea kitu ambacho wengi wamekitafsiri kwa namna ya Low IQ watu wanadhani jamaa alimaanisha ukuta mrefu lakini sio... pia back to the point barabara zetu hasa za mkoani ni nyembamba sana magari yanapopishana yanaacha nafasi ndogo mnoo kiasi kwamba ile nafasi haitoshi hata kuweka separation blocks anachosema muandishi kinawezekana barabara zikiwa pana
Inamaana gari Moja nikiharibika katikati ya barabara,gari nyingine zitasubiri hadi litengenezwe ndo zipite ??
Maana si ukuta umejengwa,na gari haiwezi kuhama upande wake Kwa sababu ya ukuta.
 
Shida kubwa na chanzo Kikuu cha ajali ndani ya nchi yetu ni Kama zifuatazo;

1. Uchovu wa Madereva wakiwa barabarani.
2. Magari mengi Ni mabovu hasa malori hivyo ni Kama majeneza yanayotembea
3. Ulevi kwa madereva, Tanzania tunajifanya Sheria haziruhusu kuendesha ukiwa tayari umeshakunywa pombe wakati tunaona bar Nyingi walevi wanakuwa wamepaki magari wakiwa bar wanakunywa na wakitoka wanaenda kuendesha magari huku Polisi wakiangalia tu kisubiri ajali itokee wapige pesa ndefu.
4. Kutokufuata Sheria za barabara, huu ni ugonjwa wa Madereva wengi wa Tanzania hasa wakati wa ku overtake ,tunatake risk sana, ajali nyingi zinatokana na kuovertake sehemu isiyoruhusiwa.

Turudi kwenye mada kuu, ajali nyingi za siku hizi ni kwamba roli linahama upande wake linaenda upande wa pili halafu chuma zinagongana uso kwa uso, na ni nyingi sana ajali za namna hii kwaKuwa malori ni mengi mno nchi hii wameua reli, sasa sijui reli ije tu ili waondoe haya malori kwa road.

Sasa kwanini serikali isijenge ukuta katikati ya barabara Ili Lori likitaka kuhamia upande wa pili lishindwe hivyo kuepusha Ajali.

Wanaweza wakaweka ukuta hata mita moja, ukuta mgumu na mrefu, kwakuwa ajali zimezidi sana na wewe unaesoma muda wowote utapata ajali ya kugongana uso kwa uso na roli.
waongeze lanes tu kutoka 2 lane waweke 4
 
Kufanyaje
Nawaza tu..
Kwahiyo kama pale kitonga au Nyang'oro,,,Kuta zitakuwa zinabend kama zile Kona??
Maana barabara ilivyo na Kona zilivyo kali U-turn...ni lazima tu gari ihamie upande mwingine wa barabara Kwa nyuma.
 
  • Mshangao
Reactions: Pep
Nawaza tu..
Kwahiyo kama pale kitonga au Nyang'oro,,,Kuta zitakuwa zinabend kama zile Kona??
Maana barabara ilivyo na Kona zilivyo kali U-turn...ni lazima tu gari ihamie upande mwingine wa barabara Kwa nyuma.
Ndugu yangu ubarinolutu unazungumziaje hii point ya mrembo?
 
Badala ya kujenga ukuta barabara ziongezwe
 
 
Back
Top Bottom