Kwanini utajiri wa watu wa Nyanda za juu Kusini, huwa hauchechemui watu?

We jamaa unanichekesha sana. Inaonekana kuna kitu mmetofautiana na Mkinga mmoja kuhusu pesa.

Ushirikina upo ila haukufanyi uwe tajiri wa kutupwa. Fuatilia wakinga wote kama ni wavivu wa kufanya kazi na kusubiri pesa za ushirikina. Hawa jamaa wanapiga kazi balaa. Kwao kutoendelea kuna sababu nyingi zilizosababisha ikiwemo Elimu kuchelewa kufika kuliko mikoa mingine.
Wengi wa vijana wa kikinga wa leo wamepata utajiri kupitia misitu ya mbao waliyoachiwa na babu zao. Fuatilia Mbao nyingi nchini zinatoka wapi hapa nchini.
 
Miti kuanzia kupanda hadi kuja kuvuna ni miaka mingapi? Mbona mnaongea kama headless chicken nyie??
Daaah! We jamaa una hasira na wakinga ila huwajui unasikiliza ya kuambiwa.

Africa ukitaka uonekane mshirikina na unaua ndugu zako uwe na pesa au tajiri kuliko ndugu zako wote au jamii inayokuzunguka. Na ukitaka uonekane mchawi basi uwe mzee kuliko wengine na macho mekundu. Fikra potofu na ovu
 
Mkuu najua umekerwa ila tujibu hoja bila matusi itafaa sana
 
Huyu kasimuliwa hana uhakika, kwann na yeye asijaribu au yy anapenda kuteseka??
Maskini tuna shida sana hata waarabu pamoja na kumiliki visima vya mafuta lakini bado tunawashutumu nao wachawi wanaweka mandondocha watoto wao, hao kina Elon tunajifariji ni Freemason au Illuminat ili mradi tujipe faraja tushindwe kufanya kazi.!!
Ni uvivu umetujaa na chuki
 
Japo umetumia lugha ngumu kufikisha ujumbe ila Igweeeeeeeeeee 🙏
Ukabila utamuua, atuache kinga’s
 
Mwenye story ya yule tajiri wa miaka Ile ya 1990+ alikua na mabasi COMFORT VIDEO COACH (CVC) hotel lodge Shel pale mlima kitonga.achana na majumba pale iringa na kwingineko inasemekana pesa zake zilikua za hivyohivyo,👹👺👹👺mwenye story kamili atujuze
 

Attachments

  • images (8).jpeg
    42.4 KB · Views: 12
Watu wanaishi dingii acha stori za vijiweni
 
walio wengi wanapenda biashara za mizimu
Mdani ya miaka 2 tajiri bilionea,ni mwe do wa kafara tu na hizi biashara hazidumu muda mrefu ukikosea sharti kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…