So wewe ni mtafasiri wake au wewe ni nani kwake?Jamaa kaongea kitu ambacho wengi wamekitafsiri kwa namna ya Low IQ watu wanadhani jamaa alimaanisha ukuta mrefu lakini sio... pia back to the point barabara zetu hasa za mkoani ni nyembamba sana magari yanapopishana yanaacha nafasi ndogo mnoo kiasi kwamba ile nafasi haitoshi hata kuweka separation blocks anachosema muandishi kinawezekana barabara zikiwa pana
[emoji23][emoji23][emoji23]Aisee.
Kichwa cha familia hiki.
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeishia darasa la ngapi mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Shida kubwa na chanzo Kikuu cha ajali ndani ya nchi yetu ni Kama zifuatazo;
1. Uchovu wa Madereva wakiwa barabarani.
2. Magari mengi Ni mabovu hasa malori hivyo ni Kama majeneza yanayotembea
3. Ulevi kwa madereva, Tanzania tunajifanya Sheria haziruhusu kuendesha ukiwa tayari umeshakunywa pombe wakati tunaona bar Nyingi walevi wanakuwa wamepaki magari wakiwa bar wanakunywa na wakitoka wanaenda kuendesha magari huku Polisi wakiangalia tu kisubiri ajali itokee wapige pesa ndefu.
4. Kutokufuata Sheria za barabara, huu ni ugonjwa wa Madereva wengi wa Tanzania hasa wakati wa ku overtake ,tunatake risk sana, ajali nyingi zinatokana na kuovertake sehemu isiyoruhusiwa.
Turudi kwenye mada kuu, ajali nyingi za siku hizi ni kwamba roli linahama upande wake linaenda upande wa pili halafu chuma zinagongana uso kwa uso, na ni nyingi sana ajali za namna hii kwaKuwa malori ni mengi mno nchi hii wameua reli, sasa sijui reli ije tu ili waondoe haya malori kwa road.
Sasa kwanini serikali isijenge ukuta katikati ya barabara Ili Lori likitaka kuhamia upande wa pili lishindwe hivyo kuepusha Ajali.
Wanaweza wakaweka ukuta hata mita moja, ukuta mgumu na mrefu, kwakuwa ajali zimezidi sana na wewe unaesoma muda wowote utapata ajali ya kugongana uso kwa uso na roli.
HakikaMsimdhihaki, kama unaona ameongea pumba, mweleweshe tu kiungwana! Ila kumdhihaki, na kujumlisha hadi familia yake sio uungwana!
Mfano mzuri ni barabara za mabasi yaendayo kasi.Ajali haina kinga, unaeza kujengwa ukuta na ajali nd zikazidi vile vle pia ili kuw na ukuta ama kingo ,njia za kwnda n kurudi lazima ziongzeke upana wake ili incase gari ikiharbika iczuie gari zngne kupita.
Tatizo watu ni wabishi sana...Hakika
Barabara ilivyolala upande mmojaKama ole kona ya mbalizi pale kwenye yale makontena.....unahitajika ukuta
Umeanza!Tatizo watu ni wabishi sana...
Utakaa hivyo hivyo tu kama ukuta 🤣🤣Barabara ilivyolala upande mmoja
Sijui ukuta utakaaje[emoji134]
Magari ya upande mwingine si yatagusa ukuta[emoji23][emoji23][emoji23]
KufanyajeUmeanza!
Inamaana gari Moja nikiharibika katikati ya barabara,gari nyingine zitasubiri hadi litengenezwe ndo zipite ??Jamaa kaongea kitu ambacho wengi wamekitafsiri kwa namna ya Low IQ watu wanadhani jamaa alimaanisha ukuta mrefu lakini sio... pia back to the point barabara zetu hasa za mkoani ni nyembamba sana magari yanapopishana yanaacha nafasi ndogo mnoo kiasi kwamba ile nafasi haitoshi hata kuweka separation blocks anachosema muandishi kinawezekana barabara zikiwa pana
Una nini lakini???Utakaa hivyo hivyo tu kama ukuta 🤣🤣
waongeze lanes tu kutoka 2 lane waweke 4Shida kubwa na chanzo Kikuu cha ajali ndani ya nchi yetu ni Kama zifuatazo;
1. Uchovu wa Madereva wakiwa barabarani.
2. Magari mengi Ni mabovu hasa malori hivyo ni Kama majeneza yanayotembea
3. Ulevi kwa madereva, Tanzania tunajifanya Sheria haziruhusu kuendesha ukiwa tayari umeshakunywa pombe wakati tunaona bar Nyingi walevi wanakuwa wamepaki magari wakiwa bar wanakunywa na wakitoka wanaenda kuendesha magari huku Polisi wakiangalia tu kisubiri ajali itokee wapige pesa ndefu.
4. Kutokufuata Sheria za barabara, huu ni ugonjwa wa Madereva wengi wa Tanzania hasa wakati wa ku overtake ,tunatake risk sana, ajali nyingi zinatokana na kuovertake sehemu isiyoruhusiwa.
Turudi kwenye mada kuu, ajali nyingi za siku hizi ni kwamba roli linahama upande wake linaenda upande wa pili halafu chuma zinagongana uso kwa uso, na ni nyingi sana ajali za namna hii kwaKuwa malori ni mengi mno nchi hii wameua reli, sasa sijui reli ije tu ili waondoe haya malori kwa road.
Sasa kwanini serikali isijenge ukuta katikati ya barabara Ili Lori likitaka kuhamia upande wa pili lishindwe hivyo kuepusha Ajali.
Wanaweza wakaweka ukuta hata mita moja, ukuta mgumu na mrefu, kwakuwa ajali zimezidi sana na wewe unaesoma muda wowote utapata ajali ya kugongana uso kwa uso na roli.
Nawaza tu..Kufanyaje
Ndugu yangu ubarinolutu unazungumziaje hii point ya mrembo?Nawaza tu..
Kwahiyo kama pale kitonga au Nyang'oro,,,Kuta zitakuwa zinabend kama zile Kona??
Maana barabara ilivyo na Kona zilivyo kali U-turn...ni lazima tu gari ihamie upande mwingine wa barabara Kwa nyuma.