Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mi ninavyojua usaili unaoendeshwa na psrs kuitwa kazini ni kutoa majina kwenye pdf...DUCE ni chuo kikuu usaili wameendesha wao wenyewe kwa usimamiz wa psrs kwa hiyo kuna uyofaut wa ADEM,IFM,NIT,ATC na vyuo vikuu
Ndio maana mikeka ya vyuo vikuu mingi imeanza kutoka baadae ndo ukawekwa kwenye website ya ajira
 
Mi ninavyojua usaili unaoendeshwa na psrs kuitwa kazini ni kutoa majina kwenye pdf...DUCE ni chuo kikuu usaili wameendesha wao wenyewe kwa usimamiz wa psrs kwa hiyo kuna uyofaut wa ADEM,IFM,NIT,ATC na vyuo vikuu
Hapo nimekuelewa vizuri Boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…