Kiongozi unatumia simu gani?Kwenye Account ni shortlisted. Halafu kwa chini yake kuna view timetable, of which haifunguki kwa simu.Nataka enda Internet cafe kuangalia ratiba maana kwa simu haifunguki.Maana sijui ni room ipi natakiwa ingia ni jina la herufi P huko ambao hawapo ktk serials kwenye pdf
Noma sana, mtie moyo tukashirikiane kuwakanda kama si kukandwa[emoji3][emoji3]
Samsung galaxy A21s mkuu,haifunguki sio uwezo wa simu mkuu.Kiongozi unatumia simu gani?
Zimetumwa moja kwa moja katika account ya applicant.Sasa ambao hawapo kwenye Pdf watajuaje kuwa wamepangiwa room gn kwaajili ya interview?
Maana naona zimepangwa kulingana na serial number, na serial number zipo kwenye pdf
Nimeona mkuu,sasa ni namba ipi hapa inanipa direction ya room nitakayoingia pale UDOM?Zimetumwa moja kwa moja katika account ya applicant.
Hayo maelekezo huwa wanatoa kule kule, huwa mnakusanywa, mnaelekezwa herufi flan mpaka flani mtaenda venue ile, flan na flan venue ingine, mkifika huko mnakutana karatasi zenye majina yenu kusaini na kuendelea na mchakato. Mchawi ni kuwa on time tu.Nimeona mkuu,sasa ni namba ipi hapa inanipa direction ya room nitakayoingia pale UDOM?
Mfano namba ni PSRS/29/4496/5384
Asante sn mkuu,maana hapa nilikuwa nahaha ni room ipi nitaingia kulingana na herufi yanguHayo maelekezo huwa wanatoa kule kule, huwa mnakusanywa, mnaelekezwa herufi flan mpaka flani mtaenda venue ile, flan na flan venue ingine, mkifika huko mnakutana karatasi zenye majina yenu kusaini na kuendelea na mchakato. Mchawi ni kuwa on time tu.
Lisikuumize kichwa hilo, maelezo utayakuta huko huko.Asante sn mkuu,maana hapa nilikuwa nahaha ni room ipi nitaingia kulingana na herufi yangu
Mbona Mimi naona Kuna hall fulani wanasema ndo mnakutania hapo UDOM.Sasa ambao hawapo kwenye Pdf watajuaje kuwa wamepangiwa room gn kwaajili ya interview?
Maana naona zimepangwa kulingana na serial number, na serial number zipo kwenye pdf
A series sometime zinazingua japo moto zinakaa sana hebu jaribu kudownload WPS PDF readerSamsung galaxy A21s mkuu,haifunguki sio uwezo wa simu mkuu.
Mpaka mida hii sijaelewa kitu
Hahahahaa, mwambie aanzie kwa Pastor MkandamizajiUnaionja Mkuu, tunakuombea kheri.
Kuna dogo mmoja amenichekesha sana, ameniambia hii vita ya NAOT peke yake hatoiweza, kwa hiyo atatembea kukusanya miujiza ya manabii wote aende nayo bila kukosa Mwamposa.
Nikamwambia awe makini manabii wengine hawamtegemei Mungu wanatumia shortcuts, akajibu kwenye hili tutasameheana yeye anachoangalia ni kupata kazi hata kama wanamtegemea shetani, atatubu mbele ya safari.
Unataka awe kama katibu hahhhh😂😂😂Hahahahaa, mwambie aanzie kwa Pastor Mkandamizaji
Amina, cha muhimu tusiache kumtumainia.Ipo siku Mungu atatukumbuka wengine.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unataka awe kama katibu hahhhh[emoji23][emoji23][emoji23]
mwenyezi mungu atasimama pamoja nanyi inshaallahAhsante sana, tuombeane ili na sisi wenye sugu za mikando tuweze kupita hilo tuta
TGDCMkuu, yako ni ipi tujuze kama hutojali?
Hahahahaa, mwambie aanzie kwa Pastor Mkandamizaji
Amiin[emoji2969]mwenyezi mungu atasimama pamoja nanyi inshaallah
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha, Mkuu huyu pastor ngoja tusubiri upelelezi kupita.