Upo kwenye managerial level?TGDC
Huenda wako busy na mambo mawili.Chama cha wakandwaji tanzania mbona leo kimya
Young african anaibisha taifa tunamcheki hukuChama cha wakandwaji tanzania mbona leo kimya
Hajawahi kutuwakilisha Yule mbwa kila siku anatuaibishia taifa letu pendwaYoung african anaibisha taifa tunamcheki huku
Yanga Haina tofauti na wewe unaenda Usaili Dom Kila term na unakandwa vizuri na PSRSHajawahi kutuwakilisha Yule mbwa kila siku anatuaibishia taifa letu pendwa
hapanaUpo kwenye managerial level?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha mkuu mbona unamwambi ukweli kabisaYanga Haina tofauti na wewe unaenda Usaili Dom Kila term na unakandwa vizuri na PSRS
Ahahaha alaf muda huo hyo taarifa inatolewa wew unasubr matokeo ya mtihan wa mchujoMaana isijetokea mtu umefanyiwa maombi kisha baada ya siku chache uambiwe mchungaji wako ni muuaji.
Bora Mimi huwa tunakandana wakati mwingine kuliko Yanga anakandwa kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]Yanga Haina tofauti na wewe unaenda Usaili Dom Kila term na unakandwa vizuri na PSRS
Wadau nipeni ushauri kidogo nimeitwa kwenye mkando tarehe 28 nafasi ya AFISA MIKOPO DARAJA LA PILI taasisi board ya mkopo, lakini tarehe 27, 28 , 29 na 30 kunadili nimepata ya kufanya kazi siku hizo ikiwemo hiyo siku ya mkando tarehe 28. Dili lenyewe kwa siku ni laki mbili hivyo siku 4 naingiza laki 8. Je niende wapi kwenye mkando au kwenye dili la pesa. Kote muhimu ndio maana niponjia pandaBora Mimi huwa tunakandana wakati mwingine kuliko Yanga anakandwa kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]
Una received ngapi ukitoa hiyo kwa mfanoWadau nipeni ushauri kidogo nimeitwa kwenye mkando tarehe 28 nafasi ya AFISA MIKOPO DARAJA LA PILI taasisi board ya mkopo, lakini tarehe 27, 28 , 29 na 30 kunadili nimepata ya kufanya kazi siku hizo ikiwemo hiyo siku ya mkando tarehe 28. Dili lenyewe kwa siku ni laki mbili hivyo siku 4 naingiza laki 8. Je niende wapi kwenye mkando au kwenye dili la pesa. Kote muhimu ndio maana niponjia panda
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hapa lazima kichwa kiume mkuuu amua mwenyewe aiseeeWadau nipeni ushauri kidogo nimeitwa kwenye mkando tarehe 28 nafasi ya AFISA MIKOPO DARAJA LA PILI taasisi board ya mkopo, lakini tarehe 27, 28 , 29 na 30 kunadili nimepata ya kufanya kazi siku hizo ikiwemo hiyo siku ya mkando tarehe 28. Dili lenyewe kwa siku ni laki mbili hivyo siku 4 naingiza laki 8. Je niende wapi kwenye mkando au kwenye dili la pesa. Kote muhimu ndio maana niponjia panda
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Na received mbili 1.OPEN UNIVERSITY nafasi ya ADMISSION OFFICER II na ya pili ni CHUO CHA USHIRIKA MOSHI (MOCU) pale pia ni ADMISSION OFFICER II. Pia nasubiria placements chuo cha ADEM.
We acha tu mdugu yangu , kichwa kinawaka moto. Maana hela naitaka , lakini pia kazi nataka, na nikifanikiwa kupata kazi hiyo hela nitaipata fasta lakini nikienda Dom nikikandwa nitajutia kwa kupoteza fursa ya hela. Maana nikikandwa + baridi la CIVE-UDOM pale + Nauli na kuacha dili la hela lazima nitaumwa [emoji23][emoji23][emoji23] ila nikiwakanda fresh. Lakin idadi ya watu nayo ndio inaninyongonyesha zaidiHapa lazima kichwa kiume mkuuu amua mwenyewe aiseee
Sina cha kukushauri mkuu nisije toa USHAURI wa mchongo bureWe acha tu mdugu yangu , kichwa kinawaka moto. Maana hela naitaka , lakini pia kazi nataka, na nikifanikiwa kupata kazi hiyo hela nitaipata fasta lakini nikienda Dom nikikandwa nitajutia kwa kupoteza fursa ya hela. Maana nikikandwa + baridi la CIVE-UDOM pale + Nauli na kuacha dili la hela lazima nitaumwa [emoji23][emoji23][emoji23] ila nikiwakanda fresh. Lakin idadi ya watu nayo ndio inaninyongonyesha zaidi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Duuuh hapo pamoto maana hizo received zako sio za kutegemea, Kupanga ni kuchagua kk TAKE THE RISK OR LOOSE THE CHANCE. Nadhani utaamua vyema lkn sijajua nikushaurije maana kotekote kunalipa ila ni muda ndio muamuzi [emoji3]Na received mbili 1.OPEN UNIVERSITY nafasi ya ADMISSION OFFICER II na ya pili ni CHUO CHA USHIRIKA MOSHI (MOCU) pale pia ni ADMISSION OFFICER II. Pia nasubiria placements chuo cha ADEM.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
hongera afsa .dili gani hilo nyeti namna hii??Wadau nipeni ushauri kidogo nimeitwa kwenye mkando tarehe 28 nafasi ya AFISA MIKOPO DARAJA LA PILI taasisi board ya mkopo, lakini tarehe 27, 28 , 29 na 30 kunadili nimepata ya kufanya kazi siku hizo ikiwemo hiyo siku ya mkando tarehe 28. Dili lenyewe kwa siku ni laki mbili hivyo siku 4 naingiza laki 8. Je niende wapi kwenye mkando au kwenye dili la pesa. Kote muhimu ndio maana niponjia panda
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app