Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,340
+HelsbHaya jobless walioomba NAOT wakaanglie names zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
+HelsbHaya jobless walioomba NAOT wakaanglie names zao
Mwifwa njoo hukuHaya jobless walioomba NAOT wakaanglie names zao
Huu mkeka sio mwepesi umeshibaNAOT na HELSB mmekumbukwa hongereni mliochaguliwa na hatua inayofuata nawatakia maandalizi mema.
Mkeka mzito sana aseeh daaahHuu mkeka sio mwepesi umeshiba
Tayari mkuuPdf ya HESLB imetoka ??
😂😂😂😂Nadhani ndio maana wanachelewa kuita watuDuuuh,,, sio kwa mkeka huu dadeq.. yaan nascral down bado kitu kama siSwipe kipo hapohapo...
Hapa bado wa TRA..
Hongereni sana PSRS naelewaga kazi zenu.. Kila mtu anaitwa ili muwakande vizuri😁😁
😂😂😂😂Asaivi utumishi wanatumia mkando unaitwa ndoige yani unakufata popote ulipoHaya haya Sasa Mda wamikando umewadia
Napata wapi kiongozi?? Oral interview tayari ??Tayari mkuu
Ukienda kulia unakutana nao ukienda kushoto ndo balaaaaa🤣🤣😂😂😂😂Asaivi utumishi wanatumia mkando unaitwa ndoige yani unakufata popote ulipo
Ndo wameita written mzee ingia ajira portal.go.tzNapata wapi kiongozi?? Oral interview tayari ??
😂😂😂😂Kuna kale kabaridi ka udom utumishi aseeh acha afu ndo ukute pepa ni nzitoUkienda kulia unakutana nao ukienda kushoto ndo balaaaaa🤣🤣
Kuda baridi balaaa huko usiombe vitu hujui na baridi limekukanda inakua mkando pro max aje Mwifwa atuambie kama yupo kwenye mkeka😂😂😂😂Kuna kale kabaridi ka udom utumishi aseeh acha afu ndo ukute pepa ni nzito
Kuda baridi balaaa huko usiombe vitu hujui na baridi limekukanda inakua mkando pro max aje Mwifwa atuambie kama yupo kwenye mkeka
Hivi hizi zinataka watu wangapi wangapi maana huo mkeka hatariNgoja aje atakuwepo tu nimeona course za afya zipo
😂😂😂😂Sijui hata wangapi lakini zilikuwaga nafasi nyingi kwahiyo kutoboa uhakikaHivi hizi zinataka watu wangapi wangapi maana huo mkeka hatari