Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwenye Account ni shortlisted. Halafu kwa chini yake kuna view timetable, of which haifunguki kwa simu.Nataka enda Internet cafe kuangalia ratiba maana kwa simu haifunguki.Maana sijui ni room ipi natakiwa ingia ni jina la herufi P huko ambao hawapo ktk serials kwenye pdf
Kiongozi unatumia simu gani?
 
Noma sana, mtie moyo tukashirikiane kuwakanda kama si kukandwa[emoji3][emoji3]

Hahaha, kabisa Mkuu. Lolote jema halishindikani kutokea. Hata hivyo sio kwamba wanaofanikiwa kupita huwa ni watu wa ajabu saana. Wengine unakuta mtu unawamudu na hawakuzidi chochote, ila tu ni muda wao unakuwa umefika.
 
Nimeona mkuu,sasa ni namba ipi hapa inanipa direction ya room nitakayoingia pale UDOM?

Mfano namba ni PSRS/29/4496/5384
Hayo maelekezo huwa wanatoa kule kule, huwa mnakusanywa, mnaelekezwa herufi flan mpaka flani mtaenda venue ile, flan na flan venue ingine, mkifika huko mnakutana karatasi zenye majina yenu kusaini na kuendelea na mchakato. Mchawi ni kuwa on time tu.
 
Hayo maelekezo huwa wanatoa kule kule, huwa mnakusanywa, mnaelekezwa herufi flan mpaka flani mtaenda venue ile, flan na flan venue ingine, mkifika huko mnakutana karatasi zenye majina yenu kusaini na kuendelea na mchakato. Mchawi ni kuwa on time tu.
Asante sn mkuu,maana hapa nilikuwa nahaha ni room ipi nitaingia kulingana na herufi yangu
 
Sasa ambao hawapo kwenye Pdf watajuaje kuwa wamepangiwa room gn kwaajili ya interview?

Maana naona zimepangwa kulingana na serial number, na serial number zipo kwenye pdf
Mbona Mimi naona Kuna hall fulani wanasema ndo mnakutania hapo UDOM.
 
Unaionja Mkuu, tunakuombea kheri.

Kuna dogo mmoja amenichekesha sana, ameniambia hii vita ya NAOT peke yake hatoiweza, kwa hiyo atatembea kukusanya miujiza ya manabii wote aende nayo bila kukosa Mwamposa.

Nikamwambia awe makini manabii wengine hawamtegemei Mungu wanatumia shortcuts, akajibu kwenye hili tutasameheana yeye anachoangalia ni kupata kazi hata kama wanamtegemea shetani, atatubu mbele ya safari.
Hahahahaa, mwambie aanzie kwa Pastor Mkandamizaji
 
Back
Top Bottom