Ndio maana mikeka ya vyuo vikuu mingi imeanza kutoka baadae ndo ukawekwa kwenye website ya ajiraMi ninavyojua usaili unaoendeshwa na psrs kuitwa kazini ni kutoa majina kwenye pdf...DUCE ni chuo kikuu usaili wameendesha wao wenyewe kwa usimamiz wa psrs kwa hiyo kuna uyofaut wa ADEM,IFM,NIT,ATC na vyuo vikuu
Hapo nimekuelewa vizuri BossMi ninavyojua usaili unaoendeshwa na psrs kuitwa kazini ni kutoa majina kwenye pdf...DUCE ni chuo kikuu usaili wameendesha wao wenyewe kwa usimamiz wa psrs kwa hiyo kuna uyofaut wa ADEM,IFM,NIT,ATC na vyuo vikuu
ADEM ndio wanazingua na chuo kinafungua juma tatu tarehe 24Wapo fasta sana
Nyie wa IT inaandika hivyoMimi kwenye app kule imeniandikia selected for practical na sio selected for oral
ADEM ndio wanazingua na chuo kinafungua juma tatu tarehe 24
Sasa hv imerud selected for oralNyie wa IT inaandika hivyo
πππHizi status hazina maana naonaSasa hv imerud selected for oral
Zinatupa stress tuπππHizi status hazina maana naona
Nimeamua kuachana nazo hizi naona zinakuaga zakweli mwisho kwe oral tuZinatupa stress tu
Liko wapi hilo tangazo?Tangazo la kuitwa kazini taasisi mbalimbali za umma
Nimelimis tu aseeLiko wapi hilo tangazo?
Mkuu unashtua ummaTangazo la kuitwa kazini taasisi mbalimbali za umma
Wewe unatakiwa uuawe, ukatwekatwe, kisha wakalishwe mamba. Unashtua watuTangazo la kuitwa kazini taasisi mbalimbali za umma
ππππHahhh mzee unataka kutuua au sio?Nimelimis tu asee
ππππWewe unatakiwa uuawe, ukatwekatwe, kisha wakalishwe mamba. Unashtua watu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mimi kuna moja sikufika oral na ilikuwa Not selected sasa hivi inaniambia selected for oral interview,maajabu ya musa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe ukiend chukua barua unatakiw uvae suti?
Anashtua ujobless[emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu unashtua umma