Watu wanamdhihaki! bila kutoa altenative ya suluhu ya ajali!
Innovation huanza na mawazo finyu sana, lakini kadri watu wanavyoboresha ndipo mafanikio hupatikana.
Watanzania tubadilike, unamdhihaki mtoa mada, wewe umechangia jambo gani katika taifa lako likawa na tija!?
Mfano, alivyosema ukuta, mwingine akaja na idea ya barabara mbili,
1. Maalumu kwa ajili ya gari za mizigo
2. Maalumu kwa ajili ya gari za abiria.
Lakini mwingine akaja na Idea ya kudhibiti wanedesha magari makubwa na mabasi, kwamba wawe na umri kuanzia miaka 45 na kuendelea!
Au, ni marufuku kufika maeneo ya bar na gari binafsi, gari zote ziendaazo maeneo ya bar ziwe za biashara eg Ubber, or tax.
Hayo yote hapo ni mawazo ambayo mtu anafikiria kutokana na agenda iliyoletwa! maana yake bila agenda hiyo watu wasingewaza hayo.
Hivyo, wazo linanavyozidi kuboreshwa ndivyo mafanikio yake hupatikana na sio kumkashifu mtoa mada