Nafikiri wengi ipo hivyo mzeeKwa kauchunguzi kangu kadogo nimegundua jamaa zangu wengi waliofika oral, status zao zimeandikwa shortlisted.
Nadhani hakuna lolote la maana tunatakiwa kulitegemea kutokea hapo.
Dah kifo cha wengi ni harusiNafikiri wengi ipo hivyo mzee
πππππSema nyie wa IT siimeandika selected mzee??Dah kifo cha wengi ni harusi
ππππUnataka kusema tumekandwa au sio??Dah kifo cha wengi ni harusi
Inamaanisha tumekandwa π€£ π€£ π€£ π€£πππππSema nyie wa IT siimeandika selected mzee??
Nyie angalau mnaweza kuwa na iman maana waliopata wameandikiwa hvoππππUnataka kusema tumekandwa au sio??
Tatizo imeniandikia shortlisted kwenye oral ambayo ilipita na sikupata kazi na hii ya juziπππππNyie angalau mnaweza kuwa na iman maana waliopata wameandikiwa hvo
Inshallah ikawe hivyo mkuuNyie angalau mnaweza kuwa na iman maana waliopata wameandikiwa hvo
Inamaanisha tumekandwa π€£ π€£ π€£ π€£
Kuandika na kuongeaMlifanya writen na oral tu au na prac pia?
Status imekuandikiaje??Kuandika na kuongea
Amesema shortlistedStatus imekuandikiaje??
ππππbasi naona hii status ni kwa wote waliopiga written na oralAmesema shortlisted
Mi nahis pia ukiandikiwa hvo unakua uenda kwenye database kwahyo nafas ikipatikana unaitwa isipopatkana basi unakosahamna meck pro alisema yeye ilibaki selected na ni mtu wa IT
Ahahaah kwahyo uwe umepata au umekosa inaandika hvoππππbasi naona hii status ni kwa wote waliopiga written na oral
Labda ni hivyoMi nahis pia ukiandikiwa hvo unakua uenda kwenye database kwahyo nafas ikipatikana unaitwa isipopatkana basi unakosa
ππππItakuwa huwa inaandika hivyo sasa sisi na stress zetu tumechanganyikiwaAhahaah kwahyo uwe umepata au umekosa inaandika hvo
Maana kwa kesi ya wale wa veta kama meck pro utaona nafas ilikua moja ila wakaitwa zaid ya mmoja uenda wengne walikua kweny databaseLabda ni hivyo
ShortlistedStatus imekuandikiaje??