Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Duuuh,,, sio kwa mkeka huu dadeq.. yaan nascral down bado kitu kama siSwipe kipo hapohapo...
Hapa bado wa TRA..
Hongereni sana PSRS naelewaga kazi zenu.. Kila mtu anaitwa ili muwakande vizuri😁😁
 
Duuuh,,, sio kwa mkeka huu dadeq.. yaan nascral down bado kitu kama siSwipe kipo hapohapo...
Hapa bado wa TRA..
Hongereni sana PSRS naelewaga kazi zenu.. Kila mtu anaitwa ili muwakande vizuri😁😁
😂😂😂😂Nadhani ndio maana wanachelewa kuita watu
 
😂😂😂😂Kuna kale kabaridi ka udom utumishi aseeh acha afu ndo ukute pepa ni nzito
Kuda baridi balaaa huko usiombe vitu hujui na baridi limekukanda inakua mkando pro max aje Mwifwa atuambie kama yupo kwenye mkeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…